Elections 2010 Dr. Shein aibuka kidedea; kuiwakilisha CCM urais Zanzibar 2010

Wakuu tujuzeni yanayojiri huko Idodomya.
Moshi mweupe unaelekea kumfunika nani?
 
nahodha au shei, billal tupilia mbali😛ound:
 
Sina haja hata ya kujua. Atakaye kuja huyo huyo tutakutana kilingeni. Najua Seif kajiweka tayari kumkabiri bila kujali sura wala wasifu wake.
 
Mkuu Halisi:

Macho yetu leo hayabanduki hapa:

Dr. Shein v/s Dr. Bilal : ni kama fainali ya Woza
 
dOKTA Shein ananikwaza maana nasikia hakuwa na nia ya kugombea, kashawishiwa na Kikwete na pia nimesikia nyuma yake yupo Rais WA Znz, sasa kama yeye bi chaguo la viongozi walioshindwa na yeye automatically amefail kabla hajaanza , maana anaomba mamlaka amabayo nafsi yake haina haja nayo, atatuangusha.
Bilal na wagombea wengine hatujaambiwa kama ni vipenzi vya makundi ya Watawala, ni heri ajitawalaye kifikra maana huyo anajua kwanini anataka madaraka makubwa visiwani.
 
mbona Bilali anafanala na Balali? Tuwe makini
 
Hivi Zenji wanawake hawaruhusiwi kugombea urais? maana utaona wanasukumana kwenye ubunge wao wanaita uwakilishi. Hata uwaziri kiongozi tu hawawezi pewa?
Wanadanganywa tu kila siku kuwa wao pia wapewe upendeleo. Tumia akili za mbayuwayu.
 

In red....kwa kutumia kichwa cha Yusuph? no way.....huyo Sitta alishakuwa waziri wa CDA miaka hiyo ya 1980s.....alifanya nini?
 
mbona Bilali anafanala na Balali? Tuwe makini

Congruence Theory applies here?

Bilal ≅ Balali

Umenikumbusha hii Hesabu:
Side-Angle-Side (SAS)
Angle-Side-Angle (ASA)
Angle-Angle-Side (AAS)
 
UPDATES (Kutoka Dodoma):

Mpaka sasa tatu bora ni Shein, Bilal na Nahodha...
 
UPDATES (Kutoka Dodoma):

Mpaka sasa tatu bora ni Shein, Bilal na Nahodha...

Poa mkuu.

Yaani sielewi kwa nini watu wanatumia muda wao kusubiri majibu yaliyo wazi kabisa. Naamini bila shaka kuwa mgombea wa ZNZ ni Dr Shein.

Ngoja wadau wasubiri confirmation.
 
Congruence Theory applies here?

Bilal ≅ Balali

Umenikumbusha hii Hesabu:
Side-Angle-Side (SAS)
Angle-Side-Angle (ASA)
Angle-Angle-Side (AAS)

Side - Side - side (SSS)
 
Kama kawaida Tz bara tutaendelea kuwachagulia wazenj rais wao indirectly yaani watake wasitake....
 
Mbona News hai-Break?

 
Kama kawaida Tz bara tutaendelea kuwachagulia wazenj rais wao indirectly yaani watake wasitake....

Hii ni directly maana wakimaliza hapo atakayepita wataanza kumfanyia mpango wa kuiba kura kwenye uchaguzi na ndiyo CCm wanaita demokrasia. Kweli CCM yajenga nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…