Fundi mahiri wa ujenzi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 4,159
- 2,844
Niliisha andika huko nyuma kwamba CCM ikishinda ktk uchaguzi mkuu wa mwaka huu na Chadema chini ya Lowassa ikashindwa, hakuna kingine kitakachofuata na huo utakuwa ndio mwisho wa Chadema.
Kwa msingi huo itakuwa ni ndoto kwa Chadema kushika dola ndani ya miaka 50. Subirini muone.
Wabunge wa cdm hawatakuwa na makali tena bungeni ya kukemea ufisadi na watakapojaribu kufanya hivyo watazomewa na wabunge wa ccm. kupoteza makali ya kukemea ufisadi kutawafanya wanachama wa cdm kuangalia chama mbadala. wanachama wanapokikimbia chama ndio mwanzo wa kufa hicho chama.