Dr. Salim Ahmed Salim(SAS), Mzanzibar aliyeonja machungu ya kiubaguzi ya Watanganyika

Dr. Salim Ahmed Salim(SAS), Mzanzibar aliyeonja machungu ya kiubaguzi ya Watanganyika

dega

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2012
Posts
3,172
Reaction score
3,082
Wazanzibar wengi wanaugulia machungu ya ubaguzi toka kwa watanganyika Dr. Salim ni mfano mzuri ya wahanga wa ubaguzi toka kwa watanganyika

Dunia inamfahamu Dr. Salim kama mwana diplomasia nguli ktk ukanda huu kwani ameshiza nafanyi nyeti kuanzia OAU na baadae UN na kama si figisu za wamarekani angelikua mwafrika wa kwanza kushika wadhifa wa ukatibu mkuu wa UN

Na aliporudi nchini mwana diplomasia huyu alijitosa ktk kinyanganyiro cha Urais kwa mategemeo makubwa na kujiamini kutokana na sifa zake Kimataifa na kwa yale aliyowatendea wa Tanzania.

Lakini kwa mshangao mkubwa alikutana na machungu ya ubaguzi kwa uzanzibar wake na kwa rangi yake. Aliitwa mgeni jamaa zake wapo Oman kwa hivyo wanaostahiki kukamata nafasi hiyo ni waruguru.Wagogo,wamatumbi,wahehe na wengineo!!Uzanzibar na rangi yake vilimponza Mwanadiplomasia huyu nguli

Ubaguzi huu bado upo ktk mishipa ya watanganyika wengi hivi sasa mmasai toka Monduli alioingia visiwani kwa mwenge asiyekijua hata kiswahili atathaminika kuliko mzanzibar ambae kizazi chake kina mpaka miaka mia mbili toka kuingia visiwani humu

Watanganyika wajua fika kwamba Zanzibar ni cosmopolitan country jamii toka maeneo tafauti duniani waliunganisha tamaduni Zanzibar hatimae wakaja na utamaduni wa aina ya mseto toka kila pembe ya dunia na hatimaye walisifika duniani kote kwa ustaarabu wao

Vyakula vyao

Mavazi yao

Na lugha yao adhimu ya kiswahili.

Hivyo nguvu za Zanzibar zilipasua anga hadi maziwa makuu Zanzibar ikawafundisha watu ustaarabu wa kuvaa kupika kuzungumza nk nk athari ya Zanzibar ikajaa maziwa makuu kiujumla na khasa kwa Tangannyika

Kipindi hicho ndipo ilipokewa ktk misamiati ya lugha yetu tamu kama msemo usemao:

Zumari likipulizwa Zanzibar huemkwa (huchez ) walio maziwa makuu

Zanzibar ni njema atae na ajee

Kipindi hicho wazanzibar hawakuwa wanafunga nyumba zao wakitoka wakati huo mzanzibar akipoteza kipochi chake anaenda nyumbani kusikiliza matangazo ya radio aijua tuu aliekiokota ataenda kukitangaza radioni

Hivi sasa tumekuwa wakimbizi katik nchi yetu hakuna staha tena harufu inayo zagaa ni pombe toka tanganyika ukahaba toka tangannyika na Kiswahili kichafu cha kitanganyika husikii tena inapofika jioni harufu za marashi ya karafuu

Harifu ya vikuba

Harufu ya asumuni

Wala harufu ya milangi langi

Harufu iliyozagaa ni ugoro wa kimasai na vinyago vilivyotapakaa kila kona

Mama zanzibar tulikupenda mama lakini watanganyika wamekupenda zaid

#Free zanziba

#Bring our nation back

#Go home mtanganyika

Wenu mwanaharakati huru dega
 
kwa hiyo kwa hali hiyo suluhisho ni nini?....endelea kulalamika
 
Wazanzibar wengi wanaugulia machungu ya ubaguzi toka kwa watanganyika Dr. Salim ni mfano mzuri ya wahanga wa ubaguzi toka kwa watanganyika

Dunia inamfahamu Dr. Salim kama mwana diplomasia nguli ktk ukanda huu kwani ameshiza nafanyi nyeti kuanzia OAU na baadae UN na kama si figisu za wamarekani angelikua mwafrika wa kwanza kushika wadhifa wa ukatibu mkuu wa UN

Na aliporudi nchini mwana diplomasia huyu alijitosa ktk kinyanganyiro cha Urais kwa mategemeo makubwa na kujiamini kutokana na sifa zake Kimataifa na kwa yale aliyowatendea wa Tanzania.

Lakini kwa mshangao mkubwa alikutana na machungu ya ubaguzi kwa uzanzibar wake na kwa rangi yake. Aliitwa mgeni jamaa zake wapo Oman kwa hivyo wanaostahiki kukamata nafasi hiyo ni waruguru.Wagogo,wamatumbi,wahehe na wengineo!!Uzanzibar na rangi yake vilimponza Mwanadiplomasia huyu nguli

Ubaguzi huu bado upo ktk mishipa ya watanganyika wengi hivi sasa mmasai toka Monduli alioingia visiwani kwa mwenge asiyekijua hata kiswahili atathaminika kuliko mzanzibar ambae kizazi chake kina mpaka miaka mia mbili toka kuingia visiwani humu

Watanganyika wajua fika kwamba Zanzibar ni cosmopolitan country jamii toka maeneo tafauti duniani waliunganisha tamaduni Zanzibar hatimae wakaja na utamaduni wa aina ya mseto toka kila pembe ya dunia na hatimaye walisifika duniani kote kwa ustaarabu wao

Vyakula vyao

Mavazi yao

Na lugha yao adhimu ya kiswahili.

Hivyo nguvu za Zanzibar zilipasua anga hadi maziwa makuu Zanzibar ikawafundisha watu ustaarabu wa kuvaa kupika kuzungumza nk nk athari ya Zanzibar ikajaa maziwa makuu kiujumla na khasa kwa Tangannyika

Kipindi hicho ndipo ilipokewa ktk misamiati ya lugha yetu tamu kama msemo usemao:

Zumari likipulizwa Zanzibar huemkwa (huchez ) walio maziwa makuu

Zanzibar ni njema atae na ajee

Kipindi hicho wazanzibar hawakuwa wanafunga nyumba zao wakitoka wakati huo mzanzibar akipoteza kipochi chake anaenda nyumbani kusikiliza matangazo ya radio aijua tuu aliekiokota ataenda kukitangaza radioni

Hivi sasa tumekuwa wakimbizi katik nchi yetu hakuna staha tena harufu inayo zagaa ni pombe toka tanganyika ukahaba toka tangannyika na Kiswahili kichafu cha kitanganyika husikii tena inapofika jioni harufu za marashi ya karafuu

Harifu ya vikuba

Harufu ya asumuni

Wala harufu ya milangi langi

Harufu iliyozagaa ni ugoro wa kimasai na vinyago vilivyotapakaa kila kona

Mama zanzibar tulikupenda mama lakini watanganyika wamekupenda zaid

#Free zanziba

#Bring our nation back

#Go home mtanganyika

Wenu mwanaharakati huru dega
"UKIMUONA KUKU KWA MGANGA WA KIENYEJI UJUE KAPONZWA NA RANGI YAKE"
😁😁😂😂😃😃😄😄😅😅😆😆
 
Kuandika uzi na kujenga hoja kipaji ambacho sio watu wengi wanacho, mara SAS amebaguliwa na watanzania bara, mara Zanzibar ndio baba na mama wa ustaarabu ukanda huu. kichekesho mwisho wa uzi unageuka kuwa mbaguzi namba moja kwa kusema #Free Zanzibar #Bring our nation back #Go home mtanganyika.
 
Wazanzibar wengi wanaugulia machungu ya ubaguzi toka kwa watanganyika Dr. Salim ni mfano mzuri ya wahanga wa ubaguzi toka kwa watanganyika

Dunia inamfahamu Dr. Salim kama mwana diplomasia nguli ktk ukanda huu kwani ameshiza nafanyi nyeti kuanzia OAU na baadae UN na kama si figisu za wamarekani angelikua mwafrika wa kwanza kushika wadhifa wa ukatibu mkuu wa UN

Na aliporudi nchini mwana diplomasia huyu alijitosa ktk kinyanganyiro cha Urais kwa mategemeo makubwa na kujiamini kutokana na sifa zake Kimataifa na kwa yale aliyowatendea wa Tanzania.

Lakini kwa mshangao mkubwa alikutana na machungu ya ubaguzi kwa uzanzibar wake na kwa rangi yake. Aliitwa mgeni jamaa zake wapo Oman kwa hivyo wanaostahiki kukamata nafasi hiyo ni waruguru.Wagogo,wamatumbi,wahehe na wengineo!!Uzanzibar na rangi yake vilimponza Mwanadiplomasia huyu nguli

Ubaguzi huu bado upo ktk mishipa ya watanganyika wengi hivi sasa mmasai toka Monduli alioingia visiwani kwa mwenge asiyekijua hata kiswahili atathaminika kuliko mzanzibar ambae kizazi chake kina mpaka miaka mia mbili toka kuingia visiwani humu

Watanganyika wajua fika kwamba Zanzibar ni cosmopolitan country jamii toka maeneo tafauti duniani waliunganisha tamaduni Zanzibar hatimae wakaja na utamaduni wa aina ya mseto toka kila pembe ya dunia na hatimaye walisifika duniani kote kwa ustaarabu wao

Vyakula vyao

Mavazi yao

Na lugha yao adhimu ya kiswahili.

Hivyo nguvu za Zanzibar zilipasua anga hadi maziwa makuu Zanzibar ikawafundisha watu ustaarabu wa kuvaa kupika kuzungumza nk nk athari ya Zanzibar ikajaa maziwa makuu kiujumla na khasa kwa Tangannyika

Kipindi hicho ndipo ilipokewa ktk misamiati ya lugha yetu tamu kama msemo usemao:

Zumari likipulizwa Zanzibar huemkwa (huchez ) walio maziwa makuu

Zanzibar ni njema atae na ajee

Kipindi hicho wazanzibar hawakuwa wanafunga nyumba zao wakitoka wakati huo mzanzibar akipoteza kipochi chake anaenda nyumbani kusikiliza matangazo ya radio aijua tuu aliekiokota ataenda kukitangaza radioni

Hivi sasa tumekuwa wakimbizi katik nchi yetu hakuna staha tena harufu inayo zagaa ni pombe toka tanganyika ukahaba toka tangannyika na Kiswahili kichafu cha kitanganyika husikii tena inapofika jioni harufu za marashi ya karafuu

Harifu ya vikuba

Harufu ya asumuni

Wala harufu ya milangi langi

Harufu iliyozagaa ni ugoro wa kimasai na vinyago vilivyotapakaa kila kona

Mama zanzibar tulikupenda mama lakini watanganyika wamekupenda zaid

#Free zanziba

#Bring our nation back

#Go home mtanganyika

Wenu mwanaharakati huru dega


Allahu Akbar!
 
Salim hajawahi kubaguliwa Tanganyika. Waliombagua ni Wazanzibari wenzake. Tena wanamuita 'Hizbu' na chotara.

Salim anaheshimika Tanganyika kuliko Zanzibar
Hhhhhhhh usinichekeshe Mzanzibar gani anaeuwezo Kwa kumchagua Rais wa TANZANIA kimbuka Dr.Salim alivumishiwa hayo wakati anataka kugombea urais wa Tanzania na si Wazanzibar!!
 
Kuandika uzi na kujenga hoja kipaji ambacho sio watu wengi wanacho, mara SAS amebaguliwa na watanzania bara, mara Zanzibar ndio baba na mama wa ustaarabu ukanda huu. kichekesho mwisho wa uzi unageuka kuwa mbaguzi namba moja kwa kusema #Free Zanzibar #Bring our nation back #Go home mtanganyika.
Na wewe mkoloni namba mbili
 
Wazanzibar wengi wanaugulia machungu ya ubaguzi toka kwa watanganyika Dr. Salim ni mfano mzuri ya wahanga wa ubaguzi toka kwa watanganyika

Dunia inamfahamu Dr. Salim kama mwana diplomasia nguli ktk ukanda huu kwani ameshiza nafanyi nyeti kuanzia OAU na baadae UN na kama si figisu za wamarekani angelikua mwafrika wa kwanza kushika wadhifa wa ukatibu mkuu wa UN

Na aliporudi nchini mwana diplomasia huyu alijitosa ktk kinyanganyiro cha Urais kwa mategemeo makubwa na kujiamini kutokana na sifa zake Kimataifa na kwa yale aliyowatendea wa Tanzania.

Lakini kwa mshangao mkubwa alikutana na machungu ya ubaguzi kwa uzanzibar wake na kwa rangi yake. Aliitwa mgeni jamaa zake wapo Oman kwa hivyo wanaostahiki kukamata nafasi hiyo ni waruguru.Wagogo,wamatumbi,wahehe na wengineo!!Uzanzibar na rangi yake vilimponza Mwanadiplomasia huyu nguli

Ubaguzi huu bado upo ktk mishipa ya watanganyika wengi hivi sasa mmasai toka Monduli alioingia visiwani kwa mwenge asiyekijua hata kiswahili atathaminika kuliko mzanzibar ambae kizazi chake kina mpaka miaka mia mbili toka kuingia visiwani humu

Watanganyika wajua fika kwamba Zanzibar ni cosmopolitan country jamii toka maeneo tafauti duniani waliunganisha tamaduni Zanzibar hatimae wakaja na utamaduni wa aina ya mseto toka kila pembe ya dunia na hatimaye walisifika duniani kote kwa ustaarabu wao

Vyakula vyao

Mavazi yao

Na lugha yao adhimu ya kiswahili.

Hivyo nguvu za Zanzibar zilipasua anga hadi maziwa makuu Zanzibar ikawafundisha watu ustaarabu wa kuvaa kupika kuzungumza nk nk athari ya Zanzibar ikajaa maziwa makuu kiujumla na khasa kwa Tangannyika

Kipindi hicho ndipo ilipokewa ktk misamiati ya lugha yetu tamu kama msemo usemao:

Zumari likipulizwa Zanzibar huemkwa (huchez ) walio maziwa makuu

Zanzibar ni njema atae na ajee

Kipindi hicho wazanzibar hawakuwa wanafunga nyumba zao wakitoka wakati huo mzanzibar akipoteza kipochi chake anaenda nyumbani kusikiliza matangazo ya radio aijua tuu aliekiokota ataenda kukitangaza radioni

Hivi sasa tumekuwa wakimbizi katik nchi yetu hakuna staha tena harufu inayo zagaa ni pombe toka tanganyika ukahaba toka tangannyika na Kiswahili kichafu cha kitanganyika husikii tena inapofika jioni harufu za marashi ya karafuu

Harifu ya vikuba

Harufu ya asumuni

Wala harufu ya milangi langi

Harufu iliyozagaa ni ugoro wa kimasai na vinyago vilivyotapakaa kila kona

Mama zanzibar tulikupenda mama lakini watanganyika wamekupenda zaid

#Free zanziba

#Bring our nation back

#Go home mtanganyika

Wenu mwanaharakati huru dega
Sifa na heshima kubwa aliyonayo Salim ilitokana na utanzania wake na wala siyo uzanzibari. Aliheshimika na kukubalika zaidi bara kuliko huko kwao visiwani. Bahati nzuri hata yeye mwenyewe alishawahi kuonesha kushangazwa na kitendo cha watu kuuona uarabu wake wakati alipojaribu kugombea uraisi.
 
Mkuu usiumize kichwa sana, tatizo ni "Mfumo" Mfumo huo umejichimbia kila nyanja na kila eneo. Siku yalipofanyika Mapinduzi ilikuwa ni hatua ya kwanza ya kuizika Zanzibar, Ulipofanyika Muungungano mwaka 1964 ilikuwa ni hatua ya pili ya kuizonga zanzibar, Siku ilipounganishwa ASP na TANU na kuja CCM ilikuwa ni pigo la mwisho la kuimaliza Zanzibar. Kupitia mambo hayo. Zanzibar imepoteza kila chake.


Huyu Salim ni muhanga wa hayo. MFUMO ndio unaimaliza Zanzibar.

Hao mnaowaona wakuu wa CCM Zanzibar wako kimkakati, ni Mapandikizi waliowekwa kwa huo msemo ulioutoa.


" Zanzibar ni njema Atakae na aje" Wenzenu wanajuwa wanachokifanya.
 
Nilipata kusikia hadithi moja. Kuna wazee wa kizanzibari siku ilipounganishwa ASP na TANU walilia na kusikitika kwa kumpoteza "AFRO MAMA" hii hadithi ukiipata inakutoa machozi. Waliofanikisha kuundwa CCM ndio waliimaliza Zanzibar.

Wazanzibar wanataabika na hakuna nia ya kufanya fair na haki. Hapo nbdipo unapoona Undumilakuwili wa Mataifa. Bado nasema ni mfumo.
 
Ndio mjue Machotara mnavyobagua watanzania Siku wakiamua mtayatafuta majahazi
 
Wazanzibar wengi wanaugulia machungu ya ubaguzi toka kwa watanganyika Dr. Salim ni mfano mzuri ya wahanga wa ubaguzi toka kwa watanganyika

Dunia inamfahamu Dr. Salim kama mwana diplomasia nguli ktk ukanda huu kwani ameshiza nafanyi nyeti kuanzia OAU na baadae UN na kama si figisu za wamarekani angelikua mwafrika wa kwanza kushika wadhifa wa ukatibu mkuu wa UN

Na aliporudi nchini mwana diplomasia huyu alijitosa ktk kinyanganyiro cha Urais kwa mategemeo makubwa na kujiamini kutokana na sifa zake Kimataifa na kwa yale aliyowatendea wa Tanzania.

Lakini kwa mshangao mkubwa alikutana na machungu ya ubaguzi kwa uzanzibar wake na kwa rangi yake. Aliitwa mgeni jamaa zake wapo Oman kwa hivyo wanaostahiki kukamata nafasi hiyo ni waruguru.Wagogo,wamatumbi,wahehe na wengineo!!Uzanzibar na rangi yake vilimponza Mwanadiplomasia huyu nguli

Ubaguzi huu bado upo ktk mishipa ya watanganyika wengi hivi sasa mmasai toka Monduli alioingia visiwani kwa mwenge asiyekijua hata kiswahili atathaminika kuliko mzanzibar ambae kizazi chake kina mpaka miaka mia mbili toka kuingia visiwani humu

Watanganyika wajua fika kwamba Zanzibar ni cosmopolitan country jamii toka maeneo tafauti duniani waliunganisha tamaduni Zanzibar hatimae wakaja na utamaduni wa aina ya mseto toka kila pembe ya dunia na hatimaye walisifika duniani kote kwa ustaarabu wao

Vyakula vyao

Mavazi yao

Na lugha yao adhimu ya kiswahili.

Hivyo nguvu za Zanzibar zilipasua anga hadi maziwa makuu Zanzibar ikawafundisha watu ustaarabu wa kuvaa kupika kuzungumza nk nk athari ya Zanzibar ikajaa maziwa makuu kiujumla na khasa kwa Tangannyika

Kipindi hicho ndipo ilipokewa ktk misamiati ya lugha yetu tamu kama msemo usemao:

Zumari likipulizwa Zanzibar huemkwa (huchez ) walio maziwa makuu

Zanzibar ni njema atae na ajee

Kipindi hicho wazanzibar hawakuwa wanafunga nyumba zao wakitoka wakati huo mzanzibar akipoteza kipochi chake anaenda nyumbani kusikiliza matangazo ya radio aijua tuu aliekiokota ataenda kukitangaza radioni

Hivi sasa tumekuwa wakimbizi katik nchi yetu hakuna staha tena harufu inayo zagaa ni pombe toka tanganyika ukahaba toka tangannyika na Kiswahili kichafu cha kitanganyika husikii tena inapofika jioni harufu za marashi ya karafuu

Harifu ya vikuba

Harufu ya asumuni

Wala harufu ya milangi langi

Harufu iliyozagaa ni ugoro wa kimasai na vinyago vilivyotapakaa kila kona

Mama zanzibar tulikupenda mama lakini watanganyika wamekupenda zaid

#Free zanziba

#Bring our nation back

#Go home mtanganyika

Wenu mwanaharakati huru dega
Ninachofahamu ni kwamba Salim ndiye alikuwa chaguo la Mwalimu la mrithi wake; na Bara Salim na Sokoine ndiyo wanaongoza katika kuheshimika kati ya waliowahi kushika nafasi ya Waziri Mkuu. Ninachojua ni kwamba kwenye mkutano wa uteuzi wa mgombea urais, chaguo la Mwalimu lilikuwa Salim. Timu ya kutoka Zanzibar ilikuwa haimpendi Salim kwa kuwa ni Mpemba na walikuwa wanamshuku kuhusika na mauaji ya Mzee Karume. Ingawa jina la Mwinyi lilipendekezwa, ilitegemewa iwe gelesha tu. Mzee Mwinyi alikuwa akatae pendekezo hilo na pendekezo linalofuatia lilikuwa liwe Salim. Lakini Mzee Ruksa hakukataa pendekezo na ndiyo ukawa mwisho wa Salim. Vivyo hivyo baada ya Mwinyi, Salim hakuwa akiungwa mkono na Zanzibar lakini kwa Bara anaungwa mkono.
 
Nikipata muda huwa nafuatilia siasa za Zanzibar sana. Kule siasa ni zaidi ya Utanzania. Ukifanya study utabaini nini hasa Wazanzibari wanataka. Kwanza wana hoja lakini hazisikilizwi na watawala wa upande wa Muungano. Hata huko SMZ wenyewe ukiwapata kindaki ndaki wanapinga namna mambo yanavyoendeshwa kwenye Muungano na CCM.

Mapandikizi yaliopo Zanzibar ni mengi na yanafanana kwa majina na tabia za Wazanzibari wenyewe. Lkn wako huko kwa kazi maalumu. Huwezi kuamini ndani ya SMZ kwa asilimia zaidi ya 50% watendaji na wenye maamuzi mizizi yao haiko Zanzibar. Naogopa kuitwa mchochezi. Kuna mambo mengi nayajuwa huko. Nimekuwa mfuatiliaji sana wa siasa za Zanzibar. kitambo.


Wazanzibari wana shida.
 
Hii sikubaliani nayo kabisa kwa sababu zifuatazo.
Kwanza Raisi ya pili Mzee Mwinyi ni mzanzibari na alikuwa raisi wa nchi hii.
Sababu ya pili ndani ya nchi hii kuna waarabu, wahindi na hata wasomali ambao sio wazawa wa Zanzibar na wapo madarakani, delta binafsi na ni matajiri na hawabagukiwi. Tena wanapewa heshima kubwa na jamii.
Ukienda uhamiajii pale wanaogoza kwa kupewa passport ni wahindi, waarabu na wazanzibari.
Suala la Dr. Salim kutopata uraisi ni suala la Kisiasa na sio kwamba tumemuangusha. Toka tunasoma shule tunamfahamu kwa umahiri wake haswa kuwa kiongozi aliye kaa mda mrefu kwenye kiti cha umoja wa Afrika.
Nakusihi fuatilia zaidi
Wazanzibar wengi wanaugulia machungu ya ubaguzi toka kwa watanganyika Dr. Salim ni mfano mzuri ya wahanga wa ubaguzi toka kwa watanganyika

Dunia inamfahamu Dr. Salim kama mwana diplomasia nguli ktk ukanda huu kwani ameshiza nafanyi nyeti kuanzia OAU na baadae UN na kama si figisu za wamarekani angelikua mwafrika wa kwanza kushika wadhifa wa ukatibu mkuu wa UN

Na aliporudi nchini mwana diplomasia huyu alijitosa ktk kinyanganyiro cha Urais kwa mategemeo makubwa na kujiamini kutokana na sifa zake Kimataifa na kwa yale aliyowatendea wa Tanzania.

Lakini kwa mshangao mkubwa alikutana na machungu ya ubaguzi kwa uzanzibar wake na kwa rangi yake. Aliitwa mgeni jamaa zake wapo Oman kwa hivyo wanaostahiki kukamata nafasi hiyo ni waruguru.Wagogo,wamatumbi,wahehe na wengineo!!Uzanzibar na rangi yake vilimponza Mwanadiplomasia huyu nguli

Ubaguzi huu bado upo ktk mishipa ya watanganyika wengi hivi sasa mmasai toka Monduli alioingia visiwani kwa mwenge asiyekijua hata kiswahili atathaminika kuliko mzanzibar ambae kizazi chake kina mpaka miaka mia mbili toka kuingia visiwani humu

Watanganyika wajua fika kwamba Zanzibar ni cosmopolitan country jamii toka maeneo tafauti duniani waliunganisha tamaduni Zanzibar hatimae wakaja na utamaduni wa aina ya mseto toka kila pembe ya dunia na hatimaye walisifika duniani kote kwa ustaarabu wao

Vyakula vyao

Mavazi yao

Na lugha yao adhimu ya kiswahili.

Hivyo nguvu za Zanzibar zilipasua anga hadi maziwa makuu Zanzibar ikawafundisha watu ustaarabu wa kuvaa kupika kuzungumza nk nk athari ya Zanzibar ikajaa maziwa makuu kiujumla na khasa kwa Tangannyika

Kipindi hicho ndipo ilipokewa ktk misamiati ya lugha yetu tamu kama msemo usemao:

Zumari likipulizwa Zanzibar huemkwa (huchez ) walio maziwa makuu

Zanzibar ni njema atae na ajee

Kipindi hicho wazanzibar hawakuwa wanafunga nyumba zao wakitoka wakati huo mzanzibar akipoteza kipochi chake anaenda nyumbani kusikiliza matangazo ya radio aijua tuu aliekiokota ataenda kukitangaza radioni

Hivi sasa tumekuwa wakimbizi katik nchi yetu hakuna staha tena harufu inayo zagaa ni pombe toka tanganyika ukahaba toka tangannyika na Kiswahili kichafu cha kitanganyika husikii tena inapofika jioni harufu za marashi ya karafuu

Harifu ya vikuba

Harufu ya asumuni

Wala harufu ya milangi langi

Harufu iliyozagaa ni ugoro wa kimasai na vinyago vilivyotapakaa kila kona

Mama zanzibar tulikupenda mama lakini watanganyika wamekupenda zaid

#Free zanziba

#Bring our nation back

#Go home mtanganyika

Wenu mwanaharakati huru dega
 
Waambie wazee wako wa Ccm Zanzibar wakusimulie vizuri Kuhusu siasa za chama kianzia 84 hadi 2005 upate ukweli
 
images.jpeg


Hao ndo wazanzibar wanaompenda SAS.

Nyie jamaa wanafiki tu.

(Hilo bango lilipita mbele ya Dr Shein kwenye sherehe ya kitaifa)
 
Hhhhhhhh usinichekeshe Mzanzibar gani anaeuwezo Kwa kumchagua Rais wa TANZANIA kimbuka Dr.Salim alivumishiwa hayo wakati anataka kugombea urais wa Tanzania na si Wazanzibar!!
Utakuwa Mtoto au usiejua kufuatilia mambo. Kwenye Cc ya Ccm2005 wajumbe wa Zanzibar ndo walimnanga waziwazi Salim kuwa ni 'Hizb' na kuwa atarudisha utumwa! Na waliyasema kama 'timu'. Na hilo tayari likawapa mahasimu wake (soma wanamtandao) fursa ya kujiimarisha kwenye kura za Nec. Na kwa mazoea ya chama, kura za Nec na alama za mgombea kutoka Cc hutoa mwelekeo wa mshindi wa uchaguzi.

Na ukumbuke Salim alishika nafasi ya pili wakati wa kura. Kama angekuwa anabaguliwa na Watanganyika asingepata hata nafasi ya nne kwa kuzingatia idadi ya wajumbe wa bara.

Salim alibyaguliwa na ndugu zake wenyewe!

Halafu bara hatuna ubaguzi ndiyo maana Marais wenu wakistaafu huhakikisha wana maskani bara
 
Back
Top Bottom