let the caged bird sings
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 3,699
- 8,857
nilimjua chegeni toka 2000 uko jimboni (Busega) akiwa na mpinzani wake John Cheyo.
siku hizo nilikuwa naichukulia siasa kama ushabiki wa Simba Vs Fc Kimondo.
mimi na lika langu tulikuwa tukimshangiria kwa nguvu kwa ujira wa jojo na pipi.
Utoto unatufumba mengi sana.
overrated
siku hizo nilikuwa naichukulia siasa kama ushabiki wa Simba Vs Fc Kimondo.
mimi na lika langu tulikuwa tukimshangiria kwa nguvu kwa ujira wa jojo na pipi.
Utoto unatufumba mengi sana.
overrated