Dr. Salim Ahmed Salim(SAS), Mzanzibar aliyeonja machungu ya kiubaguzi ya Watanganyika

Dr. Salim Ahmed Salim(SAS), Mzanzibar aliyeonja machungu ya kiubaguzi ya Watanganyika

Morroco kama sio waafrika kombe la dunia wangeenda kufuzu uarabuni kilichowafanya wafuzu kupitia CAF ni nini?
 
ardhi ya zanzibar hipo africa sio ya waarabu ni wandengereko wa congo
 
Shida unawasumbua udini na elimu ninyi hadi mnaona wabara sio watu na waarabu ndo ndugu zenu
 
Ila shishangai akili zenu zilivo hata humu jf mvaa kobazi mwenye akili ni adriz,jodar wengine asilimia kubwa mnaishia kutukana watu mashoga
 
Nakuleta vurugu kwa wenyeji eti hakuna kufuga nguruwe
 
Kuandika uzi na kujenga hoja kipaji ambacho sio watu wengi wanacho, mara SAS amebaguliwa na watanzania bara, mara Zanzibar ndio baba na mama wa ustaarabu ukanda huu. kichekesho mwisho wa uzi unageuka kuwa mbaguzi namba moja kwa kusema #Free Zanzibar #Bring our nation back #Go home mtanganyika.
Sentence ya Mwisho ndio ulikua ujumbe wake, lakini alikua cautious ili asiwaharibie wapemba waliojazana Kariakoo...Pia jamaa si mbaguzi tuu pia anawahita Watanganyika ni wachafu ,wamepereka harufu mbaya na lafudhi mbaya Zanzibar. Binafsi post kama hii inaniambia ni nini kinaendelea kwenye jamii yake, huyu Kawa na guts ya kuandika lakini walio wengi ndio waliyonayo moyoni kuhusu Tanganyika...Hii Chuki inakua kila kukicha... nadhan kuna haja ya kufanya referendum ili tuamue kama muungano huu unafaa au la...manake nimeshaona post nyingi sana humu za kulaumiana... this has to stop.
 
Ndg uliyeleta uzi hujui siasa za Zanzibar.
Salim H Salim aliheshimiwa saana Tanzania na kweli alifaa kuwa Rais wa Tz 100%.
Walimwangusha ni Wazenji wenyewe.
Kuna wazee Brg Natepe, Mzee Thabit Kombo nk
walimjaza Mwl Nyerere maneno kuwa Salim ni wa Oman.
Wakambwaga Nec ya CCM.
Wabara unawaonea hawakuhusika, tuliza munkali ndg!!
Kumbe hivi ndivyo ilivyokuwa, nilikuwa nikijua ni wanamtandao!
 
Back
Top Bottom