Elections 2015 Dr. Pombe Magufuli, Rais mteule wa Tanzania awamu ya 5

Elections 2015 Dr. Pombe Magufuli, Rais mteule wa Tanzania awamu ya 5

Mpayukka mada una akili ndogo kama mkia wa Sungura. CCM haijashinda. Tuna matokeo ya kweli yaliyopigwa picha vizuri sana na wazalendo wa nchi hii. Subiri uone.

Porojo mlikuwa wp wakati mnaibiwa???
 
Mungu awabariki sana, wote mlio shiriki katika kampeni ya Dkt John Magufuli

Kwanza napenda kusema Hongera sana Mtanzania.

Kwa Niaba Ya Rais wetu Mpya Naomba kuwashukuru vijana wote waliopambana kwa niaba ya CCM na Mgombea wetu Mpaka kufikia hatua hii.

Pia naomba kutoa shukrani za dhati kwa wale wote mliokuwa mkiwaelimisha vijana juu ya kujiepusha na fujo, matusi, na kejeli mitandaoni, naamini sasa wamejifunza.
Sisi sote ni waTanzania, Rais wetu ni Mmoja, na tunakiri kuwa Upinzani umekua japo demokrasia imeamua.
#HapaKaziTu
12193336_156436654708970_6785152856121518457_n.jpg


Mungu Ibariki Tanzania
 
Shame on Electrolar Commission, votes were rigged and forged. How can you call this a fair election?
 
Tunataka viwanda, dawa, elimu bure mpaka form 4 though elimu mpaka hapo... maji yawe historia kama alivyoahidi.
 
Amen. Sifa,heshima na shukrani anastahili MUNGU wetu.Tumkumbushe rais wetu mteule asisahau ahadi sake kwa MUNGU na watanzania wote. Amtangulize MUNGU,awatumikie watanzania,auepuke uovu na anapokosea aombe toba nchi yetu izidi kubarikiwa. Asilipize visasi,maana visasi ni vya BWANA.
 
Hata lowasa kajitangaza ameshinda kwa asilimia 62

SI kajitangaza, katangaza takwimu sahihi kutoka kwa mawakala nchi nzima. Kama urais ungekuwa unapingwa mahakamani Magufuli angekuwa nje muda SI mrefu.
Lakini ndo hivyo tena nasikia maamuzi yake hayapingwi na mahakama yoyote.
 
SI kajitangaza, katangaza takwimu sahihi kutoka kwa mawakala nchi nzima. Kama urais ungekuwa unapingwa mahakamani Magufuli angekuwa nje muda SI mrefu.
Lakini ndo hivyo tena nasikia maamuzi yake hayapingwi na mahakama yoyote.

Wewe umeziona hizo takwimu??
 
wewe sasa unataka kuwakera tu wale wamshenga.
lakini hata hivyo vijana wa ukawa msife moyo. tuungane tulijenge taifa letu kwa pamoja kwa ustawi wetu na vizazi vyetu vijavyo.

Kuanzia diwani mbunge na hatimae raisi sikuipoteza kura yangu kwakweli. Nilikaa kwenye foleni wakati wakujiandikisha, nilikaa foleni kupiga kura, nilikeshe kwenye maombi kuombea amani nchi na kiongozi bora, kwa hakika hakuna ambacho hakikuzaa matunda. Neema imefunguliwa tanzania heko kwenu nyoote sas na turudi kulijenga taifa kwa umoja.
 
Back
Top Bottom