OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mkuu tujuze basi wachezaji wa Sukuma GangNgapi ngapi huko kati ya Wakojani Utd na Sukuma Gang??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tujuze basi wachezaji wa Sukuma GangNgapi ngapi huko kati ya Wakojani Utd na Sukuma Gang??
🤣🤣🤣 Acha kunijaza Mkuu.."Google" Victoria Group labda bado lina exist!🤣Mkuu tujuze basi wachezaji wa Sukuma Gang
Mnawaonea wasukuma, mwendazake wala hakuwa msukuma.Mkuu tujuze basi wachezaji wa Sukuma Gang
Mkuu mtu akishakuwa ccm tatizo huanzia hapo la ushirikiano baina ya ubongo na tumbo!!! Mimi hainishangazi maana ukoo wa kambale wote wana sharubu...View attachment 1969340
View attachment 1969343
Kuna watu huwa wamesoma sana lakini ni wagumu kuelewa.
Huyu Dr Sengati ana matatizo gani?
Kaonywa lakini haelewi!
Hawa ndio tunaita thick headed!
Mpaka sasa kikosi cha wakojani kinaongoza kwa bao 3 kwa 1 na ni dakika ya 75.Ngapi ngapi huko kati ya Wakojani Utd na Sukuma Gang??
😀 😀 😀 sio kwamba RC mweusi alikuwa akiwakandamiza weusi wenzie kwa kuwapora mazao???Huyo Rc amechongewa na huyo Waziri mwarabu.
Walitakiwa wamkatae badala ya kuunda vile vikundi vya kikabila vya kumlinda.Mnawaonea wasukuma, mwendazake wala hakuwa msukuma.
Acha kulinganisha Prof Assad na utopolo wewe, unamjua Assad wewe??Alijifanya mbabe na mjuaji kama Prof. Assad! Ahahahahahahah!!!
Mkojani Gang Vs Sukuma GangNa mchezaji wankutumainiwa wa Sukuma gang ametolewa nje kwa red card dakika za mwanzoni tu.
Watapigwa nyingi sana hawa kima washamba .
Mwingine huyu hapa leo kaanyoshwa kisaikolojia.
View attachment 1969367
Lakini leo ardhi za Jamaica na Caribean yote ni mali yetu weusi,makamu wa Raisi USA ni sisi.Hata waliopelekwa utumwani waliuzwa na weusi wenzao
View attachment 1969340
View attachment 1969343
Kuna watu huwa wamesoma sana lakini ni wagumu kuelewa.
Huyu Dr Sengati ana matatizo gani?
Kaonywa lakini haelewi!
Hawa ndio tunaita thick headed!
I know him very well. Ni msomi mmoja mjinga anayelialia kwenye midia eti alionewa kwa kuondolewa kazini bila kukumbuka kuwa aliwekwa na mamlaka hiyo hiyo iliyomuondoa. Eti hawezi kunyenyekea mtu wakati huohuo anakubali kuajiriwa na mtu. Kwangu mimi ni mtu mpumbavu kabisa!!!!!Acha kulinganisha Prof Assad na utopolo wewe, unamjua Assad wewe??
Ni ujinga kufikiri hivyo.
Huyu jamaa alikuwa hajui yuko pale kwa sababu gani ilhali yeye si mhimili.
Serikali inaendeshwa kwa collective responsibility.
Kama ambavyo hapa kwetu makamu ni sisi lakini wakosoaji sio wenzetu 😀 😀Lakini leo ardhi za Jamaica na Caribean yote ni mali yetu weusi,makamu wa Raisi USA ni sisi.
Piga chini hao wapuuzi wa Mwendazake Ndio wanamkwamisha mama,hata Mpango huenda Ndio alikuwa anasema wanahujumu miradi..View attachment 1969340
View attachment 1969343
Kuna watu huwa wamesoma sana lakini ni wagumu kuelewa.
Huyu Dr Sengati ana matatizo gani?
Kaonywa lakini haelewi!
Hawa ndio tunaita thick headed!
Usomi unahusikaje hapo? Atafanya kazi wapi akizuiwa kufanya shughuli zake Tzn kwa kuihujumu Nchi? Acha upumbavu wewe.Msomi huyo ameshindwa kujipendekeza kwa wanasiasa kama mlivyozoea kwa wengine.
Hili taifa linahitaji Katiba Mpya kwa haraka sana, na wale wanaosema Chadema ndio wanaitaka hawajitambui, wamezoea kuishi utumwani.
Nadhani kuna haja ya katiba mpya. Mara nyingi kumekuwa na ugomvi wa chinichini baina ya wakuu wa mikoa na mawaziri. Kwanza waziri wa kilimo au wengineo huwezi toa maelekezo ya moja kwa moja kwa Mkuu wa Mkoa. Kwa sababu kiprotokali hawa wako rank moja. Ndo maana unaona hata mkuu wa mkoa wa Dodoma alitunishiana na waziri wa Elimu kuhusu maagizo ya masomo ya ziada.Hapo suala ni straight forward, unaambiwa na wenzio umekosea, wewe unadinda bila sababu.
Unajikaribishia kula vumbi.
Huenda huyu Dr akawa anajua jambo tumsibeze, huyu waziri baada ya kutaja Olam co. Ltd nimekumbuka mbali sana walikuwa wezi tunajua ilikuwa kampuni ya vigogoView attachment 1969340
View attachment 1969343
Kuna watu huwa wamesoma sana lakini ni wagumu kuelewa.
Huyu Dr Sengati ana matatizo gani?
Kaonywa lakini haelewi!
Hawa ndio tunaita thick headed!