Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
- Thread starter
-
- #81
Nyie wajinga wajinga inabidi tuwadhamini mkasome Public Administration Mzumbe.Wewe ndio huelewi na ni mgumu kweli kweli,kwani unataka mtu afie madarakani kila kiongozi ana misimamo yake anayoiamini na ndio maana kakabidhiwa madaraka.
Na.ushasema yeye ni.msomi sasa unataka apelekeshwe tu kama ling'ombe yaani kwa sababu kateuliwa anaogopa kutenguliwa.
Uteuzi ni matwaka ya mteuaji hata umlambe lambe akiamua anakubwaga tu
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Kumbe namshauri empty set wa Mzunbe PA.Nyie wajinga wajinga inabidi tuwadhamini mkasome Public Administration Mzumbe.
Unatuuliza tena sisi kuhusu uwepo wa cheo hicho?Zamani miaka ya 80 mwanzoni kwenye Ikulu ndogo/state lodge mkoani nilipokulia kulikuwa na cheo cha mama ikulu. Wakati flani akaletewa gari sawa na la Mkuu wa Mkoa na Katibu wa CCM mkoa. Basi nikawa na wambia wasichana tuliokuwa na shuleni jitahidi mjue masomo wanayo somea mama ikulu na nyie msomee hiyo kazi. Hiki cheo sijui kama bado kipo au la?
Ha ha ha!Kumbe namshauri empty set wa Mzunbe PA.
Nikajua napiga punch lines na class from Kent. Atamia siasa tu bwa shee na kujipendekeza ili uingize siku
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Chagadema, nchi hamchukui ng'oo🤣🤣🤣🤣Mungu ibariki Chadema
EGO if not KIBRI/KIBURI.Hapo suala ni straight forward, unaambiwa na wenzio umekosea, wewe unadinda bila sababu.
Unajikaribishia kula vumbi.
Assad ni utopolo tu; mpenda sifa anayejidai kujua kukagua vitabu vyote vya serikali ilihali kazi hiyo hufanywa na watu wengine kabisa.Acha kulinganisha Prof Assad na utopolo wewe, unamjua Assad wewe??
Hao PHD sindio wameshindwa kutolea maelezo 1,5tl ndugu?Phds wa kiukweli wote wanang'olewa wanawekwa wenye ujuzi wa kupiga hela ya umma [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Msomi huyo ameshindwa kujipendekeza kwa wanasiasa kama mlivyozoea kwa wengine.
Hili taifa linahitaji Katiba Mpya kwa haraka sana, na wale wanaosema Chadema ndio wanaitaka hawajitambui, wamezoea kuishi utumwani.
Mabegi si mliyabeba nyinyi halafu mkajifanya kujichukulia sheria mkononi mlivyofeli saaana lile igizo lenu.Waligarazwa na zile kura za kwenye mabegi meusi, kuamini kugaragazwa kwa aina hii ni dalili za mtindio wa ubongo.
Mabegi mliyabeba nyinyi ilimtie taswira mbaya ya uchaguzii, halafu mkabugi namna ya kuhandle igizo lenuWaligaragazwa na TISS na Polisi kwa kura bandia kwenye mabegi.
Sasa kwa hivi move naona nafeli waliona wamewaweza kwa kuwahamishaNa mchezaji wankutumainiwa wa Sukuma gang ametolewa nje kwa red card dakika za mwanzoni tu.
Watapigwa nyingi sana hawa kima washamba .
Mwingine huyu hapa leo kaanyoshwa kisaikolojia.
View attachment 1969367
Huna ukijuacho,Nadhani kuna haja ya katiba mpya. Mara nyingi kumekuwa na ugomvi wa chinichini baina ya wakuu wa mikoa na mawaziri. Kwanza waziri wa kilimo au wengineo huwezi toa maelekezo ya moja kwa moja kwa Mkuu wa Mkoa. Kwa sababu kiprotokali hawa wako rank moja. Ndo maana unaona hata mkuu wa mkoa wa Dodoma alitunishiana na waziri wa Elimu kuhusu maagizo ya masomo ya ziada.
Miaka ya Nyuma kulishawahi kutokea hivyo hivyo vurugu baina ya wizara na Mkoa. Wizara inatoa maagizo mengine Mkoa nao unamsimamo wake.
Ilibidi waziri Mkuu Pinda aingilie kati kuitisha kikao ili kuwepo na utatuzi. Mkuu wa Mkoa alifanikiwa kuteteta hoja zake na hivyo Mkoa na halmashauri waliendeleza kutekeleza walichokuwa wanataka.
Dr. Sengati ni mtu wa misimamo, alijua wazi waziri hawezi muagiza. Ila ilitakiwa tu busara itumike, kujua kuna nini? Sidhani kama atajutia, bado ni kijana, na nimoja ya wakufunzi wazuri. Kuliko unabaki serikalini ktk siasa ati urambe miguu ya wanasiasa. Hii ndo inaitwa hakuna kujipendekeza.
Kama unakumbuka kuna DC fulani wakati wa Kikwete, alimgomea Lowasa na kumwita kijana. Kuna watu hawarambi miguu. Alikuwa ana msimamo huyu DC, kiasi Lowasa na kuogopwa kwake kwa huyo alisarenda!
Wanadai serikali za mitaa zinajitegemea na zinamaamuzi yake bila kuingiliwa kwa mujibu wa katiba, Lakini katiba uvunjwa kila siku. Serikali kuu ndiye amekuwa mwamuzi wa yote. Wanapanga wao kila kitu huko wizarani, serikali za Mitaa zenyewe ni kutekeleza tu. Hii ni kinyume na Katiba ya nchi.
Inafaa hata hawa Wakurungezi wasiteuliwe na Rais. Wakurungezi iwe ni kazi ya ushidani, watu waombe. Mkuu wa Mkoa nae iwe nafasi ya kugombea. Itaondoa huu ukiritimba.
Wewe katibu wa CCM nilikusikia unasema wananchi hatutaki Katiba. Nikuonye na samahani kusema ulitoka usingizini. Kuna mambo mengi yanaweka vipingamizi vya maendeleo kutokana na muundo wa Katiba iliyopo. Rais Kikwete hakuwa mjinga kuanzisha mchakato wa katiba. Anajua tatizo liko wapi.
Katiba hii ikibadilishwa itasaidia kuunda mifumo mingine ya kiutumishi, na kuwa na taratibu ambazo zitaondoa urasmu, na masuala ya rushwa. Halmashauri zinachangia pato la Taifa. Lakini wakati wabajeti, bajeti zao ukatwa na serikali kuu. Hii imefanya maeneo mengine kuzidi kuwa masikini wakati zinachangia pato.
Alidhani bado yuko enzi za mwendazake, kumbe mambo yamebadirikaKiburi si maungwana....
#SiempreJMT
Hilo nalo neno!Huyo RC atakuwa ni mmoja katika wale wanakikundi cha Polepole,Bashiru na Gwajima hawa kazi yao ni kuvuruga mipango ya Rais Samia ili eti ionekane hawezi kuongoza.