Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu tujuzeni yanayojiri huko Idodomya.
Moshi mweupe unaelekea kumfunika nani?
Teh Teh Teh Teh Mkuu inabidi wategemea kweli kuna kula kweli leo maana twangojea kwa hamu sana kujua ni Kiongozi yupi atatukwamua huko Zenji.
Kweli twahitaji kiongozi shupavu mwenye busara hekima na msikivu kwa wanchi wa Zenji na Bara pia twahitaji mabadiliko na maendeleo sasa nadhani katika vuguvugu hili CCM wanapaswa kujipanga vyema kuboresha Chama nadhani mambo yako wazi nyakati hizi, watu wasikimbilie Uongozi bora uongozi twahitaji viongozi wawajibikaji
Tupeni Detailz pindi mpatapo kutoka DOM.
Eeeeh kwli nimesikia Ati Mr.Sitta Ameiuliza serikali ya CCM kama inadhamira ya kuhamia DOM na anashangazwa kuwa serikali yaendelea jenga nyumba za Mawaziri Dar?
Kwanini Hili laendelea CCM wanashindwa timiza sera hiyo toka 1980's kweli ?????? hiii napenda iende kwa vijana kama wakina January Makamba wanao sema wanakuja na chachu na kutaka kurekebisha MUSTAKABALI WA NCHI HII
mbona Bilali anafanala na Balali? Tuwe makini
UPDATES (Kutoka Dodoma):
Mpaka sasa tatu bora ni Shein, Bilal na Nahodha...
UPDATES (Kutoka Dodoma):
Mpaka sasa tatu bora ni Shein, Bilal na Nahodha...
Congruence Theory applies here?
Bilal ≅ Balali
Umenikumbusha hii Hesabu:
Side-Angle-Side (SAS)
Angle-Side-Angle (ASA)
Angle-Angle-Side (AAS)
There are currently 106 users browsing this thread. (28 members and 78 guests)
Obuntu,Limbani,MJM,abdu,Elli,Shalom,Junius,Jafar,Middle,blackpepper,Mkaguzi,Edo,Roya Roy,Dark City,Kyachakiche,Belo,Kinyambiss,lyangalo,Kilinzibar,chapa,Maisha,Mburahati,Kudi Shauri,Nyunyu,Akili Unazo!,Chiluba,kichenchele,Chimunguru,
Kama kawaida Tz bara tutaendelea kuwachagulia wazenj rais wao indirectly yaani watake wasitake....