king suleman
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 1,749
- 1,149
Kanyoa Afro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasie Kasie vuta subira kidogoUkimuangalia kwa karibu huyu baba ni handsome wa hajaa ........ lips za denda bado anazo.
Kasie Matata.
Dr. Shika aliwashika wengi sana, sijui ela zake zinafika lini tz
Kiongozi mbona umevua nguo hivyo dr. SHIKA wa watuHELA GANI ???? MAVI YA KUKU !!! HANA HELA HANA NINI, KICHWA KIMEDATA NDIO MAANA WATAALAMU WAJUZI WA MAMBO WALIPOMBAINI HAWAKUONA HAJA YA KUMFUNGULIA MASHTAKA WAKAMWACHA ANENG'ENEKE NA MAZUZU WENZIE !!!
UuuuwiiiDr. Shika anatabasamu bila kufungus mdomo akichelea mapengo yataharibu picha.
Et dada mwemaUuuuwiii
Kwa Dr Shika atashika mkwanja.Miss Natafuta ni bingwa wa kutafuta mi GuDume yenye pesa hapa mjini
Mate yanakuchuruzika kwa uchu mtoto wa Kinyamwezi
halooooo oooooo kasie huyo ni mzee mwenzio basi umtafute pia anafweza
Lingosha hilo, wako hivyo, hatushangai umeshikwa..
wanawake mmeshaanza kummendea baba yetu, muda si mrefu tulikuwa tunawaona wadogo zetu lakini tutaanza kuwaita mama zetu wadogo. hamchelewi kumwachia mwenye hela awalenge ninyi. mwacheni mzee alishwe stress ziondoke ndio muwe mama zetu wadogo.
Kasie Kasie vuta subira kidogo
! Nani kampuuza na kabla ya kupuuzwa alikuwaje?Baada ya kujipendekeza ccm huyu masikini watu wamempuuza vibaya sana !
mi ninayo midomo mizuri kuliko ya shika..afu naishi chamng'anda,kiloleni na lwanzali..nimevuka 30 kiumri...wasemaje mgikulu!?Saaanaaa yaani niko lawalawa bin lowalowa....
Penda sana kunyonyaz ndomo mie hahahahahaaa
Kasie.
huyo anawaza siasa tu achana nae! Nani kampuuza na kabla ya kupuuzwa alikuwaje?
mi ninayo midomo mizuri kuliko ya shika..afu naishi chamng'anda,kiloleni na lwanzali..nimevuka 30 kiumri...wasemaje mgikulu!?