Dr. Shika ni Mwana JF mwezetu

Dr. Shika ni Mwana JF mwezetu

Dr. Shika aliwashika wengi sana, sijui ela zake zinafika lini tz


HELA GANI ???? MAVI YA KUKU !!! HANA HELA HANA NINI, KICHWA KIMEDATA NDIO MAANA WATAALAMU WAJUZI WA MAMBO WALIPOMBAINI HAWAKUONA HAJA YA KUMFUNGULIA MASHTAKA WAKAMWACHA ANENG'ENEKE NA MAZUZU WENZIE !!!
 
HELA GANI ???? MAVI YA KUKU !!! HANA HELA HANA NINI, KICHWA KIMEDATA NDIO MAANA WATAALAMU WAJUZI WA MAMBO WALIPOMBAINI HAWAKUONA HAJA YA KUMFUNGULIA MASHTAKA WAKAMWACHA ANENG'ENEKE NA MAZUZU WENZIE !!!
Kiongozi mbona umevua nguo hivyo dr. SHIKA wa watu
 
wanawake mmeshaanza kummendea baba yetu, muda si mrefu tulikuwa tunawaona wadogo zetu lakini tutaanza kuwaita mama zetu wadogo. hamchelewi kumwachia mwenye hela awalenge ninyi. mwacheni mzee alishwe stress ziondoke ndio muwe mama zetu wadogo.

Kasie ni mwanamke mwenye haiba ya mapenzi hasa akivutiwa na mwana baba mithili ya Dr. Shika ni Malovedove kwenda mbele.
 
Saaanaaa yaani niko lawalawa bin lowalowa....
Penda sana kunyonyaz ndomo mie hahahahahaaa

Kasie.
mi ninayo midomo mizuri kuliko ya shika..afu naishi chamng'anda,kiloleni na lwanzali..nimevuka 30 kiumri...wasemaje mgikulu!?
 
Back
Top Bottom