Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vyozidi kuwatuma watu kumtukana Polepole, ndio wanazidi kuonyesha kuna cartel nyuma inayotaka kufanya uhuni, wajibu tu hoja za Polepole vinginevyo CCM inaenda kupasuka.
Yuko sahihi kabisa. Kajamaa kanapenda attention sana tu Hamna lolote.Yuko live StarTV ktk kipindi cha The Big Agenda muda huu. Amesema "Polepole ni kigeugeu hivyo asiaminiwe. Na ninaunga mkono kwamba Polepole ni kiroboto".
Isipasuke kipindi cha Lowassa ndio iwe kwa Chakubanga! Kweli Chakubanga ambaye amekutwa na KY-Jelly?Wanavyozidi kuwatuma watu kumtukana Polepole, ndio wanazidi kuonyesha kuna cartel nyuma inayotaka kufanya uhuni, wajibu tu hoja za Polepole vinginevyo CCM inaenda kupasuka.
Moja ya kanuni za Ujasusi ni kutengeneza mgogoro. Watch out, Polepole ni mwanachama mtiifu wa CCM, Thisi is a planned move, na wanachokilenga ccm mtakijua while mission done. Huu mgogoro ni wa kutengeneza, sio mgogoro wa kweli, mi naishia hapo.Yuko live StarTV ktk kipindi cha The Big Agenda muda huu. Amesema "Polepole ni kigeugeu hivyo asiaminiwe. Na ninaunga mkono kwamba Polepole ni kiroboto".
Alishachelewa.Licha ya kuwa kigeugeu polepole a.k.a mzee wa v-8 ana hoja zake na anatumia Uhuru wake wa kikatiba
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Yaan Leo polepole ndie wa kuipasua CCMWanavyozidi kuwatuma watu kumtukana Polepole, ndio wanazidi kuonyesha kuna cartel nyuma inayotaka kufanya uhuni, wajibu tu hoja za Polepole vinginevyo CCM inaenda kupasuka.
[emoji2] kazi maalum auMoja ya kanuni za Ujasusi ni kutengeneza mgogoro. Watch out, Polepole ni mwanachama mtiifu wa CCM, Thisi is a planned move, na wanachokilenga ccm mtakijua while mission done. Huu mgogoro ni wa kutengeneza, sio mgogoro wa kweli, mi naishia hapo.
Hakuna ccm itayopasuka, mtapasuka nyie waburundi. Tanzania haijazoea watu dizaini yenu. Magu amekufa lakini hamuamini kama hayupo je, Mungu asingefanya utukufu wake, ndio mngetoka kweli madarakani nyie baada ya 2025?Wanavyozidi kuwatuma watu kumtukana Polepole, ndio wanazidi kuonyesha kuna cartel nyuma inayotaka kufanya uhuni, wajibu tu hoja za Polepole vinginevyo CCM inaenda kupasuka.