othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
Mwenye akili anafahamu ni nini kilitokeaKumbe wewe ulikimbilia kuni quote kwenye comment namba 2 bila kuelewa nilichoandika.
Niliandika kwamba Dr Slaa alisema kuwa kwa habari za ndani alizokuwa nazo ni kwamba ni Chadema wenyewe ndio walimpiga Lissu risasi na kumuangushia jumba bovu raisi Magufuli.
Sasa mtu wa aina hiyo kwa mujibu wa kile alichoongea ni kwamba ana taarifa nyingi kuhusu tukio lile. Hivyo anaweza kwenda polisi kuwataja hao waliopanga mikakati ya kumpiga Lissu risasi ili kumuangushia jumba bovu Magufuli. Na kama anaona hawezi kwenda polisi basi atoe taarifa hizo kwa Lissu mwenyewe ambae ni kiongozi wa chama ili aweze kuwachukulia hatua wahusika.
Na hapo kwenye swali lako fikirishi, labda linakufikirisha wewe mwenyewe. Kwa sababu kama kuwataja wahusika ni kuingilia kazi ya polisi, basi tayari alikuwa ashaingilia kazi hiyo kitambo kwa kukimbilia kusema kuwa Chadema inahusika na shambulizi la Lissu kabla hata ya polisi wenyewe kutoa ripoti ya waliomshambulia Lissu.
Ya kale ni Dhahabu! Akaribishwe CDM ili aendeleze jitihada za kuitetea Demokrasia ya Kweli Tanzania.
Kama the late Lowassa aliWapi na lini Dr Slaa alipewa kadi ya CCM Awamu ya 5?Pale alipokuwa chawa wa Jiwe, hivi ni lini alitudisha kadi ya CCM?
Namba 1 na 2 vilichangia sanaHellow Tanganyika!
Akizungumza baada ya kuachiwa huru DPPP akiingia mitini Kwa madai kuwa, Hana Nia ya kuendelea na kesi, Dr Slaa amedai kuwa ,kilichomuondoa CHADEMA 2015 sasa hakipo.
Sasa wajuvi wa mambo, njoni mtujuze kipi Hasa kilichomtoa CHADEMA ambacho sasa hakipo?
1. Je ni Lowwassa?
2. Je ni Mwenyekiti mstaafu?
3. Je ni no1& no 2 Kwa pamoja?
Karibu Dr Slaa uraiani na CHADEMA,
MUNGU ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni 🙏
Ubabe wa mwendazake case closedHellow Tanganyika!
Akizungumza baada ya kuachiwa huru DPPP akiingia mitini Kwa madai kuwa, Hana Nia ya kuendelea na kesi, Dr Slaa amedai kuwa ,kilichomuondoa CHADEMA 2015 sasa hakipo.
Sasa wajuvi wa mambo, njoni mtujuze kipi Hasa kilichomtoa CHADEMA ambacho sasa hakipo?
1. Je ni Lowwassa?
2. Je ni Mwenyekiti mstaafu?
3. Je ni no1& no 2 Kwa pamoja?
Karibu Dr Slaa uraiani na CHADEMA,
MUNGU ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni 🙏
Fukara kwa kuwaza uzinzi shida sanaDr kila anachogusa kinamshinda, inasemekana hata huyo Mushumbushi kamshindwa kitandani akatoswa.
Fikra za fomu Moja?
Chadema haikufifia kwa kurudi kwa Lowasa na Sumaye ccm. Chadema ilipoteza dira kwa kumpinga JPM kwenye mambo ya na baadhi ya mambo wao walikuwa wakiyalalamikia enzi za nyuma. Na hapo ndipo chadema ilipoteza popularity pamoja na fact nyingi. Yafuatayo ni baadhi ya mambo yaliyowapotezea imani chadema mbele ya wananchi.Wewe ndio mchanga mno katika mambo ya siasa nchini na duniani kwa ujumla. Siasa ni kama biashara, kuna faida na hasara. Sasa hauwezi kulazimisha kufanya biashara ambayo unaona kabisa itakupa hasara hapo baadae.
Nafikiri kilichotokea kwa Lowassa, Sumaye na Lazaro Nyalandu haukukiona kwa sababu ulikuwa bado mdogo haujaijua siasa vizuri. Hao walijifanya kuhamia Chadema hivi hivi kama anavyojifanya kuhamia Dr Slaa. Chadema nao bila kujua ikakimbilia kuwapokea bila kujua mikakati iliyokuwa imepangwa na CCM kupitia wanasiasa hao.
Jamaa waliingia wakakivuruga chama baada ya kumaliza wakarudi kule kule walipotoka na lundo kubwa la madiwani na wanasiasa kadhaa wa chama. So na huyu ana lenga kufanya hivyo hivyo. Ajiunge halaf asipopitishwa kugombea uraisi akurupuke tena na kundi lake kurudi CCM huku wakikishtutumu chama kwa kutosimamia demokrasia vizuri nk.