Dr. Slaa ameamua kurudi kufanya kazi hii...

Dr. Slaa ameamua kurudi kufanya kazi hii...

8E9U4988+kikwete+na+mufti.jpg

Safi sana REV Mas
 
duuu kweli Rev Masanilo unaniacha hoi kwa hii picha.mimi nilifikiri ni mapadre kumbe mashekhe bana.
sasa wamekosea wakatoa picha ya jamaa kavaa kama mashekhe,kwani Dr Slaa ni Shekhe au Padre(resigned)
 
huyo mtu katumwa dawa yake tumkaushie akileta upuuzi wake humu.ili siku nyingine ajue humu ni sehemu ya watu wenye upeo mkubwa wa kupambanua mambo. huyo ni agent wa mafisadi. katumwa huyo.
 
Du Rev. library yako nimeikubali Bro, jamaa kamwaga ugali..weye umemwaga mboga, sijui nani kapoteza zaidi! 😛ainkiller:
 
huyo mtu katumwa dawa yake tumkaushie akileta upuuzi wake humu.ili siku nyingine ajue humu ni sehemu ya watu wenye upeo mkubwa wa kupambanua mambo. huyo ni agent wa mafisadi. katumwa huyo.

nikosa kubwa nala jinai kumwacha mpuuzi aendeleze upuuzi wake! Nimewaandikia MOD kama kawaida yao wamejifanya hawaoni ngoja niendelee kumwekea vibwanga mjinga huyu. Valid_Options
 

Bado ya JK na ya mnadimu wake Shekhe Yahya Husein aliyesema eti nyota ya Kuga Mziray iligongana na ile ya Silver Mziray ndo maana akafa!!! Hivi jamani na kaili zetu Kocha Mziray alikufa kiutatanishi au ni kifo kinachoeleweka. Kweli Shehe Yahya, mtabiri na mjajimu wa SSM acha uongo.

Halafu we mchakachuaji unachakachua picha ya Dr. Slaa bila hata kutumia ufundi kuficha uongo. Umeishiwa kisiasa na uchakachuaji mwingi, mmezoea mno.
 
MOD naomba mfunge hii thread, ninapicha za ajabu za Mwenyekiti wa Chama Cha Mafisadi ninashawishika kuziweka.
 

I adore you Masanilo!!! Mpaka kieleweke. Tena tunaweza weka na zile wanazokutana usiku misikitini wakipanga nzama za OIC na Mahakama ya Kadhi. Msilete habari za dini mtaaibika wenyewe. Mmeyanza wenyewe na msianze kukimbilia kwa mods maji yakiwafika shingoni.
 
nasisitiza mheshimiwa REV tuwekee tuzione tafadhali!
 
Back
Top Bottom