Am really trying hard, but I don't see any candle light at the end of the tunnel! Though 'if wishes were horses.......' if you know what I mean! Hesabu za haraka haraka my home villages (both), are 'blanketed' with the ruling party. Na hata wachangiaji wengi humu wako mijini, ukiwepo wewe pia, unless hii elimu and support mnayotoa hapa muipeleke kule pia. Kwa sababu wengi wetu mnaotushawishi through here, we know what we want, the majority ambao ndio wapiga kura wenyewe hawana a wala b! Na kibaya zaidi, wengi wenu(tu) wapiga debe you don't even line up for the real voting exercise on the D day, kisa you can't tolerate the hassles packed in the whole exercise.
Kwa hiyo ndugu fikiria jinsi ya kuwashawishi the majority kwanza, especially if you can do that ndani ya miezi iliyobaki.
Nimesha shawishika vya kutosha kura yangu nitampa Dr.
Tanzania hatuna mtu mwenye jina DR. Kikwete anayegombea urais...!DR KIKWETE au DR SLAA?
Natamani sana mdahalo utakaomshirikisha Kikwete na Dr. Slaa hapo ndipo tutakapoona pumba na mchele. Dr. Slaa is a higher level material atamfanya Kikwete aonekane a novice.
MSAADA WA KISHERIA NA KIMAWAZO
Natafuta namna ya kumpigia Kampeni J. Kikwete kwa kutengeneza T-shirt kama 100,000 zenye maneno "SIHITAJI KURA ZA WAFANYAKAZI" alafu naweka PIcha yake na Jina lake. Nawezaje kukamilisha huu mradi wangu ndani ya miezi ya kampeni? Je nitakuwa navunja sheria? au kama nitafanya kama ni bidhaa za biashara ya kawaida hazina uhusiano na kampeni na chama chochote zitauzika na kukubalika kuwa mitaani?
Asante sana mzee mwenzangu wa Sikonge, duu T-shirt imetoka vizuri sana, hiyo ni front side, tupate mawazo ya wadau nyuma iwe vipi, hatuna popular phrase nyingine fupi inayofaa kuwa nyuma. Nakumbuka "Ukitaka kula sharti uliwe" siipendi sana hii, haiteleweka, Nakumbuka "Asilimia 70 ni wafuata Upepo" hii inakuja kuja lakini sijui kama itamatch vizuri na ujumbe wa mbele.
1) hana uzoefu wa mambo ya gov. miaka 5 ya ubunge haitoshi kuwa rais