Dr.slaa afunguka kuhusu posho - uzalendo wa DK SLAA ukowapi???

Dr.slaa afunguka kuhusu posho - uzalendo wa DK SLAA ukowapi???

assadsyria3

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
6,905
Reaction score
4,054
Akiwahutubia wananchi leo mjini iringa katika uzinduzi wa kampeni za jimbo la kalenga DK slaa amesema atazunguka nchi nzima kupinga posho kuongezeka zaidi ya laki tatu. nimestuka huyu amesahau ndani ya chama chake mh lema alijitokeza wazwazi kumpinga mh Zitto kuhusu suala la posho vilevile mbunge selasini aliweka wazi kuwa anaunga mkono suala la posho kuongezeka likamalizikia kwa shibuda aliesema anashangaa mtu kukataa posho.

Wabunge hwawa walidai watachukua posho za bunge licha ya chama kuweka msimamo wa kupinga posho lakini sikusikia hata siku moja akiwakemea au kuwaandikia barua kutoa onyo kwa kwenda kinyume na msimamo wa chama.

Cha kushangaza nikuwa DK slaa alipoombwa kugombea uraisi alikumbuka posho za kibunge na kuweka masharti ya kulipwa km mbunge ndipo agombee. je uzalaendo wako kimsingi ukowap juu yaposho na maslahi binfsi.

Source: ITV News
 
Dr.Slaa kaishasahau kama watu wanakumbuka sakata la posho.
 
siasa ni ulaghai jamaa anatudanganya wakati anapiga hela kama mbunge cdm
 
akiwahutubia wananchi leo mjini iringa katika uzinduzi wa kampeni za jimbo la kalenga DK slaa amesema atazunguka nchi nzima kupinga posho kuongezeka zaidi ya laki tatu. nimestuka huyu amesahau ndani ya chama chake mh lema alijitokeza wazwazi kumpinga mh zito kuhusu suala la posho vilevile mbunge selasini aliweka wazi kuwa anaunga mkono suala la posho kuongezeka likamalizikia kwa shibuda aliesema anashangaa mtu kukataa posho. wabunge hwawa walidai watachukua posho za bunge licha ya chama kuweka msimamo wa kupinga posho lakini sikusikia hata siku moja akiwakemea au kuwaandikia barua kutoa onyo kwa kwenda kinyume na msimamo wa chama.
cha kushangaza nikuwa DK slaa alipoombwa kugombea uraisi alikumbuka posho za kibunge na kuweka masharti ya kulipwa km mbunge ndipo agombee. je uzalaendo wako kimsingi ukowap juu yaposho na maslahi binfsi
source: itv news
Mkuu, kote huko mbali sana, mwenyekiti wake mbowe ni mjumbe wa kamati ya kudai ongezeko la posho
 
wabongo muwe makiini kila mtu kwenye maslahi yake anakomaa dk 2010 na posho za kibunge
 
Ni mzee wa kudandia hoja maana kwasasa hana hoja. Swala la posho bosi wake yupo kwenye kamati ya kuitathmini yeye anakurupuka maana ameshaona nyota ikififia huko Kalenga.

Nasari aliweka wazi msimamo wake na wenzie je alilimwa barua?

Slaa alikataza tusimpe zito ushirikiano. Je katika hili anataka kutuambia amebadili msimamo au Zito ndiyo anamfusa?

Nilishangaa eti mgombea wa ccm alibadili uraia ili aoe dah kweli uongo mwingine hauelezeki. Eti alioa 2010 wakati jamaa alioa 2012. Sasa mzee anadandia hoja dah
 
Hiyo habari ni ya kwako bwana na wala siyo itv yani umepotosha sana na kikubwa zaidi kilicho kufanya uandike ivyo ni chuki uliyo nayo zidi ya dr slaa.
akika ninawaambieni alipangalo mungu binadamu awezi kuli...........
 
Mkuu, kote huko mbali sana, mwenyekiti wake mbowe ni mjumbe wa kamati ya kudai ongezeko la posho


Tuweke record vizuri kwanza.Hakuna kamati ya kudai ongezeko la posho. Kamati iliyoundwa ni ya kuangalia kama madai ya ongezeko la posho ni ya msingi na muhimu.

Usiniulize ulazima wa kamati. Ni taratibu tu za Bunge. Baada ya hapo unaweza kurudia kuandika. Ulikuwa umesema.....?
 
Dr.Slaa: Kama chama hatutakuwa tayari kwa wajumbe wa bunge la katiba kuongezewa posho zaidi ya shilingi laki tatu kwakuwa fedha hiyo inawatosha kuishi Dodoma.

Endapo ikitokea wakazidishiwa kama chama watazunguka nchi mzima kwa maandamano kupinga upandishwaji wa posho hiyo.

HABARI ITV
 
Avunje chama jamaa weshaidhinishiwa buku tano badala ya zile za CCM BUKU 7 (mnazikumbuka zikitajwa sana hapa JF)
 
Mambo ya posho wala tusidanganyane. Wanasiasa wote wanapenda posho na wanazitamani. Huyu si ndiye aliyeondoka na posho za ubunge kwenda kugombea Urais ili akishindwa abaki na posho za ubunge leo anapinga posho.
 
Dr.Slaa acha usanii na ulaghai wabunge wa Chadema wote wanachukuwa posho isipokuwa Zitto peke yake, mbona haukuonyesha mfano wa kuandamana nchi nzima kupinga posho.
 
Dr.Slaa acha usanii na ulaghai wabunge wa Chadema wote wanachukuwa posho isipokuwa Zitto peke yake, mbona haukuonyesha mfano wa kuandamana nchi nzima kupinga posho.

Kupinga posho ya shi ngapi. Zito alikuwa anavuta ndefu ndio maana ile akaacha.
 
Back
Top Bottom