Elections 2010 Dr. Shein aibuka kidedea; kuiwakilisha CCM urais Zanzibar 2010

Elections 2010 Dr. Shein aibuka kidedea; kuiwakilisha CCM urais Zanzibar 2010

Ni Dk. Shein ameibuka kidedea kwa kuwaacha mbali sana Dk Bilal na msanii Vuai.
 
Maskani ya Kisiwandui,maskani ya kikwajuni,maskani ya Donge,maskani ya Tunguu,kule mwanakwerekwe,viunga vya Haile Salasie hata maskani ya Bububu,sokoni Kibandamaiti hata viunga vya Rolling Stone hasa rafiki yangu Makungu ambaye aliwahi niambie "ZNZ itazimia"kama safari hii tena "mwana wao"Bilal atatemwa",kwa kweli sijui hali ikoje leo mitaa hiyo!

Kuna yeyote aliyepo Unguja atuhabarize wamepokeaje kwa mpendwa wao kutemwa na nguvu za uwingi wa wajumbe toka Bara?
 
Napigiwa simu na mtu wa karibu na RA anasema, "Hakuna tena wa kumzuia Bilal kama walivyomshindwa JK 2005, tayari anasubiri kupitishwa kuwa mgombea wa CCM Zanzibar"

Mbona Bilal ameshapigwa chini kwenye vikao vyenye maamuzi ya mwisho, "the 3rd try and the last one"
 
Afro Shiraz lazima wapate maradhi ya moyo mwaka huu! Ndo kusema mpemba lzm atawale Zanzibar end of the year!
 
Naona wabara wanakamilisha kuweka 'Gavana' wao Shein ili waendelee kuinyonga Znz vizuri.

Namalizia kusema : Mafuta si suala suala la Muungano.
 
Naona wabara wanakamilisha kuweka 'Gavana' wao Shein ili waendelee kuinyonga Znz vizuri.

Namalizia kusema : Mafuta si suala suala la Muungano.

Nina muonea huruma Dr. Shein, hapo amewekwa kama boya, atapelekeshwa puta mpaka achanganyikiwe. Mtihani wa kwanza ni hilo swala la mafuta. Akimaliza hilo, litakuja swala la Zanzibar kujiunga na OIC. Halafu wanamalizia na zile kero ndogo ndogo za Muungano.

I know for sure wa-Unguja wengi watampinga na serikali yake inaweza kupata wakati mgumu sana, labda kama wataunda serikali ya UMOJA. Hata wakiunda serikali ya UMOJA bado haijulikani ni sera za chama kipi zitatumika kuongoza Zanzibar. Je, watatumia sera za CUF ama za CCM.

Mwaka huu CCM imekula kwao, sioni uwezekano wa CCM kutawala Zanzibar.
 
There are currently 261 users browsing this thread

Wote hawa wanafuatilia uteuzi wa wazenji?

Mimi yeyote nasema atakayechaguliwa Zenji sawa tu. Kwanza hawana usemi kwenye utawala hao watawala wa Zenji. Mwenye mamlaka ya mwisho ni JK.

Natamani kusikia mpambano wa JK na Lipumba na mgombea wa Chadema.

Bado nina hamu ya kuona mdahalo kati ya wagombea wa 'sisi m' CUF na CHADEMA katika kinyang'anyiro cha urais URT

MF,

JK akubali mdahalo? i say NO, yes NO. Labda uendeshwe na TIDO. Natabiri ataanguka sana safari hii.
 
Ndiyo kusema ile kasumba ya Zanzibar kutawaliwa na marais kutoka Unguja imevunjwa coz whatever the case it is either Dr.Shein or Maalim Seif from Pemba.
 
Hii ni pasi ndefu saana,goli lake litakuja kufungwa 2015.Just wait n see....acha kabisa kucheza na mafisadi.
 
MF,

JK akubali mdahalo? i say NO, yes NO. Labda uendeshwe na TIDO. Natabiri ataanguka sana safari hii.

...TIDO? Ambaye bila shaka atampa maswali ya kumbeba beba kama ilivyokuwa mara ya mwisho? Nah! Labda yule Mkenya Warungu ama hata Mwanakijiji wetu!! Not Tido.
 
Wakuu,
Nimepata taarifa kutoka ndani ya chama kuwa Dr. Ali Mohamed Shein amechaguliwa kuwa mgombea urais wa Zenji kwa tiketi ya CCM baada ya kupata kura nyingi zaidi dhidi ya Dr Bilal na Nahodha.

Swali langu ni kwamba je atahimili vishindo vya Seif Sharif au kamati ya ufundi itafanya kazi kama kawa?
 
Let us ask ourselves..Hivi ni wangapi wetu tunaoamini kwamba CCM inaweza kuachia madaraka Znz?? Tuwe wakweli ktk kujibu hili.
 
Possible Vice-Presidents:

Salim Ahmed Salim?
Bilal?
Nahodha?
 
....Not in this life. Maybe in another life.

I second with u sir,

Ktk kuuliza swali nilikuwa najaribu kuwaelewa watu wanaoshangilia kwamba CUF imepata mteremko (?).

CCM ikishindwa Znz kutakuwa na very big reshuffle and overhaul kwene Muungano, na kuondoa elements za uswahili. Hivo hapa CCM itafanya kila sarakasi to maintain status quo, haitokubali abadan asilani 'kushindwa'.
 
Possible Vice-Presidents:

Salim Ahmed Salim?
Bilal?
Nahodha?

Huyu Salim unamaanisha Dr. Salim Ahmed Salim? huyu haiwezekani. Kikwete mwenyewe anajua hawezi kwenda nae. Dr. Salim hawezi kukubaliana na upuuzi wa huyu Mkwere labda Dr. apewe ubunge then awe Waziri Mkuu (Mtendaji Mkuu wa Serikali na Pinda awe Makamu Rais.

Bilali mmmh! no comment

Nahodha anaweza kupewa hiyo nafasi, hata angewekewa yule octopus wa Ujerumani angemchagua Nahodha pasipo shaka.
 
I second with u sir,

Ktk kuuliza swali nilikuwa najaribu kuwaelewa watu wanaoshangilia kwamba CUF imepata mteremko (?).

CCM ikishindwa Znz kutakuwa na very big reshuffle and overhaul kwene Muungano, na kuondoa elements za uswahili. Hivo hapa CCM itafanya kila sarakasi to maintain status quo, haitokubali abadan asilani 'kushindwa'.

Kwa gharama hiyo ya kumpandisha Shein hapo.....Maalim Seif atafute mbadala.Hata kama akishinda kwa kwa 80%,watapindua tu tu matokeo.
 
CCM wameisha sema 2010 USHINDI NI LAZIMA so kuchaguliwa DR Cheni oooooh Sorry DR SHEIN si mteremko kwa Maalim Seif!
 
Nakubaliana na wote wanaoona kuwa Sisi M haiwezi kukubali kushindwa na Kafu zenji.
Siku mkisikia Sisi M wamekubali kushindwa zenji basi mjue huo ndio mwisho wake hata huku kwetu bara.
Kwa sababu hiyo, Kafu wakae mkao wa kulialia kama kawaida yao. Ajabu ni kwamba hawatakuwa na ngonjera kali kali za uunguja na upemba kama ilivyozoeleka maana hata huyo watakayekuwa wakilia kawafanyia foul ni mpemba mwenzao. Case closed.
 
Hapa kazi ipo tukamuazime yule Muhindi KASUKU wake na Wajerumani PWEZA WAO ili waje watutabiria nani atashiinda ZNZ halafu tumchukue na mtabiri wetu maarufu Shekh Yahaya........:A S-confused1: Hadi ifike Octoba 2010 :crazy::crazy:
 
Back
Top Bottom