joyce shija
JF-Expert Member
- Jul 20, 2017
- 471
- 189
ila ujichunge maana huyo ni mlusiMie teenaaa naanzaje kuchelewa.....
Fweza sio issue kwa Kasie issue ni dendaaaz heheh
Kasie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ila ujichunge maana huyo ni mlusiMie teenaaa naanzaje kuchelewa.....
Fweza sio issue kwa Kasie issue ni dendaaaz heheh
Kasie.
Kwani sura ipoje?Huyu Mod namkubali,yuko poa sana tofauti na sura yake
Hela inatakatisha
pesa ndio Sabuni ya rohoMpaka kaweza kuibua ki Ben 10, hela si mchezo
Huu ni wivu, hasira, povu, roho mbaya, pepo, jina mizi, msukule, vyu vimekaza, au... BangeHELA GANI ???? MAVI YA KUKU !!! HANA HELA HANA NINI, KICHWA KIMEDATA NDIO MAANA WATAALAMU WAJUZI WA MAMBO WALIPOMBAINI HAWAKUONA HAJA YA KUMFUNGULIA MASHTAKA WAKAMWACHA ANENG'ENEKE NA MAZUZU WENZIE !!!
Wanga walikosa nyama ya Christmas wakanibanika mimi.Umefanyaje mpaka ubanikwe tena?
Sasa hapo unalia au unacheka?Uuuuwiii
Mpaka kaweza kuibua ki Ben 10, hela si mchezo
duhKale kajamaa kanataka kutunzwa tu na kutembeza dushe kwa kina Esma pia.
Wanaume wa Dar