DR. Sengati, RC Shinyanga hivi ulikuwa na matatizo gani kuelewa?

Msomi huyo ameshindwa kujipendekeza kwa wanasiasa kama mlivyozoea kwa wengine mliowaokota jalalani.

Hili taifa linahitaji Katiba Mpya kwa haraka sana, na wale wanaosema Chadema ndio wanaitaka hawajitambui, wamezoea kuishi utumwani.
 
Msomi huyo ameshindwa kujipendekeza kwa wanasiasa kama mlivyozoea kwa wengine.

Hili taifa linahitaji Katiba Mpya kwa haraka sana, na wale wanaosema Chadema ndio wanaitaka hawajitambui, wamezoea kuishi utumwani.
Hapo suala ni straight forward, unaambiwa na wenzio umekosea, wewe unadinda bila sababu.
Unajikaribishia kula vumbi.
 
Msomi huyo ameshindwa kujipendekeza kwa wanasiasa kama mlivyozoea kwa wengine.

Hili taifa linahitaji Katiba Mpya kwa haraka sana, na wale wanaosema Chadema ndio wanaitaka hawajitambui, wamezoea kuishi utumwani.
Hiii katiba inayotafutwa baaada ya viongozi wakuu wa chama chako kugaragazwa kwenye majimbo yao itakuwa katiba ya hovyo kuwahi kutokea duniani kote
 
Msomi huyo ameshindwa kujipendekeza kwa wanasiasa kama mlivyozoea kwa wengine.

Hili taifa linahitaji Katiba Mpya kwa haraka sana, na wale wanaosema Chadema ndio wanaitaka hawajitambui, wamezoea kuishi utumwani.
Chadema wenyewe watasikitika Sana wakiona hii comment,maana huko shy wakulima wamenyooshwa hatari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…