mwene original
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 248
- 48
kuna wakati naona adhabu ya kifo ingerudishwa maana hawa watu wanaoua wenzao nawenyewe wangekuwa wananyngwa jamani labda watu wataogoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Very sad news rest in peace Dr mvungiMungu amlaze mahali pema peponi. Amen. Sasa ni jukumu letu tuliobaki kutimiza majukumu kwa taifa kikamilifu
Ni huzuni kwa Taifa kwani masahibu yaliyopelekea umauti yanatokana na kazi ya kuhuisha roho ya Taifa (Katiba ya Nchi). Mungu ailaze roho yake mahala pema.
Kiukweli siwezi eleza lolote kuhusu wasifu wake kwani tulikuwa faculty tofauti mimi nilikuwa Biashara ila tulikuwa tunakaa hall moja. Labda niseme tu alikuwa mtulivu sana na mwenye kujenga hoja na mtu serious sana katika mambo ya msingi na alipenda sana vitu vya kitamaduni. Nimekumbusha kitu hapo alipokuwa mwaka wa tatu alifanya Birthday yake na badala ya kutuwekea keki alitulisha chakula cha kikwao (kipare) kinachoitwa KISHUMBA. Na ndio maana kila tulipokuwa tunakutana nilikuwa namwita Dr Kishumba au Mzee wa Kishumba.
Hakika Mola ailaze roho ya Mzee wa Kishumba pahala panapostahiki.
R.I.P