Dr. Slaa: Kikwete mmiliki wa DOWANS...

mh kashikwa pabaya hapo mtu,,,,,,,,,,,,hii ndio tanzania natamani kuama nchi nirudi 2015 kupiga kura aaah nimechoka na hawa c c iam
 
Kuna mtu alisema Kikwete ni dikteta now i tend to believe that.
 
Dr Slaa at work..Kuna watu walilisikitika sana tulipompendekeza Dr Slaa kuwa mgombea Urais,walisema atakosa forum ya kuiwajibisha serikali,wakasahau kwamba yeye ni Katibu Mkuu wa chama na ni Public Figure,Tumaini la Watanzania..Huyo sasa yuko kazini.Hakuna cha hoja binafsi kupelekwa kwa spika wala kwa Katibu wa Bunge,maana inaweza ikakataliwa vile vile na hata Bungeni kwenyewe wakati wa kuchangia hoja unaweza ukakarishwa chini na spika vile vile.Lakini forum ya sasa ya Dr Slaa haina kauzibe,ni kuita waanidhi wa habari full stop,ni kuitisha mkutano wa hadhara,full stop hakuna longolongo.This is the forum nzuri and i believe Dr atatumia vizuri sana..Nadhani hii salamu ya Mwaka Mpya kwa Rais Kikwete

Hongera my President and am proud of you!!
 
Mi naumia sana jamani,hivi kweli Kikwete anaweza kutufanyia watanzania tuliomwamini kwa kura nyingi vile kipindi cha kwanza haya?maombi yote tunayomwombea shukrani ndo hiyo kweli?Mungu atajibu kabla hajaondoka hapa duniani.Tunaomba tu evidence Dr Slaa.MOYO WA MTU HAUSOMWI KWA TABASAMU!duh,bora nisingejua hili!
 
JK sound kwa kwenda mbele mambo ya kuunda tume imekuwa katiba ya CCM hii bse am sure iyo tuume atawaweka wale wale tuu.
Alafu huwa najiuliza ivi kwa nini hakuongelea ulipwaji wa fidia kwa Dowans ikiwezekana na nani tutamlipa izo fidia inanipa hint kuwa anahusika so anataka kutupotezea kwa kutumia Katiba
 

Yes yes, watu walidhani uzuri wa sura yake ndio utendaji wake wa kazi kumbe jamaa wapo kibiashara zaidi, kweli MOYO WA MTU HAUSOMWI KWA TABASAMU. Muogope mtu huyu ambaye anachukizwa lkn anaendelea kutabasamu, watz tutaendelea kuumia mpaka siku ambayo dudu hili cc em litakapotoka IKULU. Tumuombe mwenyezi Mungu atuondolee kikombe hiki kwa mapenzi yake.
 

we are all proud of him. Mzalendo wa kweli mwenye uchungu na Tanzania.
 
mungu ibariki tanzania,mungu mbariki dr.slaa:whoo::whoo::whoo::whoo:
 
Daima aliposhika penye utamu ni vigumu kuweka makali yamdondoshe. Katiba mpya italetwa na watanzania wenyewe kwa kupewa moyo wa ujasiri wa kusimamia hoja bila uwoga na viongozi wetu wenye uzalendo wa kweli Heshima kwako Dr Slaa na Mh J Mnyika na wapiganaji wote ambao wako tayari KUFA WAKIWA WAMESIMAMA KULIKO KUFA UKIWA UMEPIGA MAGOTI sababu sisi ndio tutakao paza SAUTI YA UMMA kwa pamoja na KUUNDWA KWA KATIBA MPYA YA MAONI YA WATANZANIA WOTE.
 
Mungu mlinde Dr Slaa kwa kuwa MAFISADI hawapendi kumsikia.....FISADI yeyote atakaye jaribu kumdhuru ee MUNGU muangamize.....Kwa ajali na Ugojwa kama Ulivyo muangamiza HERODE................................AMINA AMINA AMINA!
 
Kuna mtu mmoja atakuwa anafuatilia kwa karibu hizi sarakasi
 
safi sana dk slaa tulikuwa tuunaumia sana kukuona uko kimya kikwete lazima awajibike na sijui ni kwa nini ajazungumzia dowans

This is all crap!

Slaa ajue hilo asiseme wakati wa campain? anaanza kuni bore! slaa hana siri asingeweza kutunza kitu cha muhimu moyoni! he is not cpable of that sote tunajua! akijua kitu especially kama kina m_favour lazima atasema!

Mi naona atafute jingine baada ya kuona issue ya katiba sio deal tena kaanza kuzua hili this is sooo cheap! Dr. we respect you! acha watoto wadogo kwenye chama watumie hizo kauli ku gain cheap popularity! you are popular and respectable enough!!!!!!!!!!!!11

Jipange upya utapigiwa kura na utaheshimiwa ila kama nchi itageuka Somalia kwa kauli zako zosozo utakumbukwa kwa hilo na sii vinginevyo.

ulisema umeshinda kwa asilimia 64 (64%) watu wamesikia wamepima wameona walichoona! sasa unakuja na gear hii!! very funny!
 
Jamani si mmeona kama dr angeapishwa kuwa rais ina maana angeanza na kikwete kwanza.

Absolutely correct.
I tell you what? Hata akimaliza kipindi chake kilichobaki hadi 2015 (which is a big doubt still), JK na hata Mkapa hawatakwepa hiki kitanzi pale opposition itakapokuja kuchukua nchi.
Wanaweza wakakimbia nchi lakini there's always a loose end to any crime - we will nail them!
 

you are very Right!!! tunamfahamu si mtu wa kuficha siri iweje asiseme wakati wa campaign? asituchanganye!
 
hivi tangu mwaka 2000 kuna tume ngapi zishaundwa na serekali yetu hii na zinmefaya nini ?
kwani lazima achague yeye hiyo tume? katiba ni ya wanachi sio ya wana ccm, chadema wala cuf au vyama vy siasa.
kwa hiyo na hii tume ya constitutional is another way of wanting to not listen to the people your are governig.(udikteta). Viongozi wengi wa africa wanayo sana tabia hiina hiyo tume ya sasa hivi ni kuangalia kwa makini sana na wasi wasi wa kuchakachuliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…