Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Usisahau kuwa babu Slaa alikwenda CCM ili kumpigia kampeni Magufuli.Hata kwa Lowassa kuwa mgombea Urais kama ilivyokuwa...
Kujitoa kwa Slaa kulikatisha tamaa kundi kubwa la watu wa Chadema na waliochoshwa na CCM lililokuwa linamuunga mkono...
Fikiria pamoja na Slaa kujitoa, lakini mamvi aliwakalisha CCM, sasa na babu angekuwepo si ingekuwa balaah...
Lengo lake lilikuwa ni nini kama sio kutaka kuona CCM inabakia madarakani kwa gharama yoyote?