- Thread starter
- #41
Uchaguzi utakaofanyika baada ya kupatikana Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya,Uchaguzi wa mwaka upi?
Lini, Watanzania tutaamua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchaguzi utakaofanyika baada ya kupatikana Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya,Uchaguzi wa mwaka upi?
Tume huru itapatikana na uchaguzi utafanyika.Hakuma uchaguzi, uchaguzi gani wa kusukuma watu wako wakatekwe na kuuliwa?
Dr Slaa amechangia kukuza viongozi wengi CDM na kuwajenga kina Zitto, Mnyika, Lema, Mdee nk nk!Bonge la Trojan! Karibu Chadema bwana Slaa lakini uwezo wako wa kuharibu kwa sasa ni mkubwa kuliko wa kujenga
AmeenTume huru itapatikana na uchaguzi utafanyika.
Si ndiye aliyejenga International Airport kwao chato na kutupiga 1.5 tr na kumfukuza CAG baada ya kuumbuliwa. Na ndiye huyo huyo sababu ya kupotea kwa Ben saa nane kisa PhD fake. Wewe kwako unamuona mzalendo, aissee duniani kuna mamboNdio mzalendo Hasa. Hilo nalo ni LA kujadili?
Wenyeviti wastaafu Chadema ni wawili tuu, mzee Mtei na Makani Bob.2. Je ni Mwenyekiti mstaafu?
Kweli kabisa Hasa no 3.
Basi tuseme ni Mwenyekiti aliyestaafishwa na wanachama kupitia Sanduku la kura.Wenyeviti wastaafu Chadema ni wawili tuu, mzee Mtei na Makani Bob.
Mbowe hajastaafu, amenyimwa kura za kuendelea na uenyekiti. Amekataliwa, tuache politiksi.
Labda sasa atangaze amestaafu siasa lakini kwenye uenyekiti huyu sio mstaafu. Vipi kama angeshinda leo tungesemaje?
Lowassa alimuhonga Pesa nyingi sana Freeman MboweKweli kabisa Hasa no 3.
Mimi Ile GIA ya angani sikuwahi kuelewa,
Tukaahidiwa anakuja na wabunge wengi Toka CCM lakini wapi,
Kwa uzee huo alionao sioni kama ana anachoweza kuvuruga! Huyo katoka huko alikoachiwa sasa ana hasira na anatafuta jukwaa la kuonyesha hasira zake!Dr anatafuta fursa ya kuja kukivuruga tena chama. Nakumbuka alidai kuwa Chadema walimpiga wenyewe risasi Lisu, ili kumuangushia jumba bovu raisi Magufuli.
Sasa huu ndio muda wa yeye kutuambia ni nani aliempa hizo habari za Chadema kumpiga risasi Lisu, na nani na nani walihusika na mpango huo ili chama kiwachukulie hatua?
Mkuu, achana na mambo ya Eutopia.Uchaguzi utakaofanyika baada ya kupatikana Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya,
Lini, Watanzania tutaamua.
Dah inasisimua kwenda kwenye ukweli hv mzee 80s atafanya nn nchi hiiSahihi kabisa. Halafu Dk. Slaa is a failure everywhere;
a) Alishindwa kanuni za Upadre za useja (celibacy) akafukuzwa Upadre.
b) Akafukuzwa CCM baada ya kuamini hakuna anayeweza kuwa Mbunge wa Karatu mwaka 1995 kupitia CCM isipokuwa yeye.
c) Akaondoka Chadema mwaka 2015 kwasababu aliamini hakuna Mwana Chadema anaweza kugombea Urais kupitia Chadema isipokuwa yeye.
d) Akaufyata kipindi chote cha Jiwe akijua kabisa ya kwamba Jiwe hacheki na nyani hadi akakubali uteuzi wa Jiwe kuwa Balozi.
e) Akaondolewa hadhi ya Ubalozi baada ya kustaafu kwasababu yeye alitaka aendelee kuwa Balozi hadi kufa kitu ambacho Tanzania hakipo.
f) Sasa anarudi Chadema. CCM tunashukuru kuondoka kwa kirusi kibaya zaidi ya cha COVID 19 ndani ya CCM. Bila shaka Mch. Msigwa atamfuata.
Chadema kaeni Makao wa kula kukipokea kirusi Dk. Slaa. Na msisahau dadaangu Mushumbusi aliishambwaga huyu Dk. Slaa kama alivyoachwa na mkewe wa kwanza. Mzee mzima anaachwa na wake wawili na watoto anajipikia kwa umri huo, eti ndio alete ukombozi wa nchi hii? PUMBAVU!!!
Siasa za Lissu ni kama tu moto wa kifuu Cha nazi,Mkuu, achana na mambo ya Eutopia.
Hasira njema,Kwa uzee huo alionao sioni kama ana anachoweza kuvuruga! Huyo katoka huko alikoachiwa sasa ana hasira na anatafuta jukwaa la kuonyesha hasira zake!
Kuna watu humu wanamuona Dr Slaa msaliti,Lowassa alimuhonga Pesa nyingi sana Freeman Mbowe
Self centered old fertHellow Tanganyika!
Akizungumza baada ya kuachiwa huru DPPP akiingia mitini Kwa madai kuwa, Hana Nia ya kuendelea na kesi, Dr Slaa amedai kuwa ,kilichomuondoa CHADEMA 2015 sasa hakipo.
Sasa wajuvi wa mambo, njoni mtujuze kipi Hasa kilichomtoa CHADEMA ambacho sasa hakipo?
1. Je ni Lowwassa?
2. Je ni Mwenyekiti mstaafu?
3. Je ni no1& no 2 Kwa pamoja?
Karibu Dr Slaa uraiani na CHADEMA,
MUNGU ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni 🙏
Wote wasaliti tuKuna watu humu wanamuona Dr Slaa msaliti,
Sasa kati ya Mbowe na Slaa, nani msaliti!
Dr Slaa arejeshwe CDM haraka CDM, ni mshindi.