Dr Slaa: 2015 Nilipelekwa Italia for Presidential Training kwa Mkufunzi wa Angela Mark wa Ujerumani, niliandaliwa Mgombea Urais

Mbowe alikula pesa za lowasa akampotezea dr slaa πŸ˜€πŸ˜€
 
Yaani Mzee wa watu alioga afu mjini hakwenda - ha ha ha
Kwa hiyo hasira hizo ndiyo akaitisha ile press na kusema ndoo ya choo imeletwa sebureni, so hawezi kuishi na debe la toilet.

Ila Mzee atambue kwamba siasa ni dynamics - zinabadilika.kutokana na muda & mazingira yaliyopo. Ujio wa EL ulikuwa na impact kubwa sana kuliko yeye kwa muda huo infact EL alishinda uchaguzi ila mfumo ukamgomea kumpa urais.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…