Dr. Slaa: Mbowe ameambiwa asithubutu kuachia Uenyekiti, Ama sivyo atajiharibia kila kitu

Dr. Slaa: Mbowe ameambiwa asithubutu kuachia Uenyekiti, Ama sivyo atajiharibia kila kitu

Watu waongo waongo tu humu.
Then huyo Lissu mna-muover-rate sana. Lissu kaishakuwa mbunge miaka ya kutosha, kuna kitu kitu cha zaidi walichonacho huko Singida?? Kawa mwenyekiti TLS - kuna miujiza ilifanyika huko??
Lissu ni mtu tu kama wengine, sio hata threat jinsi anavyoelezwa na kupambwa...hata akipewa uenyekiti leo - msitegemee kutakuwa na mabadiliko yakutisha.
Endelea kumdanganya huyo mzee wenu Mbowe muone jinsi chadema inavyoteketea.
 
Ni habari ambazo zimepatikana na Dr. Slaa amezitoa usiku wa kuamkia leo katika Clubhouse. Kuwa amezinyaka hizo taarifa. Ijumaa ya tarehe 20 Mbowe alikuwa tayari atumie busara aachie nafasi.

Lakini amepokea ujumbe kutoka kwa Wakubwa kuwa asijaribu kumruhusu Lissu awe Mwenyekiti. Atajiharibia hasa katika biashara zake. So akae kwa kutulia ama sivyo ataangukia pabaya.
Huyo Mzee nae haaminiki tena, achana nae
 
Ni habari ambazo zimepatikana na Dr. Slaa amezitoa usiku wa kuamkia leo katika Clubhouse. Kuwa amezinyaka hizo taarifa. Ijumaa ya tarehe 20 Mbowe alikuwa tayari atumie busara aachie nafasi.

Lakini amepokea ujumbe kutoka kwa Wakubwa kuwa asijaribu kumruhusu Lissu awe Mwenyekiti. Atajiharibia hasa katika biashara zake. So akae kwa kutulia ama sivyo ataangukia pabaya.
Huu ni ukweli mtupu.
Ametangaza nia kwa unyonge sana, roho inamsuta.
Huyu mbwe..ha amechagua maslahi binafsi na sio nchi wala waliomwamini.
 
Mzee Mihogo Ni
Ni habari ambazo zimepatikana na Dr. Slaa amezitoa usiku wa kuamkia leo katika Clubhouse. Kuwa amezinyaka hizo taarifa. Ijumaa ya tarehe 20 Mbowe alikuwa tayari atumie busara aachie nafasi.

Lakini amepokea ujumbe kutoka kwa Wakubwa kuwa asijaribu kumruhusu Lissu awe Mwenyekiti. Atajiharibia hasa katika biashara zake. So akae kwa kutulia ama sivyo ataangukia pabaya.
MCHOCHEZI
 
Ni habari ambazo zimepatikana na Dr. Slaa amezitoa usiku wa kuamkia leo katika Clubhouse. Kuwa amezinyaka hizo taarifa. Ijumaa ya tarehe 20 Mbowe alikuwa tayari atumie busara aachie nafasi.

Lakini amepokea ujumbe kutoka kwa Wakubwa kuwa asijaribu kumruhusu Lissu awe Mwenyekiti. Atajiharibia hasa katika biashara zake. So akae kwa kutulia ama sivyo ataangukia pabaya.
Sisi tunaamini alichosema Mbowe sio huyo Slaa aliyefilisika., kukataliwa CCM , kukataliwa kurudi CHADEMA .

Mbowe hakunyenyekea wakati wa Magufuli ambapo Slaa alinyenyekea itskuwa sasa!
 
Ni habari ambazo zimepatikana na Dr. Slaa amezitoa usiku wa kuamkia leo katika Clubhouse. Kuwa amezinyaka hizo taarifa. Ijumaa ya tarehe 20 Mbowe alikuwa tayari atumie busara aachie nafasi.

Lakini amepokea ujumbe kutoka kwa Wakubwa kuwa asijaribu kumruhusu Lissu awe Mwenyekiti. Atajiharibia hasa katika biashara zake. So akae kwa kutulia ama sivyo ataangukia pabaya.
wakubwa ni wepi hao na yeye ndo top kwenye chama?
 
Ni habari ambazo zimepatikana na Dr. Slaa amezitoa usiku wa kuamkia leo katika Clubhouse. Kuwa amezinyaka hizo taarifa. Ijumaa ya tarehe 20 Mbowe alikuwa tayari atumie busara aachie nafasi.

Lakini amepokea ujumbe kutoka kwa Wakubwa kuwa asijaribu kumruhusu Lissu awe Mwenyekiti. Atajiharibia hasa katika biashara zake. So akae kwa kutulia ama sivyo ataangukia pabaya.

Mmmmhhhhh mbona biashara yake yote ya maana iko Kenya na Dubai hadi ninapoandika hii habari
 
Watu waongo waongo tu humu.
Then huyo Lissu mna-muover-rate sana. Lissu kaishakuwa mbunge miaka ya kutosha, kuna kitu kitu cha zaidi walichonacho huko Singida?? Kawa mwenyekiti TLS - kuna miujiza ilifanyika huko??
Lissu ni mtu tu kama wengine, sio hata threat jinsi anavyoelezwa na kupambwa...hata akipewa uenyekiti leo - msitegemee kutakuwa na mabadiliko yakutisha.
Kwahiyo mfalme Mbowe pamoja na kuwa mbunge miaka mingi na mwenyekiti miongo miwili jimbo kwake Hai kafanya nini?
 
Ni habari ambazo zimepatikana na Dr. Slaa amezitoa usiku wa kuamkia leo katika Clubhouse. Kuwa amezinyaka hizo taarifa. Ijumaa ya tarehe 20 Mbowe alikuwa tayari atumie busara aachie nafasi.

Lakini amepokea ujumbe kutoka kwa Wakubwa kuwa asijaribu kumruhusu Lissu awe Mwenyekiti. Atajiharibia hasa katika biashara zake. So akae kwa kutulia ama sivyo ataangukia pabaya.
Sasa kama anatumia uwenyekiti wake kama kinga ya biashara zake hatufai sisi watz
 
Mbowe ana uchungu sana amefilisiwa mali zake kwa ajili ya kuwa CHADEMA kila mtu anajua !Sasa huwezi kumuondoa tu kwenye kuongoza chama eti kwa sababu we unataka !
Mwl. Nyerere alishawahi kusema he could not leave his party to the dogs !
Acheni kuwaaminisha watu anastahili kuendelea kuwa Mwenyekiti kwa sababu alidhulumiwa mali zake. Ni ujinga na upuuzi Kuamini haya.

Wale waliodhulumiwa Uhai wao je? Ukiwa na majibu ya haya basi rudi Usome ulichoandika.

Ujinga huu ndio Lissu anaupinga.
Tuna safari ndefu sana kama nchi.
Maandiko yanasema ‘ watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa’
 
Back
Top Bottom