kanda2,
..kama unaona hoja za Dr.Shayo zinazohusu Uchumi zina mapungufu ulichopaswa ni kuzivunja-vunja hoja hizo. siyo kuanza kumshambulia tu kuwa yeye binafsi.
..ni sheria gani za Tanzania inayomkataza mwanamazingira kumkosoa mchumi, ktk masuala ya uchumi?
..kama Dr.Shayo ana interest na masuala ya uchumi kuna makosa gani akiamua kujichanganya?
..kama unaona hoja za Dr.Shayo zinazohusu Uchumi zina mapungufu ulichopaswa ni kuzivunja-vunja hoja hizo. siyo kuanza kumshambulia tu kuwa yeye binafsi.
..ni sheria gani za Tanzania inayomkataza mwanamazingira kumkosoa mchumi, ktk masuala ya uchumi?
..kama Dr.Shayo ana interest na masuala ya uchumi kuna makosa gani akiamua kujichanganya?