Dr. Shika ni Mwana JF mwezetu

Dr. Shika ni Mwana JF mwezetu

HELA GANI ???? MAVI YA KUKU !!! HANA HELA HANA NINI, KICHWA KIMEDATA NDIO MAANA WATAALAMU WAJUZI WA MAMBO WALIPOMBAINI HAWAKUONA HAJA YA KUMFUNGULIA MASHTAKA WAKAMWACHA ANENG'ENEKE NA MAZUZU WENZIE !!!
Huu ni wivu, hasira, povu, roho mbaya, pepo, jina mizi, msukule, vyu vimekaza, au... Bange
 
Wanaume wa Dar


Umenishitua kidogo, eti jamaa ni mwanamme wa Dar....kwa hiyo atakuwa anashikishwa ukuta na Mama Diamond au? Maana wanaume wa Dar ni watata sana. Utaliona jitu refu na lina six pack ila ni mke wa mtu huko uchochoroni.
 
Kweli ameishika mitandao kama jina lake
 
Back
Top Bottom