Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Usisahau kuwa babu Slaa alikwenda CCM ili kumpigia kampeni Magufuli.Hata kwa Lowassa kuwa mgombea Urais kama ilivyokuwa...
Kujitoa kwa Slaa kulikatisha tamaa kundi kubwa la watu wa Chadema na waliochoshwa na CCM lililokuwa linamuunga mkono...
Fikiria pamoja na Slaa kujitoa, lakini mamvi aliwakalisha CCM, sasa na babu angekuwepo si ingekuwa balaah...
Usisahau kuwa babu Slaa alikwenda CCM ili kumpigia kampeni Magufuli.
Lengo lake lilikuwa ni nini kama sio kutaka kuona CCM inabakia madarakani kwa gharama yoyote?
Kumbe kuna wakati huwa unakuwa na akili. Kweli hata saa mbovu kuna wakati inasema ukweli.Mbowe mzee wetu ni msanii sn hafai kabisa
Shetani weweKumbe kuna wakati huwa unakuwa na akili. Kweli hata saa mbovu kuna wakati inasema ukweli.
Tuliishawahi kusema humu kwamba wafuasi wengi wa Chadema (ambao sasa hivi wengi wao wanamuunga mkono Lissu) wanaropoka kwanza halafu wanafikiri baadae kama alivyo icon wao Lissu. Na wewe Bush Dokta ni shahidi!Shallom.
Jana weekend nilikuwa natembelea Na kusaka habari za siasa zinazojiri mitandaoni.
Nilikutana na interview ya Dr Slaa akiwa nyumbani kwake Mbweni iliyorushwa na Jambo Online TV.
Pamoja na mambo mengine majadiliano yale yalijikita hasa kujadili ni kwa namna gani Dr Slaa alijiengua wakati wa Mapambano Chini ya Ukawa 2015.
Kiukweli mambo mazito yaliwekwa wazi kwenye interview ile.
Dr Slaa amepata nafasi ya kuweka wazi yoote yaliyojiri hadi akaamua kukimbilia Canada kwa msaada wa Balozi wa Kanad na sio kwa msaada wa CCM kama tulivyoaminishwa hapo awali.
Amedai kuwa Kamati na Mifumo husika ilimwandaa kugombea na Kuwa Rais wa JMT. Mifumo hiyo ilimpeleka kwenye mafunzo ya kujiandaa kuongoza Nchi.
Mafunzo hayo yalifanyika chini ya magwiji wa Trainings za Marais akiwemo Mkufunzi wa Chancelor wa Ujermani Bi Angela Mark yaliyofanyika Nchini Italia.
Mambo mengi ameyazungumza interview iko Youtube.
Dr Slaa unisameehe pale nilipokuita Dr Mihogo ilikuwa ni Hasira tu na hatukuujua ukweli.
Hahahah....Hii imeingiaje?Tuliishawahi kusema humu kwamba wafuasi wengi wa Chadema (ambao sasa hivi wengi wao wanamuunga mkono Lissu) wanaropoka kwanza halafu wanafikiri baadae kama alivyo icon wao Lissu. Na wewe Bush Dokta ni shahidi!
Amerudi Full combatDr.Slaa alikuwa ameshajiandaa kuwa raisi wetu wa Tanzania mara ghafla akaletewa Lowassa imagine kama ungekuwa ni wewe ndugu...
Anguko la Mbowe litamfanya Dr.Slaa kurejea ulingo wa Siasa za CHADEMA.
Alizipunguza sanaNdio point yangu kwenye comment ya kwanza kwamba huyu mzee naye alipunguza kura za Ukawa hivyo awe mpole tu kuona CCM ipo madarakani hadi sasa, hata yeye kachangia indirectly...
Karibu tena msomaji
Kesho tuko nae Dr.Slaa kambi ya Lissu tunamhitaji sana.waswahili wanamsemo usemao akuanzae mmalize.Amerudi Full combat
Unajua kwanini Kila Rais duniani akichaguliwa lazima aende Vatican? Hata Mama alienda?Training ya kuwa Rais? Italia? Dr. Slaa ni mwanasiasa mkongwe lakini hayuko serious.
Rais anaandaliwa na mabeberu?? WTF? Huyo ni rais wa nchi au wakala wa Vatican na mabeberu wa Ulaya?
Mzee yuko vizuri sanaKesho tuko nae Dr.Slaa kambi ya Lissu tunamhitaji sana.
Kikwete aliwahi sema Uraisi hausomewiTraining ya kuwa Rais? Italia? Dr. Slaa ni mwanasiasa mkongwe lakini hayuko serious.
Rais anaandaliwa na mabeberu?? WTF? Huyo ni rais wa nchi au wakala wa Vatican na mabeberu wa Ulaya?
Katika vitu nashukuru ni kukataa ulevi wa dini.Padre awe rais,never..