Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Kuishia kuandika maneno mengine tu bila kuweka neno "hongera" kwa Mzee Mengi na Bw. Ngowi ni ujinga na wivu wa kike!! Hongera sana Mzee Mengi na Patrick Ngowi kwa mafanikio yenu, MUNGU awe nanyi katika njia zenu!!
Duuu kwahiyo unanisema mimi au? Nimeshawapongeza sana ndugu yangu