Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
hahahahaha namuona mbowe na diaba la kukusanyia pesa kama m4c vile.
una maana gani ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahaha namuona mbowe na diaba la kukusanyia pesa kama m4c vile.
You are absolutely right! Tena subiri uone baadala ya kuongelea hoja hii iliyoko mbele yetu, Team ya Mwigulu wataingia hapa kwa kuweka hoja kando na kuanza kum-attack Dr Slaa personally. Very sad!!!!Hili ni wazo jema sana lakini inasikitisha sana pale ambapo hoja ya namna hii inapingwa na CCM kwa manufaa yao binafsi ya kifisadi.
Hii iwe mijawapo ya agenda za mikutano ya Dr. Slaa n m4c. Bila kusukumwa magamba hayavuliki.
Hapo kwenye red, iwapo huna data ni vema ukakaa kimya, uache wanaume wajadili hoja kuliko kuropoka!!!! Kwa kukusaidia tu hebu soma habari hii hapa chini:mzee comed
mzee wamatamko amehamisha mada ya maoni ya katiba kwenda kwenye dafari la wapiga kura.
Kwani ameambiwa daftari la wapiga kura halita boreshwa?
Huyu mzee anaweweseka kama juha
kila kukicha anazidi kushuka kiwango
atakuwa alilishwa limbwa.ta na yule mash.....mbu....zi.