Kuishia kuandika maneno mengine tu bila kuweka neno "hongera" kwa Mzee Mengi na Bw. Ngowi ni ujinga na wivu wa kike!! Hongera sana Mzee Mengi na Patrick Ngowi kwa mafanikio yenu, MUNGU awe nanyi katika njia zenu!!
hizo tuzo ziliandaliwa na wachagga?
Ina maana hizi tuzo hazikumuona kijana wa watu anayejituma na mchapakazi. Le Blogger, Le Tajiri aka William MALECELA? Nimesikitika sana!!
Hapana mkuu! Naungana na wewe kuwasema wale wanaoandika maneno mengine tu bila kutoa hongera!! Niliona mkuu umetushukia sana tuliokuwa kimya mpaka muda huo!!Duuu kwahiyo unanisema mimi au? Nimeshawapongeza sana ndugu yangu
Wachagga waliua tra kwa ufisadi na wizi..Sasa hivi wanaondolewa kodi inakusanywa
Shikamooni dakta Mengi ns bwana Ngowi. Shikamooni sana shemeji zangu. Shikamooni sana Wachaga wote ulimwenguni. Salam ziwafikie Chama cha Mapinduzi na harakati zao kwa Wachaga hadi maofini na ugawaji wa madaraka. Maeneo muhimu yamepwaya uchumi unayumba kisa eti wachaga wasipewe madaraka. Hayati baba wa Taifa hakuwa mjinga. TRA kitovu cha mapato kunayumba only kwa kuwa mnawaondoa wachaga wachapakazi na kuwajaza wavivu na mstari wa mbele kuiba. Wale anti wachaga stay away from my post and opinion. Andika yako.
Wachagga waliua tra kwa ufisadi na wizi..Sasa hivi wanaondolewa kodi inakusanywa
vipi kuhusu ujambazi?
Mzee Zogwale hii ni a.ss kissing iliyopita kiwango...and this comes from the guy who comes from the same village Ngowi hails from...wape hongera tu inatosha,hayo mengine ni too much maaaan!
i agree with you... dogo anapenda mediaMi nawapongeza sana...ila kwa Patrick Ngowi kidogo nina wasiwasi,yupo kama anapenda media sana na attention..3mil usd kwa mwaka turnover,itakua imeongezwa chumvi kidogo,halafu kwa 30 years olds hapa TZ wapo wenye turnover zaidi ya hiyo,surely wapo...ukikata uliza watu wa benk wakupe turnovers....im not hating,just sayin..
huyo ngowi ana kampuni ya solar https://helveticsolar.com/. imempatia sana umaarufu forbes, venture africa, cnn.
The Young African Millionaire Lighting Up Tanzania - Forbes
Kama mnavyojua jana usiku palikuwa na hafla ya kukabidhi tuzo kwa wafanyabiashara waliotukuka EA pale Nairobi. Bwana Mengi amejinyakulia tuzo mbili (EA Business Leader Award & Lifetime Achievement) wakati kijana anayechipukia kwenye biashara, Patrick Ngowi, amenyakua tuzo ya EA Young Business Leader. Tuzo hizo zinajulikana kama aabla2014. na zimeratibiwa na CNBC Africa.
source: https://mobile.twitter.com/regmengi?p=s
vipi kuhusu ujambazi?