Ujinga zaidi ni kumpa cheo anayejitambua halafu unategemea afanye majukumu yake kwa kukupendeza wewe.Ni ujinga kufikiri hivyo.
Huyu jamaa alikuwa hajui yuko pale kwa sababu gani ilhali yeye si mhimili.
Serikali inaendeshwa kwa collective responsibility.
Sabaya alikuwa jambazi la serikali.Acha kudanganya wajinga wenzako mbona Sabaya anakinywea kikombe peke yake?
Boss naona unajishaua shaua.Ujinga zaidi ni kumpa cheo anayejitambua halafu unategemea afanye majukumu yake kwa kukupendeza wewe.
Sabaya alikuwa jambazi la serikali.
Nafiki una akili ya kutosha kuelewa kuwa Dr Sengati hawezi kushitakiwa kijinai.
Butu Kama kisu cha ngaribaMkuu hii ndiyo tunasema kuna watu wamesoma lakini elimu haikuwakomboa, imagine asingesoma ingekuwaje?
Hata mimi kujisikia sijawahi kukuona kwenye CV, nachokiona kwenye CV miaka yote ni elimu ya mhusika, na experience, sio collective responsibility, wacha kukariri majibu.Boss naona unajishaua shaua.
Mtu hapewi madaraka kwa jinsi anavyojisikia, ama sivyi kina Bashite wangekuwa bado wapo.
Kama CV ni kiboko hata mwendazake mwenye Phd ya kemia angekuwa bado prezidaa na akitembea kifua mberee!Hata kujisikia sijawahi kukuiona kwenye CV, nachokiona kwenye CV miaka yote ni elimu ya mhusika, na experience, sio collective responsibility, wacha kukariri majibu.
Lakini sasa Rc wa Shy mpya ni Kisu kweli kweli, sijui katolewa Unguja sehemu gani?
Wajinga mko wengi.Hata mimi kujisikia sijawahi kukuona kwenye CV, nachokiona kwenye CV miaka yote ni elimu ya mhusika, na experience, sio collective responsibility, wacha kukariri majibu.
Unachosema kina mantiki mkuu, lakini ukishauriwa tena officially ili kuondia kero za wananchi si unatekeleza?Nadhani kuna haja ya katiba mpya. Mara nyingi kumekuwa na ugomvi wa chinichini baina ya wakuu wa mikoa na mawaziri. Kwanza waziri wa kilimo au wengineo huwezi toa maelekezo ya moja kwa moja kwa Mkuu wa Mkoa. Kwa sababu kiprotokali hawa wako rank moja. Ndo maana unaona hata mkuu wa mkoa wa Dodoma alitunishiana na waziri wa Elimu kuhusu maagizo ya masomo ya ziada.
Miaka ya Nyuma kulishawahi kutokea hivyo hivyo vurugu baina ya wizara na Mkoa. Wizara inatoa maagizo mengine Mkoa nao unamsimamo wake.
Ilibidi waziri Mkuu Pinda aingilie kati kuitisha kikao ili kuwepo na utatuzi. Mkuu wa Mkoa alifanikiwa kuteteta hoja zake na hivyo Mkoa na halmashauri waliendeleza kutekeleza walichokuwa wanataka.
Dr. Sengati ni mtu wa misimamo, alijua wazi waziri hawezi muagiza. Ila ilitakiwa tu busara itumike, kujua kuna nini? Sidhani kama atajutia, bado ni kijana, na nimoja ya wakufunzi wazuri. Kuliko unabaki serikalini ktk siasa ati urambe miguu ya wanasiasa. Hii ndo inaitwa hakuna kujipendekeza.
Kama unakumbuka kuna DC fulani wakati wa Kikwete, alimgomea Lowasa na kumwita kijana. Kuna watu hawarambi miguu. Alikuwa ana msimamo huyu DC, kiasi Lowasa na kuogopwa kwake kwa huyo alisarenda!
Wanadai serikali za mitaa zinajitegemea na zinamaamuzi yake bila kuingiliwa kwa mujibu wa katiba, Lakini katiba uvunjwa kila siku. Serikali kuu ndiye amekuwa mwamuzi wa yote. Wanapanga wao kila kitu huko wizarani, serikali za Mitaa zenyewe ni kutekeleza tu. Hii ni kinyume na Katiba ya nchi.
Inafaa hata hawa Wakurungezi wasiteuliwe na Rais. Wakurungezi iwe ni kazi ya ushidani, watu waombe. Mkuu wa Mkoa nae iwe nafasi ya kugombea. Itaondoa huu ukiritimba.
Wewe katibu wa CCM nilikusikia unasema wananchi hatutaki Katiba. Nikuonye na samahani kusema ulitoka usingizini. Kuna mambo mengi yanaweka vipingamizi vya maendeleo kutokana na muundo wa Katiba iliyopo. Rais Kikwete hakuwa mjinga kuanzisha mchakato wa katiba. Anajua tatizo liko wapi.
Katiba hii ikibadilishwa itasaidia kuunda mifumo mingine ya kiutumishi, na kuwa na taratibu ambazo zitaondoa urasmu, na masuala ya rushwa. Halmashauri zinachangia pato la Taifa. Lakini wakati wabajeti, bajeti zao ukatwa na serikali kuu. Hii imefanya maeneo mengine kuzidi kuwa masikini wakati zinachangia pato.
Jinga ni wewe ambaye ni mtumwa wa tumbo! Unaona kabisa kuwa wewe kula ndicho kilichokuleta duniani! eti atakula jeuri yake! Nonsense! Ataishi kama wewe unavyoishi kwani una nini cha zaidi? atakula ugali na bamia kuliko kula cake kwenye utumwa wa samia!Actually jamaa ni mjinga, probably kama wewe.
Hivi alitaka apewe maagizo na nani dio atekeleze!
Enzi za one man show ziliisha na mwendazake, sasa ale jeuri yake.
Bado sijaona point yako.Jinga ni wewe ambaye ni mtumwa wa tumbo! Unaona kabisa kuwa wewe kula ndicho kilichokuleta duniani! eti atakula jeuri yake! Nonsense! Ataishi kama wewe unavyoishi kwani una nini cha zaidi? atakula ugali na bamia kuliko kula cake kwenye utumwa wa samia!
Wazamini wanatuvuta Shati .uwasikilize wazamini wetuu3 - 0! Wakojani wanaupiga mwingi balaa!! Naona ni dk ya 89 sasa, Sukuma Gang wanamzonga mwamuzi wakimhisi kupendelea Wakojani!!
Ni hatari ndugu wapenzi wasikilizaji. Miaka 5 mfululizo Sukumagang walichukua ubingwa wa ligi kuu. Ila safari hii naona matumaini ya kutetea ubingwa wao, yanazidi kupotea.
Kwako Mwalimu Kashasha (RIP)
Siyo kujipendekezaMsomi huyo ameshindwa kujipendekeza kwa wanasiasa kama mlivyozoea kwa wengine.
Hili taifa linahitaji Katiba Mpya kwa haraka sana, na wale wanaosema Chadema ndio wanaitaka hawajitambui, wamezoea kuishi utumwani.
Mpare huyoo wa GonjaaaTusaidiane matunzo.
Mpare huyoo wa Gonjaaa
Wewe ndio huelewi na ni mgumu kweli kweli,kwani unataka mtu afie madarakani kila kiongozi ana misimamo yake anayoiamini na ndio maana kakabidhiwa madaraka.View attachment 1969340
View attachment 1969343
Kuna watu huwa wamesoma sana lakini ni wagumu kuelewa.
Huyu Dr Sengati ana matatizo gani?
Kaonywa lakini haelewi!
Hawa ndio tunaita thick headed!
Kweli si hata njiwa kaandikwa Kojani na hata kapokelewa huko kwenye uwanja wa kojani badala ya uwanja tuliouzoea, endeleeni hivyo pa kulala tutahamia kojani.Kojani Utd 3- 0 Sukuma gang
Kweli si hata njiwa kaandikwa Kojani na hata kapokelewa huko kwenye uwanja wa kojani badala ya uwanja tuliouzoea, endeleeni hivyo pa kulala tutahamia kojani.Kojani Utd 3- 0 Sukuma gang