SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Wanahangaika sana wao wana dola na watu wasiojulikana wangempiga risasi tu mbona Tundu Lissu alipigwa risasi 36 mchana kweupe na hadi leo hakuna aliyeguswa. Wampasue tu.Wameandaliwa hao kummaliza . yaani kila kona kawekewa watu. Hana pa kupumulia
Hapohapo .....tushikilie hapo, tusiachie.....Wanavyozidi kuwatuma watu kumtukana Polepole, ndio wanazidi kuonyesha kuna cartel nyuma inayotaka kufanya uhuni, wajibu tu hoja za Polepole vinginevyo CCM inaenda kupasuka.
Kumbe muhuni ....Thread 'Mbeya: Lawrence Masha na Mbunge wa Busega, Raphael Chegeni watiwa mbaroni kwa kudaiwa kuvunja nyumba ya mwekezaji' Mbeya: Lawrence Masha na Mbunge wa Busega, Raphael Chegeni watiwa mbaroni kwa kudaiwa kuvunja nyumba ya mwekezaji
Chegeni alishindwa kwenye kura za maoni walilingana kura na kiana Magu akampitisha kijana akawa mgombea, pia kipindi cha Magu Isamilo Lodge ilipigwa faini na NEMC kwa hiyo usisitaajabu ukimuona nabweka hivo.Nazifahamu figusu za Chegeni nje ndani....nikiandika hapa itaonekana kwanini nilisubiri amponde Polepole, ila naamini sio Mimi peke yangu ninayejua upuuzi wake kuanzia akiwa mwajiriwa wa NGO ya wakatoliki, migodi ya dhahabu na kuwa mbunge!
Chegeni ana bahati mbaya na Kambi za siasa za CCM maana kila anayojiunga inageuka mavi, kuanzia kwa Kambi ya Sumaye, nk. Anaupenda Sana uwaziri na amejaribu Sana labda mara hii atapata!
Ukisikia kuwadi wa makampuni hewa ya "wazungu" huyu ni namba mbili nyuma ya Makamba.....tatizo lake "mshamba"kama tulivyo wasukuma wengine! Anachofahamu zaidi kiasi kwamba amebobea huwa ni kucheza na media....anajua Sana kufanya habari yake iwe kwenye "headline" za bongo lakini....namuombea ajijenge hadi Fox, CNN, nk
Wahuni wamefika 3 sasa...
Nape, Bulembo, Chegeni, .....hahaha chochea moto Mzee Polepole!
Kwamba kuna ccm mbili...ccm maslahi na ccm taifaHuyo Chegeni ni walewale ccm masilahi
Kiroboto kipasue ccm thubutuWanavyozidi kuwatuma watu kumtukana Polepole, ndio wanazidi kuonyesha kuna cartel nyuma inayotaka kufanya uhuni, wajibu tu hoja za Polepole vinginevyo CCM inaenda kupasuka.
ujue kipindi cha lowasa kulikuwa na wazee wenye busara wa kusawazisha mambo si kama akina B wanaobwabwaja tu bila hata kufikiria.kila karne ina enzi zakeIsipasuke kipindi cha Lowassa ndio iwe kwa Chakubanga! Kweli Chakubanga ambaye amekutwa na KY-Jelly?
Ni wazee gani ambao unahisi sasa hawapo?ujue kipindi cha lowasa kulikuwa na wazee wenye busara wa kusawazisha mambo si kama akina B wanaobwabwaja tu bila hata kufikiria.kila karne ina enzi zake
Huyo Chegeni ni walewale ccm masilahi
Mwamba ulimaanisha uchaguzi 2019?Huyu mwamba kesho ataibuka na kuandika fb WAHUNI WAONGEZEKA. atachafua tena hali ya hewa.
Tatizo moja linalomuathiri. Uchaguzi 2029 na 2020. Otherwise angeungwa mkono
Ambapo akiwa mwenez uhuru huo aliupinga kwa kusema tutawafunza adab. Hivyo nae atulie afunzwe adab, hakuna namna nyingine!!Licha ya kuwa kigeugeu polepole a.k.a mzee wa v-8 ana hoja zake na anatumia Uhuru wake wa kikatiba
Hafu kila mccm anaerusha mateke hajibu hoja ni mwendo kutukana.(uncivilised ) halafu Naona nibhasira Polepole alilibumburua kundi la Futungo kabla ya kuleta madhara makubwa na mama kashashtukia janja ya Futungo kama vile kaliiacha njia panda hili Genge kilichobaki ni kuwachomoa wahuni wawili kwenye Baraza then awe anaweka wazi msimamo maana nae akiyumba tutaenda nae mpechempeche. Jana kwenye mikataba kanipa viasilimia fulani vya ImaniLicha ya kuwa kigeugeu polepole a.k.a mzee wa v-8 ana hoja zake na anatumia Uhuru wake wa kikatiba
Zimwi la uchafuzi wa 28/10/2020 linawasakama CCM. "Ngoma inogile".Yuko live StarTV ktk kipindi cha The Big Agenda muda huu. Amesema "Polepole ni kigeugeu hivyo asiaminiwe. Na ninaunga mkono kwamba Polepole ni kiroboto".
Huyo Dr. Chegeni hana hadhi kabisa ya kuitwa Dr. maana alikuwa hana ubavu wa kupambana na John Heche kwa hoja. Heche alitoa hoja zilizoshiba maudhui ya ueledi lkn Chegeni na udaktari wake cjui wa nini alikuwa anatapatapa tu hajui aanzie wapi aishie wapi. Suala la Polepole yeye kama daktari alipaswa ajibu hoja za Polepole na siyo kuishia tu kusema eti ni kiroboto. Kimsingi Chegeni hana tofauti na wahuni wengine wa kitaa wasio na lojiki yoyote. Hadi sasa tumeshapata Wahuni watatu, nani wa nne atakayefuata baada ya Nape, Bulembo na Chegeni?Yuko live StarTV ktk kipindi cha The Big Agenda muda huu. Amesema "Polepole ni kigeugeu hivyo asiaminiwe. Na ninaunga mkono kwamba Polepole ni kiroboto".
Moja ya kanuni za Ujasusi ni kutengeneza mgogoro. Watch out, Polepole ni mwanachama mtiifu wa CCM, Thisi is a planned move, na wanachokilenga ccm mtakijua while mission done. Huu mgogoro ni wa kutengeneza, sio mgogoro wa kweli, mi naishia hapo.