Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akiwa balozi, Slaa alisema hata Ulaya hamna shughuli za kisiasa baada ya uchaguzi.Ni habari ambazo zimepatikana na Dr. Slaa amezitoa usiku wa kuamkia leo katika Clubhouse. Kuwa amezinyaka hizo taarifa. Ijumaa ya tarehe 20 Mbowe alikuwa tayari atumie busara aachie nafasi.
Lakini amepokea ujumbe kutoka kwa Wakubwa kuwa asijaribu kumruhusu Lissu awe Mwenyekiti. Atajiharibia hasa katika biashara zake. So akae kwa kutulia ama sivyo ataangukia pabaya.
Kwani Chama ni CHAMDEMA tu, whay Lisu hio Movement asiifanyie ACT au CHAUMA au TLP? wajinga nyieNi habari ambazo zimepatikana na Dr. Slaa amezitoa usiku wa kuamkia leo katika Clubhouse. Kuwa amezinyaka hizo taarifa. Ijumaa ya tarehe 20 Mbowe alikuwa tayari atumie busara aachie nafasi.
Lakini amepokea ujumbe kutoka kwa Wakubwa kuwa asijaribu kumruhusu Lissu awe Mwenyekiti. Atajiharibia hasa katika biashara zake. So akae kwa kutulia ama sivyo ataangukia pabaya.
Dogo umeandika nini? Mwambie mtu akuandikie tukueleweKwani Chama ni CHAMDEMA tu, whay Lisu hio Movement asiifanyie ACT au CHAUMA au TLP? wajinga nyie
Unaamini kitu ambacho haujawahi kukiona na hata waliokufundisha kuhusu huko kuamini nao wamehadithiwa tu au kusoma kwenye printed materials. Upuuzi mtupu.Slaa hahitaji kuaminiwa. Na watu wasipomuamini hampunguzii kitu. Watu hawamuamini Mungu na Mungu bado yupo. Mtu yeyote anayemuamini mtu mwingine hana akili.
Suala la kuamini ni uchaguzi wa mtu. Wewe unaamini kuna upepo?Unaamini kitu ambacho haujawahi kukiona na hata waliokufundisha kuhusu huko kuamini nao wamehadithiwa tu au kusoma kwenye printed materials. Upuuzi mtupu.
Kwahiyo akiwa mwenyekiti ndio hizo mali alizofilisiwa zitarudi?! Kwanini aitoe nafasi kwa wengine na wao wafilisiwe kama alivyofilisiwa?!Mbowe ana uchungu sana amefilisiwa mali zake kwa ajili ya kuwa CHADEMA kila mtu anajua !Sasa huwezi kumuondoa tu kwenye kuongoza chama eti kwa sababu we unataka !
Mwl. Nyerere alishawahi kusema he could not leave his party to the dogs !
Mbowe ana uchungu sana amefilisiwa mali zake kwa ajili ya kuwa CHADEMA kila mtu anajua !Sasa huwezi kumuondoa tu kwenye kuongoza chama eti kwa sababu we unataka !
Mwl. Nyerere alishawahi kusema he could not leave his party to the dogs !
Mwanamke ni babako.Ha ha ha....wanawake huwa hamfichiani siri. Anyway ni mwanaume si jambo la ajabu.
Mbona kama umepaniki? Unajiita mama samia. Then ukiitwa mwanamke unapaniki why ?so wewe ni gay?Mwanamke ni babako.
Sio Wewe!
Babako ndo gayMbona kama umepaniki? Unajiita mama samia. Then ukiitwa mwanamke unapaniki why ?so wewe ni gay?
sisahau Bado anafile lake la ugaidi mahakamaniKama hii kauli ni ya kweli, hili lirakuwa ni tangazo kwa umma kuwa Mbowe ni mtu wa Serikali na yupo CHADEMA kulinda maslahi ya Serikali.
Itabidi alipe damu za watu waliopotea maisha wakiamini wanapigania haki kumbe kiongozi wao ndiye anayewauza kwa mashetani wanaoteka na kuua watu.
Ukipata hiyo nafasi binafsi nitainjoi ile mbaya!
Umesema utaji...😎Mbowe, Yeriko na Bon wote watekaji ndiyomaana wanang'ang'ania madarka ili kuficha uozo wao. Mbowe akigombea najinyonga
Huyu Mzee atakuf... lini.Ni habari ambazo zimepatikana na Dr. Slaa amezitoa usiku wa kuamkia leo katika Clubhouse. Kuwa amezinyaka hizo taarifa. Ijumaa ya tarehe 20 Mbowe alikuwa tayari atumie busara aachie nafasi.
Lakini amepokea ujumbe kutoka kwa Wakubwa kuwa asijaribu kumruhusu Lissu awe Mwenyekiti. Atajiharibia hasa katika biashara zake. So akae kwa kutulia ama sivyo ataangukia pabaya.