Dr Slaa: 2015 Nilipelekwa Italia for Presidential Training kwa Mkufunzi wa Angela Mark wa Ujerumani, niliandaliwa Mgombea Urais

Dr Slaa: 2015 Nilipelekwa Italia for Presidential Training kwa Mkufunzi wa Angela Mark wa Ujerumani, niliandaliwa Mgombea Urais

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Shallom.

Jana weekend nilikuwa natembelea Na kusaka habari za siasa zinazojiri mitandaoni.

Nilikutana na interview ya Dr Slaa akiwa nyumbani kwake Mbweni iliyorushwa na Jambo Online TV.

Pamoja na mambo mengine majadiliano yale yalijikita hasa kujadili ni kwa namna gani Dr Slaa alijiengua wakati wa Mapambano Chini ya Ukawa 2015.

Kiukweli mambo mazito yaliwekwa wazi kwenye interview ile.

Dr Slaa amepata nafasi ya kuweka wazi yoote yaliyojiri hadi akaamua kukimbilia Canada kwa msaada wa Balozi wa Kanad na sio kwa msaada wa CCM kama tulivyoaminishwa hapo awali.

Amedai kuwa Kamati na Mifumo husika ilimwandaa kugombea na Kuwa Rais wa JMT. Mifumo hiyo ilimpeleka kwenye mafunzo ya kujiandaa kuongoza Nchi.

Mafunzo hayo yalifanyika chini ya magwiji wa Trainings za Marais akiwemo Mkufunzi wa Chancelor wa Ujermani Bi Angela Mark yaliyofanyika Nchini Italia.

Mambo mengi ameyazungumza interview iko Youtube.

Dr Slaa unisameehe pale nilipokuita Dr Mihogo ilikuwa ni Hasira tu na hatukuujua ukweli.
 
Shallom.

Jana weekend nilikuwa natembelea Na kusaka habari za siasa zinazojiri mitandaoni.

Nilikutana na interview ya Dr Slaa akiwa nyumbani kwake Mbweni iliyorushwa na Jambo Online TV.

Pamoja na mambo mengine majadiliano yale yalijikita hasa kujadili ni kwa namna gani Dr Slaa alijiengua wakati wa Mapambano Chini ya Ukawa 2015.

Kiukweli mambo mazito yaliwekwa wazi kwenye interview ile.

Dr Slaa amepata nafasi ya kuweka wazi yoote yaliyojiri hadi akaamua kukimbilia Canada kwa msaada wa Balozi wa Kanad na sio kwa msaada wa CCM kama tulivyoaminishwa hapo awali.

Amedai kuwa Kamati na Mifumo husika ilimwandaa kugombea na Kuwa Rais wa JMT. Mifumo hiyo ilimpeleka kwenye mafunzo ya kujiandaa kuongoza Nchi.

Mafunzo hayo yalifanyika chini ya magwiji wa Trainings za Marais akiwemo Mkufunzi wa Chancelor wa Ujermani Bi Angela Mark yaliyofanyika Nchini Italia.

Mambo mengi ameyazungumza interview iko Youtube.

Dr Slaa unisameehe pale nilipokuita Dr Mihogo ilikuwa ni Hasira tu na hatukuujua ukweli.
Story yake haina uhalisia wala maana yoyote. Ni hadithi tu. Kwa mfano;

1. Mwaka 2010 Dr. Slaa aligombea Urais, vipi alikuwa amepitia hayo mafunzo?

2
Aliandaliwaje (wakina nani walimuandaa) kuwa Rais wa Tz wakati hata mchakato wa kuchukua fomu za kugombea urais ndani ya Chadema mwaka 2015 ulikuwa bado?

3. Katiba ya Chadema inatoa uhuru kwa mwanachama yoyote yule kuomba kugombea urais, kwanini Slaa achukie Lowassa kuhamia Chadema na kuchukua fomu ya kugombea urais? Kwanini Dr. Slaa hakuchukua fomu ili kukabiliana naye?

4. Nani alimfadhili kumuweka Movenpick hotel na kumuandalia press?

5. Kwanini alipopewa ubalozi na Magufuli hakukataa?

6. Kama Dr. Slaa aliamini yeye ni mtu aliyeandaliwa, kufaa na kujiandaa kuwa rais wa Tanzania, kwanini aliishia kumuunga mkono Magufuli (mtu ambaye hakujiandaa vyema au hakuandaliwa kabisa kuwa rais wa Tanzania) badala ya kutafuta Chama chochote agombee?
 
Mwamba akabadili GIA angani aiseh!kumbe Lowasa aliingizwa kuisaidia CCM aiseh!!

Makamanda wakapigishwa mabadiliko ya kuzungusha mikono yasiyo na tija!
Shallom.

Jana weekend nilikuwa natembelea Na kusaka habari za siasa zinazojiri mitandaoni.

Nilikutana na interview ya Dr Slaa akiwa nyumbani kwake Mbweni iliyorushwa na Jambo Online TV.

Pamoja na mambo mengine majadiliano yale yalijikita hasa kujadili ni kwa namna gani Dr Slaa alijiengua wakati wa Mapambano Chini ya Ukawa 2015.

Kiukweli mambo mazito yaliwekwa wazi kwenye interview ile.

Dr Slaa amepata nafasi ya kuweka wazi yoote yaliyojiri hadi akaamua kukimbilia Canada kwa msaada wa Balozi wa Kanad na sio kwa msaada wa CCM kama tulivyoaminishwa hapo awali.

Amedai kuwa Kamati na Mifumo husika ilimwandaa kugombea na Kuwa Rais wa JMT. Mifumo hiyo ilimpeleka kwenye mafunzo ya kujiandaa kuongoza Nchi.

Mafunzo hayo yalifanyika chini ya magwiji wa Trainings za Marais akiwemo Mkufunzi wa Chancelor wa Ujermani Bi Angela Mark yaliyofanyika Nchini Italia.

Mambo mengi ameyazungumza interview iko Youtube.

Dr Slaa unisameehe pale nilipokuita Dr Mihogo ilikuwa ni Hasira tu na hatukuujua ukweli.
 
Story yake haina uhalisia wala maana yoyote. Ni hadithi tu. Kwa mfano;

1. Mwaka 2010 Dr. Slaa aligombea Urais, vipi alikuwa amepitia hayo mafunzo?

2
Aliandaliwaje (wakina nani walimuandaa) kuwa Rais wa Tz wakati hata mchakato wa kuchukua fomu za kugombea urais ndani ya Chadema mwaka 2015 ulikuwa bado?

3. Katiba ya Chadema inatoa uhuru kwa mwanachama yoyote yule kuomba kugombea urais, kwanini Slaa achukie Lowassa kuhamia Chadema na kuchukua fomu ya kugombea urais? Kwanini Dr. Slaa hakuchukua fomu ili kukabiliana naye?

4. Nani alimfadhili kumuweka Movenpick hotel na kumuandalia press?

5. Kwanini alipopewa ubalozi na Magufuli hakukataa?

6. Kama Dr. Slaa aliamini yeye ni mtu aliyeandaliwa, kufaa na kujiandaa kuwa rais wa Tanzania, kwanini aliishia kumuunga mkono Magufuli (mtu ambaye hakujiandaa vyema au hakuandaliwa kabisa kuwa rais wa Tanzania) badala ya kutafuta Chama chochote agombee?
Asante kwa maswali haya muhimu. Yanahitaji majibu.
Zanzibar ASP nakuomba urejee hiyo interview ina majibu yote ya maswali yako.
 
Bado isingekuwa Slaa kuachana na Ukawa, CCM wangekuwa ndio wapinzani sasa
 
aache kupotosha na kudanganya wananchi, aandaliwe kua Rais wa wapi mtu alie asi kanisa, mwenye laana ya usaliti na tamaa kama huyo mzee?

mporaji wa wake za watu na mbinafsi kiasi hicho awe Rais wa nani tafadhali sana my friends ladies and gentlemen?

tuache mzaha na masikhara na tasisi ya urais ndugu wadau. Yaani kuongoza familia imemshinda sembuse nchi?🐒
 
Kwa mipango ile ya wazee wa gia sidhani.

Hata kwa Lowassa kuwa mgombea Urais kama ilivyokuwa...

Kujitoa kwa Slaa kulikatisha tamaa kundi kubwa la watu wa Chadema na waliochoshwa na CCM lililokuwa linamuunga mkono...

Fikiria pamoja na Slaa kujitoa, lakini mamvi aliwakalisha CCM, sasa na babu angekuwepo si ingekuwa balaah...
 
Shallom.

Jana weekend nilikuwa natembelea Na kusaka habari za siasa zinazojiri mitandaoni.

Nilikutana na interview ya Dr Slaa akiwa nyumbani kwake Mbweni iliyorushwa na Jambo Online TV.

Pamoja na mambo mengine majadiliano yale yalijikita hasa kujadili ni kwa namna gani Dr Slaa alijiengua wakati wa Mapambano Chini ya Ukawa 2015.

Kiukweli mambo mazito yaliwekwa wazi kwenye interview ile.

Dr Slaa amepata nafasi ya kuweka wazi yoote yaliyojiri hadi akaamua kukimbilia Canada kwa msaada wa Balozi wa Kanad na sio kwa msaada wa CCM kama tulivyoaminishwa hapo awali.

Amedai kuwa Kamati na Mifumo husika ilimwandaa kugombea na Kuwa Rais wa JMT. Mifumo hiyo ilimpeleka kwenye mafunzo ya kujiandaa kuongoza Nchi.

Mafunzo hayo yalifanyika chini ya magwiji wa Trainings za Marais akiwemo Mkufunzi wa Chancelor wa Ujermani Bi Angela Mark yaliyofanyika Nchini Italia.

Mambo mengi ameyazungumza interview iko Youtube.

Dr Slaa unisameehe pale nilipokuita Dr Mihogo ilikuwa ni Hasira tu na hatukuujua ukweli.
Padre awe rais,never..
 
Back
Top Bottom