Pre GE2025 Dr Slaa: Kilichonitoa CHADEMA 2015 sasa hakipo

Pre GE2025 Dr Slaa: Kilichonitoa CHADEMA 2015 sasa hakipo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Hellow Tanganyika!

Akizungumza baada ya kuachiwa huru DPPP akiingia mitini Kwa madai kuwa, Hana Nia ya kuendelea na kesi, Dr Slaa amedai kuwa ,kilichomuondoa CHADEMA 2015 sasa hakipo.

Sasa wajuvi wa mambo, njoni mtujuze kipi Hasa kilichomtoa CHADEMA ambacho sasa hakipo?

1. Je ni Lowwassa?

2. Je ni Mwenyekiti mstaafu?

3. Je ni no1& no 2 Kwa pamoja?

Karibu Dr Slaa uraiani na CHADEMA,

MUNGU ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
 
Dr anatafuta fursa ya kuja kukivuruga tena chama. Nakumbuka alidai kuwa Chadema walimpiga wenyewe risasi Lisu, ili kumuangushia jumba bovu raisi Magufuli.

Sasa huu ndio muda wa yeye kutuambia ni nani aliempa hizo habari za Chadema kumpiga risasi Lisu, na nani na nani walihusika na mpango huo ili chama kiwachukulie hatua?
 
Dr anatafuta fursa ya kuja kukivuruga tena chama. Nakumbuka alidai kuwa Chadema walimpiga wenyewe risasi Lisu, ili kumuangushia jumba bovu raisi Magufuli.

Sasa huu ndio muda wa yeye kutuambia ni nani aliempa hizo habari za Chadema kumpiga risasi Lisu, na nani na nani walihusika na mpango huo ili chama kiwachukulie hatua?
sawa atawaambia
 
Dr anatafuta fursa ya kuja kukivuruga tena chama. Nakumbuka alidai kuwa Chadema walimpiga wenyewe risasi Lisu, ili kumuangushia jumba bovu raisi Magufuli.

Sasa huu ndio muda wa yeye kutuambia ni nani aliempa hizo habari za Chadema kumpiga risasi Lisu, na nani na nani walihusika na mpango huo ili chama kiwachukulie hatua?
Muulize maswali hayo Dr Slaa kwenye Uzi special,atakujibu ipasavyo.

Karibu ujibu maswali ya HOJA hapo juu🙏
 
Dr Slaa anahitajika sana kusaidia uaandaaji wa Ilani ya Uchaguzi.

Asajiliwe haraka Bure kabisa akiwa mwanasiasa huru.
 
Dr anatafuta fursa ya kuja kukivuruga tena chama. Nakumbuka alidai kuwa Chadema walimpiga wenyewe risasi Lisu, ili kumuangushia jumba bovu raisi Magufuli.

Sasa huu ndio muda wa yeye kutuambia ni nani aliempa hizo habari za Chadema kumpiga risasi Lisu, na nani na nani walihusika na mpango huo ili chama kiwachukulie hatua?
Sahihi kabisa. Halafu Dk. Slaa is a failure everywhere;
a) Alishindwa kanuni za Upadre za useja (celibacy) akafukuzwa Upadre.

b) Akafukuzwa CCM baada ya kuamini hakuna anayeweza kuwa Mbunge wa Karatu mwaka 1995 kupitia CCM isipokuwa yeye.

c) Akaondoka Chadema mwaka 2015 kwasababu aliamini hakuna Mwana Chadema anaweza kugombea Urais kupitia Chadema isipokuwa yeye.

d) Akaufyata kipindi chote cha Jiwe akijua kabisa ya kwamba Jiwe hacheki na nyani hadi akakubali uteuzi wa Jiwe kuwa Balozi.

e) Akaondolewa hadhi ya Ubalozi baada ya kustaafu kwasababu yeye alitaka aendelee kuwa Balozi hadi kufa kitu ambacho Tanzania hakipo.

f) Sasa anarudi Chadema. CCM tunashukuru kuondoka kwa kirusi kibaya zaidi ya cha COVID 19 ndani ya CCM. Bila shaka Mch. Msigwa atamfuata.

Chadema kaeni mkao wa kula kukipokea kirusi Dk. Slaa. Na msisahau dadaangu Mushumbusi aliishambwaga huyu Dk. Slaa kama alivyoachwa na mkewe wa kwanza. Mzee mzima anaachwa na wake wawili na watoto anajipikia kwa umri huo, eti ndio alete ukombozi wa nchi hii? PUMBAVU!!!
 
Sahihi kabisa. Halafu Dk. Slaa is a failure everywhere;
a) Alishindwa kanuni za Upadre za useja (celibacy) akafukuzwa Upadre.

b) Akafukuzwa CCM baada ya kuamini hakuna anayeweza kuwa Mbunge wa Karatu mwaka 1995 kupitia CCM isipokuwa yeye.

c) Akaondoka Chadema mwaka 2015 kwasababu aliamini hakuna Mwana Chadema anaweza kugombea Urais kupitia Chadema isipokuwa yeye.

d) Akaondolewa hadhi ya Ubalozi baada ya kustaafu kwasababu yeye alitaka aendelee kuwa Balozi hadi kufa kitu ambacho Tanzania hakipo.

e) Sasa anarudi Chadema. CCM tunashukuru kuondoka kwa kirusi kibaya zaidi ya cha COVID 19 ndani ya CCM. Bila yna Mch. Msigwa atamfuata.

Chadema kaeni Makao wa kula kukipokea kirusi Dk. Slaa. Na msisahau dadaangu Mushumbusi aliishambwaga huyu Dk. Slaa kama alivyoachwa na mkewe wa kwanza. Mzee mzima anaachwa na wake wawili na watoto anajipikia kwa umri huo, eti ndio alete ukombozi wa nchi hii? PUMBAVU!!!
Sasa ulipaswa kufurahi kirusi kuingia CHADEMA ambao ni WAPINZANI wako kuliko kubeba makasiriko.

Uamuzi ni juu ya CHADEMA.
 
Dr anatafuta fursa ya kuja kukivuruga tena chama. Nakumbuka alidai kuwa Chadema walimpiga wenyewe risasi Lisu, ili kumuangushia jumba bovu raisi Magufuli.

Sasa huu ndio muda wa yeye kutuambia ni nani aliempa hizo habari za Chadema kumpiga risasi Lisu, na nani na nani walihusika na mpango huo ili chama kiwachukulie hatua?
Mbaya wa lissu alikuwa mbowe. Baada ya Dr slaa kumuunga mkono kumuondoa mbowe lissu kaona Dr slaa kafanya kazi kubwa
 
Muulize maswali hayo Dr Slaa kwenye Uzi special,atakujibu ipasavyo.

Karibu ujibu maswali ya HOJA hapo juu🙏
Sasa nijibu vipi maswali yanayomhusu mtu mungine?
 
Mbaya wa lissu alikuwa mbowe. Baada ya Dr slaa kumuunga mkono kumuondoa mbowe lissu kaona Dr slaa kafanya kazi kubwa
Lile wimbi la viongozi wa CHADEMA kuhamia CCM ilimeyeyukia wapi?
 
Sahihi kabisa. Halafu Dk. Slaa is a failure everywhere;
a) Alishindwa kanuni za Upadre za useja (celibacy) akafukuzwa Upadre.

b) Akafukuzwa CCM baada ya kuamini hakuna anayeweza kuwa Mbunge wa Karatu mwaka 1995 kupitia CCM isipokuwa yeye.

c) Akaondoka Chadema mwaka 2015 kwasababu aliamini hakuna Mwana Chadema anaweza kugombea Urais kupitia Chadema isipokuwa yeye.

d) Akaufyata kipindi chote cha Jiwe akijua kabisa ya kwamba Jiwe hacheki na nyani hadi akakubali uteuzi wa Jiwe kuwa Balozi.

e) Akaondolewa hadhi ya Ubalozi baada ya kustaafu kwasababu yeye alitaka aendelee kuwa Balozi hadi kufa kitu ambacho Tanzania hakipo.

f) Sasa anarudi Chadema. CCM tunashukuru kuondoka kwa kirusi kibaya zaidi ya cha COVID 19 ndani ya CCM. Bila yna Mch. Msigwa atamfuata.

Chadema kaeni Makao wa kula kukipokea kirusi Dk. Slaa. Na msisahau dadaangu Mushumbusi aliishambwaga huyu Dk. Slaa kama alivyoachwa na mkewe wa kwanza. Mzee mzima anaachwa na wake wawili na watoto anajipikia kwa umri huo, eti ndio alete ukombozi wa nchi hii? PUMBAVU!!!
Dr kila anachogusa kinamshinda, inasemekana hata huyo Mushumbushi kamshindwa kitandani akatoswa.
 
Watajuana wenyewe ...

Rais Samia yuko bize kutujengea uchumi TUUTAKAO....
 
Hellow Tanganyika!

Akizungumza baada ya kuachiwa huru DPPP akiingia mitini Kwa madai kuwa, Hana Nia ya kuendelea na kesi, Dr Slaa amedai kuwa ,kilichomuondoa CHADEMA 2015 sasa hakipo.

Sasa wajuvi wa mambo, njoni mtujuze kipi Hasa kilichomtoa CHADEMA ambacho sasa hakipo?

1. Je ni Lowwassa?

2. Je ni Mwenyekiti mstaafu?

3. Je ni no1& no 2 Kwa pamoja?

Karibu Dr Slaa uraiani na CHADEMA,

MUNGU ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
Au alinunuliwa ili akiyumbishe chama na baadae akapewa zawadi ya ubalozi
 
Back
Top Bottom