mkuu unajua maana ya "aliebobea" na mtoa michango/mawazo? yeye dr shayo anajiita aliebobea kwenye uchumi ina maana kausoma vema.....Mimi nilikimbia umande. Lakini kama sikosehi John von Neumann, Alan Turing walikuwa wamesoma math, physics na walitoa mchango mkubwa katika field zingine kama vile computer science na uchumi.
Kinachotakiwa ni mchango katika jamii.
mkuu unajua maana ya "aliebobea" na mtoa michango/mawazo? yeye dr shayo anajiita aliebobea kwenye uchumi ina maana kausoma vema.....
kanda2,
..kama unaona hoja za Dr.Shayo zinazohusu Uchumi zina mapungufu ulichopaswa ni kuzivunja-vunja hoja hizo. siyo kuanza kumshambulia tu kuwa yeye binafsi.
..ni sheria gani za Tanzania inayomkataza mwanamazingira kumkosoa mchumi, ktk masuala ya uchumi?
..kama Dr.Shayo ana interest na masuala ya uchumi kuna makosa gani akiamua kujichanganya?
.....unajua ilikuwaje hadi mzungu akapewa ukurugenzi wa hospital ya Muhimbili? kwa vile kulikuwa hakuna daktari mzalendo mwenye elimu ya uongozi mzungu alikuwa na MD plus MBA.....
......puuulizzzzz.......acha UONGO!!....kwa hiyo walioongoza huko nyuma kabla na baada ya huyo Mzungu waliteremshwa na Malaika!!........nilifikir una point kumbe........anyway ngoja niendelee kukusoma.........i hope sitakuwa napoteza muda.........
Sio mzungu tu hata LEODGAR TENGA alipata ukurugenzi wa kampuni ya land rover East Africa kwa vile ana Engineering na MBA walikuwa wanatafuta Engineer mwenye ujuzi wa utawala. hili linavunja hoja ya DR.Shayo kuwa hata ukisoma engineering kuna uchumi kama project management, Tenga alipewa based on HIS MBA
kanda2,
..nimesema wewe posting zako nyingi ni za kushambulia Wachagga na Wakristo. ndiyo maana nikamuonya Nyani Ngabu awe makini kidogo ktk kukuunga mkono.
..sasa katika vigogo wote wenye vyeti toka vyuo feki umeona hao Wakristo tu? mbona wengine ambao wako kwenye wizara nyeti kabisa huwaumbui?
..kwani huyu dogo Shayo ni Waziri,Naibu Waziri,Katibu Mkuu,au Mbunge, mpaka umuandame kwa hasira na jazba kiasi hiki? ana umuhimu gani huyu kwa Tanzania kiasi attract attention yetu kiasi hicho?
..hata kama ni mwanamazingira kama unavyodai, amekiuka sheria gani kwa kuchangia masuala ya kiuchumi aliyokuwa na uelewa nayo?
nilijua lazima kauli kama zako lazima zitokee....JF where haters reside..lol..
Thanks for the informtion about dr shayo. kama ni kweli anadanganya then hana sababu ya kuishi uk tena. Ninachojua kuhusu kuishi uk na nchi nyingine za ulaya ni kuwa mkweli aslimia mia. The level of intergrity ni kubwa ninamashaka kama anayamudu maisha yake huko. Bra aje bongo tuendelee kubababa nae. GOOD RESARCH?? MAKE SURE YOU HAVE DONE A GOOD RESEARCH ABOUT HIM OTHERWISE ATAKUPELEKA MAHAKAMANIKwa muda mrefu mdau wa UK Dr.Shayo amekuwa akiitumia blog ya Issa Michuzi na kujifanya kama ni mtaalam wa uchumi toka London Southbank university wakati ukweli ni kuwa Dr.Shayo ni bingwa wa mazingira na hana hata certificate ya uchumi.
nia yangu ni kuwaweka wazi wenzangu,kwani tumewahi kumpata bwana Jack Pemba akisema yeye ni ajenti wa mpira toka UK wakati website ya Fifa haisemi hivyo.
ukipitia website ya London SouthBank University www.lsbu.ac.uk chuo hicho hakina kozi hata ya diploma ya uchumi na pia si katika vyuo bora UK.
Naomba wanaomjua DR.Shayo au DR.Shayo mwenyewe atupe ukweli wa habari labda nilivyofahamu mimi ni tofauti.
Hivi karibuni alifanya Interview kama mtalaam wa uchumi toka UK mimi niliamini hivyo hadi nilipoelezwa tofauti. hili linatusaidia huko mbele ya safari kwani kuna watu wamewahi kuja hapa nchini wakisema wamehitimu utawala marekani wakapewa UVC wa Mzumbe wakati ukweli sio ulivyo.
kinga ni bora kuliko tiba.