Dr.slaa afunguka kuhusu posho - uzalendo wa DK SLAA ukowapi???

Acha papara kijana.

Mungu hamfichi mnafiki hata siku moja. Yeye Dr. Slaa anachukua hela za ubunge bila ya kuzifanyia kazi yoyote halafu leo hii anataka kuwaambia kitu gani wananchi?

Haya chagadema njooni huku mnaodai Slaa halipwi kama mbunge.
 
Slaa ni mpiga dili tu kama wachaga wengine pale ufipani na saccos yao wananchi washashtuka.
 
Umeonaeeenh huyu hafai hata kuwa Rais coz anaweza kuiuza nchi kabisaaaa na watu hawatampa kura ng'oooooo!!

Haifai hata kufikiria kwamba Dr Slaa atakuwa rais wa nchi hii labda asubiri wenye akili timamu wote waondoke duniani.
 
Kama kikwete kaweza kuwa Rais unadhani nani atashindwa !...Dr.Slaa is briliant a million times compared to the current President.
 
Umeonaeeenh huyu hafai hata kuwa Rais coz anaweza kuiuza nchi kabisaaaa na watu hawatampa kura ng'oooooo!!

Mbona mmeuza nchi kwa wachina kisa miraji a matonya wasinyongwe kwa kukamatwa na mihadarati
 


Hii ni zamadamu ila angetueleza kwanza yeye analipwa sh. Ngi na chama chake!!!
 
Mbona mmeuza nchi kwa wachina kisa miraji a matonya wasinyongwe kwa kukamatwa na mihadarati

Mkamiti usijifanye msukule wa Silaa, huyo atawamaliza!mmegeuzwa kama nguzo za Tanesco kupitishia ajenda za CDM afu bado hamjielewi kila time mnabufuliwa afu bado mnaendelea kutumiwa kama misukule!!!na hiyo M4C yenu kaulimbiu ya wachumtumbo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…