We will take our chance.
Ni heri kukosa Mbunge Slaa kuliko kuwa na Watanzania Makondoo wanaotaka watafuniwe kila kitu na hata hivyo kumeza bado watasema hawawezi. Sijui kuwaingizia mirija kwenye makoromeo yao na kuwapitishia Wakurya wakiitacho "NYUKA?" (uji).
Tumewachokeni wote mnaosema JIMBO LA KARATU. Muanze kufahamu kuwa TGV limeshaondoka kuelekea Magogoni. Au mnapanda na sisi kuelekea huko au mkae kimya. Mstari umeshachorwa.............
UKO NA SLAA AU UKO NA MAFISADI.
Hapo chini kwenye BOLD, hata Yesu na Nyerere walisema "Sintakuwa nanyi milele........" Kwa nini msitafute wabunge wengine walete msisimko? Kwa nini mnaendelea kuwachagua haohao CCM mkifahamu kuwa wanaleta usingizi?
Mmekuwa mkilalamika kuwa KIKWETE anaogopa kufanya MAAMUZI MAGUMU, haya basi. Mmepata mtu anayefanya maamuzi magumu na mnaanza kuleta story nyingine nyingiiiii..... Kama wewe ni mwanamume basi naanza kuamini wimbo wa Lady JD kuwa "Wanaume kama Mabinti". Kama wewe na wanaolilia jimbo la Karatu ni Wanawake basi sintashangaa maana ni HULKA (nafahamu kuwa siyo wote, akina mama msiniuwe).