Elections 2010 Dr. Slaa mgombea urais 2010 kupitia CHADEMA

Status
Not open for further replies.
nice move
kinachofuata ni watu kutafuta waangalizi wa kimataifa si kudubiri Chadema wafanye hivyo si mnajua jamaaa wezi wa kura kinoma zingine wanaziweka kwenye masanduku kabla ya ku cast .Intenational media pia ziwepo ,ikiwezekana balozi ziombwe kusaidia kufanikisha hili.
 
Inawezekana, timiza wajibu wako. Hii ilikuwa kauli mbiu ya Mwalimu wakati tunapata Uhuru. It can be done, play your part. Nadhani kauli mbiu ya Baraka Obama “Yes we can” ilitoka huku kwa Mwalimu.

Dr Slaa ana mzigo mkubwa. Anabeba matumaini ya karibu Watanzania wote wasomi na wenye uelewa mzuri wa mambo. Kuna Mtanzania mwingine ameshaweza kuwa tumaini la nchi namna hii? Nadhani itabidi kurudi nyuma hadi wakati wa Mwalimu ili kupata mtu wa namna hiyo.

Napendekeza kauli mbiu ya INAWEZEKANA, TIMIZA WAJIBU WAKO, itumiwe na Chadema. Itakuwa na maana mbili. Kwanza inawezekana kuing’oa CCM na kuweka uongozi mzuri wa kisheria. Pili, itaashiria kwamba sasa umefika wakati wa kuunda taifa upya. Tunarudi kwenye kauli mbiu ya wakati tulipopata Uhuru.
 
Congratulations to our ONLY hope for the time being, DR. W. Slaa. I am confident that he is going to be our next president. If we all do our part from now as A. Moshi suggested, we can witness the real change in Tanzania.

You got my fully support Dr. Slaa

I have one word strong message that will resonate all walks of life in Tanzania. I will reveal when the time is right.
 
Wakuu it all starts with believing, inachekesha pale watu wanapodhania ili uchaguzi uwe competitive basi kuna watu wanatakiwa wasesnsitize wananchi wao wakiwa wamekaa tu!
 
Nimeiona ktk magazeti ya Asubuhi; mbona JF haijacover habari hii; pls give me update; kama kweli tuanze tu kutoa michango ya hali na mali maana ukombozi wa tanzania uko karibu
 
Sijakuelewa Nyambala. Unataka wale waliopo nje ya nchi wasikae?

Slaa anakubalika kwa karibu Watanzania wote walioko nje, na wale walio nyumbani pia. Utawala wa JK ndio unafanya Watanzania wengine wasiwe hata na shauku ya kurudi nyumbani.

Unataka tufanye nini? Jieleze.
 

Well my point is ni jukumu letu sote hata ss tulio nje kumkampenia Dr. Slaa. Inanishangaza pale watu wanaposema kwa nini asigombee ubunge ambao ana uhakika kushinda kuliko uraisi eti ambao ni obviousd JK atashinda.
 
Mrs. Slaa ni kada wa ccm, diwani nafikiri, sasa sijui atam-join Mr au ataheshimu instructions za Sofia Simba?
 
Hii ni habari njema kwa watu wote kila nikiwaza utawala wa Kikwete nazidi kukosa matumaini ..............
 
DEBEEEEEEEEEEEE kwenda mbele sasa na michango ya hali na mali maana kahela kangu hakatatumika hovyo; leteni jinsi ya kuchangia
 

Tarime Vs Dsm? hapa unasemaje? Biharamulo kule ni Arusha mjini? unajua katika miji iliojuu ni Arusha kuliko dar? au kule ni vijijini? Be part of solution brother
 
Well - nilikuwa bado na "hang-over" ya JackD lakini sasa najisikia nafuu

This might not necessarily mean kuwa Dr Slaa atakuwa the next President But at least some voters have got "a person" to vote for kwenye presidential position.
So pessimistic, we do not necessarily want to have people like you when we campaign for change. Nobody ever thought kwamba America would have a Black president in the name of Obama. We have him today against all odds.
 
Kwa mtazamo wangu, Dr Slaa angegombea ubunge wa jimbo la Karatu, unless kwa sasa hakubaliki tena huko. Kama walikuwa na lengo la kumteua agombee urais basi yangekuwa ni maandalizi ya 2015 rather than now (hata Mbowe mwenyewe angekuwa na nafasi nzuri pia). Hii inaweza kuwa habari njema kwa CCM, kwani wanaweza kuweka nguvu kwenye jimbo hilo wakalichukua kirahisi sana. Naamini Dr Slaa ataiweza nafasi ya urais vilivyo, lakini hofu yangu ni kuwa chances za yeye kuitwaa kofia ya urais ni very slim.

Kwa kifupi, sitamani Dr Slaa agombee urais naona dalili za yeye kukosa vyote, hivyo tukakosa kiungo muhimu sana bungeni....
 
hili ndilo nilitegemea

sasa kama tunataka mabadiliko ya kweli, wana jf wapenda haki pigeni kampeni za ukweli ili huyu mgombea wetu Dr slaa ashinde

walau naanza kuliona jua linachomoza!
 

can you think beyond the next meal lady!?
 
Hii ni habari njema kwa watu wote kila nikiwaza utawala wa Kikwete nazidi kukosa matumaini ..............

mara nyingi sana huwa nafatilia comment zako na huwa napata maswal meng!
 
hata kama sio kushinda moja kwa moja lakini walau sasa watanzania waamke kwa msisimko mkubwa wampe kura za ndio mtetezi wa kweli wa wanyonge, namfahamu daktari. slaa kwa pale bungeni ndie mbunge ambae alikuwa na msimamo wa dhati kwa baadhi ya mambo ya msingi ambayo hata baadhi ya wapinzani wengine hawakuwa na msimamo thabiti, naamini mungu wa haki atamlipa dr. slaa kinachostahiri kwa jinsi anavyopigania wa tanzania bila kuwa na ajenda iliyojificha kama wengine.
 
Tutamiss sana Bungeni..
Afadhali mtu makini kagombea uchaguzi huu..
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…