Naishauri Serikali kuwa ione sasa ni wakati muwafaka wa kuanza na hawa wauwaji ili kumaliza mtandao wa Uhalifu nchini.
Wahojiwe vya kutosha na wale ambao hushiriki vitendo vya namna hii wasajiliwe endapo tukio likitokea tu, wawe wa kwanza kuhojiwa na kuonyesha wahusika kwani wanajuana sanaaa hawa.
Ajizi nyumba ya njaa. Tutahadhari na kamchezo haki kakupoteza WANATAALUMA, hawa watu wanapatikana baada muda mrefu kwa gharama kubwa sana. Kwa hili Serikali ijipange haswa. TANZANIA NA AMANI INAWEZEKANA SANA SANA TENA SANA. Mtaalamu ni wamuhimu kuliko kibaka muuaji. Ah, wajawasikia wanaojiita Haki za Binadam ktk hili, kushauri japo
...............