Elections 2010 Dr. Slaa kujibu maswali "Live" ITV saa moja Usiku Jumamosi Hii

Elections 2010 Dr. Slaa kujibu maswali "Live" ITV saa moja Usiku Jumamosi Hii

kama jk anajiamini na yy ajitokeze ajibu hoja nae aache kukimbia kivuli chake
 
Ndo raha ya kuwa na confidence
Nshaiweka kwa alrm iyo nsije sahau bureeeeeeeeeee
 
Naona uko uptodate. Tunaomba tarehe na muda wa kujibu maswali LIVE ya Mzee wa Boma, Dr. JK

wambugani, jamaa kaandika , tarehe, siku na muda, wewe umesoma heading tu bila kusoma alichoandika?
 
Watanzania walio wengi wameonyeshwa kukerwa na kitendo cha Dr slaa kuandaliwa mahojiano maaalumu ITV ambayo yanatajwa kuwa ni moja ya mbinu ya propaganda kwani kuna tetesi kuwa hata watakaopiga simu kuuliza maswali katik kipindi hiko watakuwa wafuasi wake , kutokana na hilo watanzania wengi wanasema watampuuza Dr slaa ambaye anaonyesha kutapatapa baada ya kura zote za maoni kuonyesha yupo nyuma ya kikwete na hata upepo wakisiasa unamvumia vibaya kwani anaonekana ni rais wa magazetini tu lakini hawezi kushinda hivyo watanzania wamepania kumpuuza padre huyo wa kanisa katoliki.
 
watanzania walio wengi wameonyeshwa kukerwa na kitendo cha dr slaa kuandaliwa mahojiano maaalumu itv ambayo yanatajwa kuwa ni moja ya mbinu ya propaganda kwani kuna tetesi kuwa hata watakaopiga simu kuuliza maswali katik kipindi hiko watakuwa wafuasi wake , kutokana na hilo watanzania wengi wanasema watampuuza dr slaa ambaye anaonyesha kutapatapa baada ya kura zote za maoni kuonyesha yupo nyuma ya kikwete na hata upepo wakisiasa unamvumia vibaya kwani anaonekana ni rais wa magazetini tu lakini hawezi kushinda hivyo watanzania wamepania kumpuuza padre huyo wa kanisa katoliki.

umeishiwa hoja thats why watapatapa. Nadhani utakua mmoja wa watakao angalia kipindi mwanzo mwisho
 
Ntajitahidi muda huo niwe sebuleni kahawa pembeni na ka-note book nakula nondo za Dokta wa ukweli..
Nlisahau..asante kwa kunikumbusha...
 
Kijana usijigeuze kuwa wewe ni msemaji wa watanzania na tathmini zako za REDET na SYNOVATE, we umehoji mke/mumeo au labda GF?BF wako nae akasema hata sikiliza au kufuatilia mahojiano hayo ndio una conclude kuwa nai WaTZ wamesema! Huyu unaemuongealea ni DR wa ukweli sio wale wa kupewa na kumbuka hayo sio mahojiano ya TBC1 ya TIDO muhando, Slaa hana haja ya kupanga wapigaji simu, waTZ wanajua ambae hupanga wapigaji simu si unaona baada ya watu kushtukia issue hajarudia tena!
Usiwe na hofu Slaa amekuja kwa ajiri ya kuwakomboa wTZ ukiwemo wewe na JK wako, si unaona hata Kinana jana alikubali na akasema Ushindi sio lazima, ameisha anza kusoma alama za nyakati!
 
Watanzania walio wengi wameonyeshwa kukerwa na kitendo cha Dr slaa kuandaliwa mahojiano maaalumu ITV ambayo yanatajwa kuwa ni moja ya mbinu ya propaganda kwani kuna tetesi kuwa hata watakaopiga simu kuuliza maswali katik kipindi hiko watakuwa wafuasi wake , kutokana na hilo watanzania wengi wanasema watampuuza Dr slaa ambaye anaonyesha kutapatapa baada ya kura zote za maoni kuonyesha yupo nyuma ya kikwete na hata upepo wakisiasa unamvumia vibaya kwani anaonekana ni rais wa magazetini tu lakini hawezi kushinda hivyo watanzania wamepania kumpuuza padre huyo wa kanisa katoliki.
Tunajua kwamba maji yamewafika shingoni. Mmejaribu kusomba watu na malori weee, mkawagawia khanga weee, mkawagawia tshirt, mkawagawia kofia na skafu jumlisha elfu mbilimbili lakini wapi bwana watu bado wapo kwa Dr Slaa. Mmesambaza message za uchonganishi na uchochezi, mmetumia jeshi kutishia wee, lakini hakuna kitu. Mwanzoni mlisema alifukuzwa upadre, mkaona haiuziki, sasa mmeanza tena kumwita padre wa katoliki. Hata hii haina soko kwa sasa. Mmebakiza siku nane za kuwa Ikulu.

Naamini watakaosusia mahojiano ya Dr Slaa ni mafisadi tu ambao wanajua Slaa hatasita kuwaumbua. Lakini watanzania watakuwa macho kujua Rais wao anasema nini! Au unajaribu kumlinganisha Slaa na Kikwete ambaye hotuba zake za Mwisho wa mwezi zimesusiwa? Mnatapatapa ndugu zangu, lakini msijali hiyo ni kawaida kwa mfa maji.
 
watanzania walio wengi wameonyeshwa kukerwa na kitendo cha dr slaa kuandaliwa mahojiano maaalumu itv ambayo yanatajwa kuwa ni moja ya mbinu ya propaganda kwani kuna tetesi kuwa hata watakaopiga simu kuuliza maswali katik kipindi hiko watakuwa wafuasi wake , kutokana na hilo watanzania wengi wanasema watampuuza dr slaa ambaye anaonyesha kutapatapa baada ya kura zote za maoni kuonyesha yupo nyuma ya kikwete na hata upepo wakisiasa unamvumia vibaya kwani anaonekana ni rais wa magazetini tu lakini hawezi kushinda hivyo watanzania wamepania kumpuuza padre huyo wa kanisa katoliki.
Matokeo ya utafiti wako ni watanzania wangapi umewafikia?
 
Vipi huyu...amejiunga jana tu kwa ajili ya kumtetea aliyekimbia mdahalo? Pole...pole sana!
 
Mkuu hadi unatoka na hiyo title umefanya uatafiti au ndo umeamua tu kuitoa? Hujui ni nani kadhamini hicho kipindi na hajui kuwa si slaa pekee atakayehijiwa bali na Lipumba kwa siku nyingine na wanampango pia wa kumwalika mkwere ahojiwe?
 
Nina imani yeyote anayetamka ccm in a positive way must have personal interest like you.... Jaribu kupiga simu siku hiyo nijue kuwa nawewe ni moja kati ya walioandaliwa
 
hadithi hadithi! hadithi njoo,uwongo njoo na utamu kolea
Watanzania walio wengi wameonyeshwa kukerwa na kitendo cha Dr slaa kuandaliwa mahojiano maaalumu ITV ambayo yanatajwa kuwa ni moja ya mbinu ya propaganda kwani kuna tetesi kuwa hata watakaopiga simu kuuliza maswali katik kipindi hiko watakuwa wafuasi wake , kutokana na hilo watanzania wengi wanasema watampuuza Dr slaa ambaye anaonyesha kutapatapa baada ya kura zote za maoni kuonyesha yupo nyuma ya kikwete na hata upepo wakisiasa unamvumia vibaya kwani anaonekana ni rais wa magazetini tu lakini hawezi kushinda hivyo watanzania wamepania kumpuuza padre huyo wa kanisa katoliki.

hadithi ya anayejiita bingwa wa hoja inatufundisha nini?
na alifundishwa na nani?
inatufundisha kuchukuiana kwa sababu ya dini zetu na alifundishwa na lidudu linaitwa chichiEMu. hadithi yake haifai kabisa ktk jamii ya sasa na haikubaliki......
 
Watanzania walio wengi wameonyeshwa kukerwa na kitendo cha Dr slaa kuandaliwa mahojiano maaalumu ITV ambayo yanatajwa kuwa ni moja ya mbinu ya propaganda kwani kuna tetesi kuwa hata watakaopiga simu kuuliza maswali katik kipindi hiko watakuwa wafuasi wake , kutokana na hilo watanzania wengi wanasema watampuuza Dr slaa ambaye anaonyesha kutapatapa baada ya kura zote za maoni kuonyesha yupo nyuma ya kikwete na hata upepo wakisiasa unamvumia vibaya kwani anaonekana ni rais wa magazetini tu lakini hawezi kushinda hivyo watanzania wamepania kumpuuza padre huyo wa kanisa katoliki.


mtahangiaka sana mwaka huu..Puuzeni lakini Dr.Slaa mwendo mdundo..Mgombea wenu si anaogopa mdahalo sasa mnalalamika nini..Kaeni muendelee kucheza viduku
 
Watanzania walio wengi wameonyeshwa kukerwa na kitendo cha Dr slaa kuandaliwa mahojiano maaalumu ITV ambayo yanatajwa kuwa ni moja ya mbinu ya propaganda kwani kuna tetesi kuwa hata watakaopiga simu kuuliza maswali katik kipindi hiko watakuwa wafuasi wake , kutokana na hilo watanzania wengi wanasema watampuuza Dr slaa ambaye anaonyesha kutapatapa baada ya kura zote za maoni kuonyesha yupo nyuma ya kikwete na hata upepo wakisiasa unamvumia vibaya kwani anaonekana ni rais wa magazetini tu lakini hawezi kushinda hivyo watanzania wamepania kumpuuza padre huyo wa kanisa katoliki.
........Wanajamvi mnakumbuka juzi hapa jukwaani yule nanga Malaria Sugu alisema atakuwa offline temporarily? Mnafikiri amekwenda wapi?
nani kakwambia kwamba ukisaonja asali unalamba once?
Hebu msomeni huyu naye mnipatie jibu who is behind of all this
 
Back
Top Bottom