Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Kuna watu huwa wamesoma sana lakini ni wagumu kuelewa.
Huyu Dr Sengati ana matatizo gani?
Kaonywa lakini haelewi!
Hawa ndio tunaita thick headed!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo suala ni straight forward, unaambiwa na wenzio umekosea, wewe unadinda bila sababu.Msomi huyo ameshindwa kujipendekeza kwa wanasiasa kama mlivyozoea kwa wengine.
Hili taifa linahitaji Katiba Mpya kwa haraka sana, na wale wanaosema Chadema ndio wanaitaka hawajitambui, wamezoea kuishi utumwani.
Acha Kabisa Mbungi Ni Nzito, Mpaka Sasa Mate YanadondokaNgapi ngapi huko kati ya Wakojani Utd na Sukuma Gang??
Hiii katiba inayotafutwa baaada ya viongozi wakuu wa chama chako kugaragazwa kwenye majimbo yao itakuwa katiba ya hovyo kuwahi kutokea duniani koteMsomi huyo ameshindwa kujipendekeza kwa wanasiasa kama mlivyozoea kwa wengine.
Hili taifa linahitaji Katiba Mpya kwa haraka sana, na wale wanaosema Chadema ndio wanaitaka hawajitambui, wamezoea kuishi utumwani.
Kojani Utd 3- 0 Sukuma gangNgapi ngapi huko kati ya Wakojani Utd na Sukuma Gang??
🤣Kojani Utd 3- 0 Sukuma gang
Mupe.....Muruke......Hizo fedha anapeleka wapi huyo mkuu wa mkoa?
wai chattle kafagilie kaburi la mungu wenuNgapi ngapi huko kati ya Wakojani Utd na Sukuma Gang??
Mama anaupiga mwingi kisawasawa, wengine hawamwelewi.🤣
🤣🤣 wanaupiga mwingi sana Kojani, Actions tu!
Chadema wenyewe watasikitika Sana wakiona hii comment,maana huko shy wakulima wamenyooshwa hatari.Msomi huyo ameshindwa kujipendekeza kwa wanasiasa kama mlivyozoea kwa wengine.
Hili taifa linahitaji Katiba Mpya kwa haraka sana, na wale wanaosema Chadema ndio wanaitaka hawajitambui, wamezoea kuishi utumwani.
Waligarazwa na zile kura za kwenye mabegi meusi, kuamini kugaragazwa kwa aina hii ni dalili za mtindio wa ubongo.Hiii katiba inayotafutwa baaada ya viongozi wakuu wa chama chako kugaragazwa kwenye majimbo yao itakuwa katiba ya hovyo kuwahi kutokea duniani kote
Sijui kwanini mnaona kupata hizo teuzi ni kama kuurithi ufalme wa mbinguni.Hapo suala ni straight forward, unaambiwa na wenzio umekosea, wewe unadinda bila sababu.
Unajikaribishia kula vumbi.
Kama nchi hii itakuja kuwa chini ya chama kingine ,tofauti na ccm,Basi kitakuwa chama kingine kabisa na sio chadema.tena itakuwa baada ya team gaidi ,ku r.i.p,au kustaafu siasa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mungu ibariki Chadema