TANZIA Dr. Sengondo Mvungi afariki Dunia

TANZIA Dr. Sengondo Mvungi afariki Dunia

Dr Sengondo Mvungi Is No
More,Taarifa zilizonifikia kutoka
Milpark Hospital Ndg yetu Mvungi
Amefariki,Mnamo Majira ya Saa
Tisa na Nusu.Mungu ailaze Roho ya
Marehemu Mahali Pema Peponi.
 
Inasikitisha sana Dr Mvungi kafariki
RIP Dr
 
Nimepata taarifa kwamba Dr. Sengondo Mvungi amefariki dunia kutokana na yale majeraha ya kuvamiwa na majambazi, naendelea kufatilia zaidi.

Source: Millard Ayo
 
huzi habari zina ukweli wowote kweli?


Dr Sengondo Mvungi Is No
More,Taarifa zilizonifikia kutoka
Milpark Hospital Ndg yetu Mvungi
Amefariki,Mnamo Majira ya Saa
Tisa na Nusu.Mungu ailaze Roho ya
Marehemu Mahali Pema Peponi.
 
Jeeeeez!!
Are you serious!
Tunaomba habari hii ithibitishwe,!
 
Haaaaa!? Mungu wangu kwanini watu wanasababishia wengine vidonda vya maisha?
 
Back
Top Bottom