Dr. Slaa amsimamisha kazi Katibu wa CHADEMA Nzega

Dr. Slaa amsimamisha kazi Katibu wa CHADEMA Nzega

Kwanza niwe bayana kabisa kabisa Dr.Slaa is a hero...tujiulize hivi ni kwanini leo watanzania tunamkumbuka marehemu M.Sokoine? Mwaka alipokufa ndo nikazaliwa,sikuwahi kumwona akiwa hai,nimejaribu kuulizia historia yake(Sokoine) nilichodokezwa ni kwamba alikuwa ni mtu wa maamuzi ya papo kwa papo kwa masrahi ya wengi
ni mifano ktk hili ipo mingi tu,mwingine ni Mwl.Nyerere,nakumbuka kwa kusoma kwenye historia jinsi alivyowatimua West Germany nchini wakiwa wanajenga chuo kikuu cha Dsm(Nkrumah hall)
Nataka kumwambia Dr. asikubali kulea uozo,kwanza huyo katibu wa chama(Nzega) alitakiwa yeye mwenyewe akubali kujiuzuru mapema kabla hajasimamishwa na Dr.,kwa sababu suala la kuwa alleged on matters unatakiwa kuonesha intergrity yako kwa kutoa mwanya uchunguzi ufanyika ,hii inasaidia kwamba endapo itaonekana madai siyo ya msingi basi utaomba kuendelea na post yako(unapata reputation in leadership) kwa hyo Dr. usife moyo we are behind you
karibu Sikonge tayari tumefungua ofisi tunaendelea kuuwasha moto,karibu sana
 
Kwanza niwe bayana kabisa kabisa Dr.Slaa is a hero...tujiulize hivi ni kwanini leo watanzania tunamkumbuka marehemu M.Sokoine? Mwaka alipokufa ndo nikazaliwa,sikuwahi kumwona akiwa hai,nimejaribu kuulizia historia yake(Sokoine) nilichodokezwa ni kwamba alikuwa ni mtu wa maamuzi ya papo kwa papo kwa masrahi ya wengi
ni mifano ktk hili ipo mingi tu,mwingine ni Mwl.Nyerere,nakumbuka kwa kusoma kwenye historia jinsi alivyowatimua West Germany nchini wakiwa wanajenga chuo kikuu cha Dsm(Nkrumah hall)
Nataka kumwambia Dr. asikubali kulea uozo,kwanza huyo katibu wa chama(Nzega) alitakiwa yeye mwenyewe akubali kujiuzuru mapema kabla hajasimamishwa na Dr.,kwa sababu suala la kuwa alleged on matters unatakiwa kuonesha intergrity yako kwa kutoa mwanya uchunguzi ufanyika ,hii inasaidia kwamba endapo itaonekana madai siyo ya msingi basi utaomba kuendelea na post yako(unapata reputation in leadership) kwa hyo Dr. usife moyo we are behind you
karibu Sikonge tayari tumefungua ofisi tunaendelea kuuwasha moto,karibu sana

Tunachojadili hapa si kwamba Dr. Slaa si shujaa la hasha, tuko nyuma yake na kumhimiza akaze kamba. Tunatakiwa kujua pia Dr. ni binadamu ambaye hajakamilika kuwa 100% kila anachofanya, kuamua au kusema ni sahihi, kuna kuteleza kwa hapa na pale. Na itokeapo kuteleza zaidi ya mara moja tunapaswa kusaidia kimawazo ili afanye marekebisho katika uamuzi fulani fulani.

Umakini unatakiwa kuwepo yafanyikapo mambo katika idadi kubwa ya watu na ni tofauti mnapokuwa wachache na kupima kwa kina mambo yanayotakiwa yafanyike au kutolea uamuzi. Lilitolokea Nzega taarifa iliyotolewa ni kwamba Dr. Slaa amemsimamisha Katibu wa wilaya ili kupisha uchunguzi, lakini katiba ya Chadema inasema kikao kilichomweka madarakani ndicho chenye mamlaka ya kumsimamisha. Ingekuwa bora uongozi wa Chadema wilaya au mkoa ungetoa kauli kichama badala ya Dr. binafsi licha ya madaraka yake ndani ya chama. Kwa mtazamo wangu taarifa ilivyotolewa inaweza kuwa na maudhui ya kwamba Dr. hakuchukua hatua za system ya kikatiba bali alisikiliza tu malalamiko ya wanachama na kutolea uamuzi kitu ambacho ni nje ya utaratibu wa katiba ya chama.

Hapa hatumpingi mtu tunasaidia kunyoosha mambo ili kosa kama hilo lisitokee tena, maana maamuzi kama hayo huweza kuleta mkanganyiko kwa baadhi ya wanachana na huweza kudhoofisha umoja na mshikamano ndani ya chama. Alipokuwa Tabora uongozi wa wilaya ya Nzega na Mkoa Tabora ulikuwepo hivyo ingekuwa busara kujadiliana nao katika kikao cha dharura kwa muda mfupi na kauli ambayo ingetolewa ingeeleweka ni kutoka ndani ya kikao cha chama kikatiba.

Nadhani nimeeleweka kutosha
 
Cdm nzega inamambo mengi ya kujiuliza washabiki wa cdm kwanza walishitusha pale slaa alipomsimamisha aliyekuwa mgombea wa ubunge na kumuuliza swali ambalo mzee meza hakulijibu vizuri na ikawa moja ya sababu ya umarufu wake kupungua 2 wakati wa uchaguzi kuna kata ambazo watu walilalamika kampeni hazikufanyika kabisa 3 ofisi ya chama ina hali mbaya kabisa au ndo sababu hawakufanyia kikao ofisini
 
Back
Top Bottom