Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,558
- 1,456
Nimebahatika kumwuliza hivyo, akasema tumtumie maswali au tutume mwandishi wetu Ijumaa wiki hii ili ajibu maswali yote na ikibidi kama tuna mapendekezo atatoa ufafanuzi kwa mapana.
Mambo ya Kubembelezana haya ndio maana siku zote tunakuwa kama Makondoo! CHADEMA nao wamwage Mboga tu watengeneze fulana na Mabango wayasambaze halafu wamsikilize Tendwa! Mwaga Mboga nimwage Ugali Ndicho kilichobaki ukimsema Umngojee Tendwa amkemee aliyemteua ni kupoteza Muda tu