Wewe ni chawa ndiyo maanaAliesema haya maneno ni Dr Slaa ambae simuamini maisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni chawa ndiyo maanaAliesema haya maneno ni Dr Slaa ambae simuamini maisha
Endelea kumdanganya huyo mzee wenu Mbowe muone jinsi chadema inavyoteketea.Watu waongo waongo tu humu.
Then huyo Lissu mna-muover-rate sana. Lissu kaishakuwa mbunge miaka ya kutosha, kuna kitu kitu cha zaidi walichonacho huko Singida?? Kawa mwenyekiti TLS - kuna miujiza ilifanyika huko??
Lissu ni mtu tu kama wengine, sio hata threat jinsi anavyoelezwa na kupambwa...hata akipewa uenyekiti leo - msitegemee kutakuwa na mabadiliko yakutisha.
Huyo Mzee nae haaminiki tena, achana naeNi habari ambazo zimepatikana na Dr. Slaa amezitoa usiku wa kuamkia leo katika Clubhouse. Kuwa amezinyaka hizo taarifa. Ijumaa ya tarehe 20 Mbowe alikuwa tayari atumie busara aachie nafasi.
Lakini amepokea ujumbe kutoka kwa Wakubwa kuwa asijaribu kumruhusu Lissu awe Mwenyekiti. Atajiharibia hasa katika biashara zake. So akae kwa kutulia ama sivyo ataangukia pabaya.
Si uhame chama,wamekuwekea gundi au?😀Endelea kumdanganya huyo mzee wenu Mbowe muone jinsi chadema inavyoteketea.
Huu ni ukweli mtupu.Ni habari ambazo zimepatikana na Dr. Slaa amezitoa usiku wa kuamkia leo katika Clubhouse. Kuwa amezinyaka hizo taarifa. Ijumaa ya tarehe 20 Mbowe alikuwa tayari atumie busara aachie nafasi.
Lakini amepokea ujumbe kutoka kwa Wakubwa kuwa asijaribu kumruhusu Lissu awe Mwenyekiti. Atajiharibia hasa katika biashara zake. So akae kwa kutulia ama sivyo ataangukia pabaya.
MCHOCHEZINi habari ambazo zimepatikana na Dr. Slaa amezitoa usiku wa kuamkia leo katika Clubhouse. Kuwa amezinyaka hizo taarifa. Ijumaa ya tarehe 20 Mbowe alikuwa tayari atumie busara aachie nafasi.
Lakini amepokea ujumbe kutoka kwa Wakubwa kuwa asijaribu kumruhusu Lissu awe Mwenyekiti. Atajiharibia hasa katika biashara zake. So akae kwa kutulia ama sivyo ataangukia pabaya.
Mwaka huu atavuliwa nguo zote hadi boxer na Lisdu.Mchagga na kibunda.
Natoa maoni kama mtanzania tu mkuu, wala mm siyo mwanachama.Si uhame chama,wamekuwekea gundi au?😀
Sisi tunaamini alichosema Mbowe sio huyo Slaa aliyefilisika., kukataliwa CCM , kukataliwa kurudi CHADEMA .Ni habari ambazo zimepatikana na Dr. Slaa amezitoa usiku wa kuamkia leo katika Clubhouse. Kuwa amezinyaka hizo taarifa. Ijumaa ya tarehe 20 Mbowe alikuwa tayari atumie busara aachie nafasi.
Lakini amepokea ujumbe kutoka kwa Wakubwa kuwa asijaribu kumruhusu Lissu awe Mwenyekiti. Atajiharibia hasa katika biashara zake. So akae kwa kutulia ama sivyo ataangukia pabaya.
wakubwa ni wepi hao na yeye ndo top kwenye chama?Ni habari ambazo zimepatikana na Dr. Slaa amezitoa usiku wa kuamkia leo katika Clubhouse. Kuwa amezinyaka hizo taarifa. Ijumaa ya tarehe 20 Mbowe alikuwa tayari atumie busara aachie nafasi.
Lakini amepokea ujumbe kutoka kwa Wakubwa kuwa asijaribu kumruhusu Lissu awe Mwenyekiti. Atajiharibia hasa katika biashara zake. So akae kwa kutulia ama sivyo ataangukia pabaya.
Wewe ni chawa ndiyo maana
Ni Mbowe tu mchaga mwenzako ndiyo anaaminikaDkt Slaa wa kumuamini? Unaakili kamili rafiki?
Dah, yaani unaishi wapi? Dr Slaa akikwambia hivi sasa ni jioni lazima uangalie saa kabla kumuaminiNi Mbowe tu mchaga mwenzako ndiyo anaaminika
Ni habari ambazo zimepatikana na Dr. Slaa amezitoa usiku wa kuamkia leo katika Clubhouse. Kuwa amezinyaka hizo taarifa. Ijumaa ya tarehe 20 Mbowe alikuwa tayari atumie busara aachie nafasi.
Lakini amepokea ujumbe kutoka kwa Wakubwa kuwa asijaribu kumruhusu Lissu awe Mwenyekiti. Atajiharibia hasa katika biashara zake. So akae kwa kutulia ama sivyo ataangukia pabaya.
Kwahiyo mfalme Mbowe pamoja na kuwa mbunge miaka mingi na mwenyekiti miongo miwili jimbo kwake Hai kafanya nini?Watu waongo waongo tu humu.
Then huyo Lissu mna-muover-rate sana. Lissu kaishakuwa mbunge miaka ya kutosha, kuna kitu kitu cha zaidi walichonacho huko Singida?? Kawa mwenyekiti TLS - kuna miujiza ilifanyika huko??
Lissu ni mtu tu kama wengine, sio hata threat jinsi anavyoelezwa na kupambwa...hata akipewa uenyekiti leo - msitegemee kutakuwa na mabadiliko yakutisha.
Sasa kama anatumia uwenyekiti wake kama kinga ya biashara zake hatufai sisi watzNi habari ambazo zimepatikana na Dr. Slaa amezitoa usiku wa kuamkia leo katika Clubhouse. Kuwa amezinyaka hizo taarifa. Ijumaa ya tarehe 20 Mbowe alikuwa tayari atumie busara aachie nafasi.
Lakini amepokea ujumbe kutoka kwa Wakubwa kuwa asijaribu kumruhusu Lissu awe Mwenyekiti. Atajiharibia hasa katika biashara zake. So akae kwa kutulia ama sivyo ataangukia pabaya.
Everything and anything is possible in this damned system.Too void and null to believe
Acheni kuwaaminisha watu anastahili kuendelea kuwa Mwenyekiti kwa sababu alidhulumiwa mali zake. Ni ujinga na upuuzi Kuamini haya.Mbowe ana uchungu sana amefilisiwa mali zake kwa ajili ya kuwa CHADEMA kila mtu anajua !Sasa huwezi kumuondoa tu kwenye kuongoza chama eti kwa sababu we unataka !
Mwl. Nyerere alishawahi kusema he could not leave his party to the dogs !