Huwezi kujustify ushindi wowote walioupata wagombea wa CCM, kote ktk Urais, Ubunge na hadi Udiwani ni wizi mtupu. .. Ni wizi + NEC + UWT + Ufisadi, ndio unapata CCM na wewe unapoteza nguvu kutetea hili eti wabunge CCM ni 'majority'? You must have somethg wrong kichwani hapo!.
- Nje ya mada mkuu, na sina muda wa kupoteza!, halafu ni heshima tu kwa Dr. Slaa ndio maana sikuichambua post nzima., otherwise rudi kwenye mada kama unaweza tuelimishane!
William.
Mbona sisi wenye akili zetu timamu, ambao hatujawa brain washed tunakuona kabisa unamuda wa kupoteza sana tena kwa kuandika upupu mtu hapa.
- Upupu ni kuamini kwamba katiba ya jamhuri inatakiwa kurekebishwa kwa matakwa ya Dr. Slaa na Chadema, huo ndio hasa upupu kwa sababu wabunge wengi ni wa CCM, meaning wanakilisha mawazo ya wananchi wengi na ndio wenye upperhand ya uamuzi wa mwisho kwa kila kinachopita bungeni, kufikiri tofauti ndio upupu wenyewe unaousema mkuu!
- Halafu tutakuja kusikia kilio cha kuchakachua on the ishu ambayo toka sasa iko wazi kwamba it wont happen!
William.
Heko Mkuu Wacha1, you struck the nail right on the head ! Dili Uingereza zilianza kutiwa mchanga na hivyo kuhamishiwa USA. Mama Maajar kaingia kwa kishindo na juzi tu katembelea California na kufikia kwa jamaa !
- Upupu ni kuamini kwamba katiba ya jamhuri inatakiwa kurekebishwa kwa matakwa ya Dr. Slaa na Chadema, huo ndio hasa upupu kwa sababu wabunge wengi ni wa CCM, meaning wanakilisha mawazo ya wananchi wengi na ndio wenye upperhand ya uamuzi wa mwisho kwa kila kinachopita bungeni, kufikiri tofauti ndio upupu wenyewe unaousema mkuu!
- Halafu tutakuja kusikia kilio cha kuchakachua on the ishu ambayo toka sasa iko wazi kwamba it wont happen!
William.
- Upupu ni kuamini kwamba katiba ya jamhuri inatakiwa kurekebishwa kwa matakwa ya Dr. Slaa na Chadema, huo ndio hasa upupu kwa sababu wabunge wengi ni wa CCM, meaning wanakilisha mawazo ya wananchi wengi na ndio wenye upperhand ya uamuzi wa mwisho kwa kila kinachopita bungeni, kufikiri tofauti ndio upupu wenyewe unaousema mkuu!
- Halafu tutakuja kusikia kilio cha kuchakachua on the ishu ambayo toka sasa iko wazi kwamba it wont happen!
William.
Ukubali tu kuwa umezidiwa point? usibaki kungangania CCM majority.- Unajua ni muda sasa unatumia sana matusi na lugha chafu kujaribu kuninyamazisha mtu ambaye unaamini kichwa changu hakiko sawa, sasa wenye vichwa sawa watapata taabu sana kuamini mwenye kichwa sawa kama wewe akipoteza muda mwingi kushindana na mwenye kichwa kisicho sawa kama changu, ha! ha! ha!
- Well, lets say kichwa chako ni sawa sana, nielmishe katiba mpya yenye mawazo ya Dr. Slaa na Chadema tu itaipitishia bunge lipi hilo? Maana la sasa kwa mujibu wa katiba yetu, CCM ndio majority! ha! ha! ha! lol!
William
.Kuna principle inasema hivi inakuwa vigumu sana kumuelewesha mjinga wa kwanza katika vigezo vya ujinga kuliko yule wa mwisho, na opposite is true kwa mwerevu(mwenye akili)
- Haya naomba nikuachie mwenyewe maana ni chini kwa kiwango changu cha kujadili taifa.
Kwa akili na ufahamu wako mawazo ya katiba mpya ni ya Slaa tu na wananchi walio wachache?
- Labda urudi ukaangalie tumefikaje hapa na huu mjadala kwanza maana nimeuliza swali ambalo sijaibiwa kuhusu kauli ya Dr. Slaa.
William.
Mh, mmenikumbusha jambo hapa. Ktk liquidations (ktk kusimamia utekeleza wake) kwa yale mashirika mengi ya Serikani yaliyotakiwa eidha kubinafsishwa, kuuzwa au kuwekwa ubia, taasisi ya kisheria iliyopewa kazi yote ilikuwa IMMA & MAAJAR Law associates. Mnaweza kufuatilia ktk Liquidations nyingi za serikali, mtapata majibu ya jambo nalosema hapa.
Jibu linakuja ni,..IMMA Laws Assoc. ya Lau Masha ambapo yupo Riz1 kama galikipa na upande wa MAAJAR Laws Assoc. ya balozi Maajar, yupo mama mwenyewe anahakiki kuwa fungu litokalo serikalini, linazunguka vyema 'kuingia mfuko wa pili wa baba wa golikipa' wa IMMA.
Hivyo hapa tunagundua jambo moja kuwa hii ni 'timu moja' inatenda kazi kamili waliyopanga.
Ukubali tu kuwa umezidiwa point? usibaki kungangania CCM majority.
Labda siuelewi mjadala, au mgongano wa mawazo. Are we talking about due process? Kwamba hata Kikwete mwenyewe hawaamini wabunge wake ndio maana anaunda CRC? Really?
Kama tunaamua kuunda katiba, na tuunde katiba. Mi sio mtaalam wa mambo ya Bunge, ila napenda kuamini muda huo kinachozungumziwa ni katiba ipi wananchi wanaihitaji, na wabunge wanakaa kama kamati maalum kufanikisha mchakato huo.
William, sipendi kuamini una tatizo na Dr Slaa/Chadema, ila ni jambo jema kutambua jinsi vuguvugu la katiba lilivyoendelezwa na Chadema kwa siku za karibuni.
- Wananchi wamewaongeza wabunge wengi Upinzani, lakini bado wakachagua majority wabunge wa CCM, ni FACT it has nothing to do na anything na ni wabunge wa CCM ambao ni majority bungeni, ndio wenye kauli ya mwisho kuhusu ishu zote muhimu za taifa na ndio Demokrasia yenyewe.
William.
.
- Haya naomba nikuachie mwenyewe maana ni chini kwa kiwango changu cha kujadili taifa.
- Labda urudi ukaangalie tumefikaje hapa na huu mjadala kwanza maana nimeuliza swali ambalo sijaibiwa kuhusu kauli ya Dr. Slaa.
William.
Pangu pakavu, endelea bwana labda watakukumbuka, siunajua kuwa jina la ukoo nacho nikigezo muhimu, kutojibiwa kunajustify pumba zilizo andikwa.
Pangu pakavu, endelea bwana labda watakukumbuka, siunajua kuwa jina la ukoo nacho nikigezo muhimu, kutojibiwa kunajustify pumba zilizo andikwa.
- Ha! ha! ha! ha! hilarious lol!
William
Kaka William!
Naomba tusitoane macho bure wakati tunatafuta kitu chenye manufaa kwetu sote na vizazi vinavyokuja. Swala la katiba umiliki wake unatokana na wananchi wakiwemo wenye vyama kama wewe na wasio navyo kama mimi.
Mchakato wa uundwaji (sio marekebisho) wa katiba unapaswa kujumuisha makundi yote na ndipo unapounda Bunge la katiba si kwamba unageuza lile linaloexist bali unaunda chombo chenye uwakilishi wa makundi haya (dini, wafanyakazi, siasa, wanazuoni, watoto, vijana, NGOs n.k).
Utaona kwamba makundi haya hayapo Bungeni, kule kuna wana siasa tu.
Kaka hatuhitaji katiba yenye mawazo ya CDM/Slaa, tunataka yenye mawazo yetu wananchi. Nyerere (CCM no. 1) aliwahi kusema katiba yetu inaweza kumfanya kiongozi kuwa dikteta hata bila yeye kutaka.
Kwa hali ilivyo sasa hata CCM (Mkapa, Chiligati, Sitta, Warioba etc) wameongelea need ya katiba mpya kwa hiyo sio swala la wingi wa wabunge wa CCM tena.
AG wa Zanzibar juzi kasema tunaka katiba mpya itakayoaddress maswala ya muungano wetu. Ni ukweli usiopingika kwamba katiba ya sasa ina kigugumizi juu ya mambo mengi sana.
Concern ya watu wengi, kwa uzoefu, juu ya bunge letu lenye idadi kubwa ya wanaCCM ni kwamba wakifika kule wanatanguliza maslahi ya chama kwanza na si ya Taifa. Kaka chaguzi zetu hazijakuwa huru sana kuweza kusema hawa wote ni wawakilishi wa wananchi maana mizengwe mingi sana. Sisemi wabunge wote wa CCM wameshinda kwa mizengwe, la hasha. Lakini pia hata pale mwanaCCM ana mawazo tofauti na wenzake hawezi kusema maana kuna hofu ya kufukuzwa kwenye chama.
Kama utakumbuka kabla ya mwaka 1992 maoni ya watanzania yalikusanywa 80% hawakutaka tuingie kwenye siasa ya vyama vingi. Uwezekano ni kwamba tume iliyoundwa iliwafikia zaidi watu wenye mtazamo fulani tu. Kama si nguvu ya Nyerere hicho unachoita demokrasia (wengi wape) basi tusinge ruhusu siasa ya ushindani.
Mimi ningeomba tusitukuze sana vyama CDM, CCM, CUF n.k lakini tukubali kwamba kwenye hivi vyama na makundi mengine kuna watu wanazungumza lugha ya wananchi na wengine lugha ya watawala. Katiba ni ya wananchi si ya watawala, tuache wananchi wazungumze!!
Naomba kuweka pause kaka!!!!!!!!! Alamsiki