Elections 2010 Dr. Slaa, Mpendazoe Kunguruma Tabata - Liwiti Jumapili Nov 14


wahenga walisema ukimuona kobe kainama ujue anatunga sheria.i hope ndicho kinachoendelea.
Lakini pia ni uamuzi mzuri kutulia badala ya kukurupuka na kuongea kwani maneno yanagharimu sana.
Na ninavyomuelewa Dk wa Ukweli huwa hana papara anajipanga tusubiri,Tuachane na propaganda za ccm ambazo zinachochoe haya yote.Huu ni wakati wa kila mtu kutafakari wapi tulipo na Mkwere anatupeleka wapi.

KITAELEWEKA TUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU
 

Ndugu yangu hayo mawazo yako ya ukoko hapa hayawezi kufanya kazi. Chadema kamwe haitaweza kuungana na Cuf kusimamisha mgombea urais kwanza kabisa Cuf haina mgombea urais, Lipumba tayari ameshapauka na hana mpya zaidi ya lecture za uchumi pili Cuf haina sera makini za kuwakomboa watanzania, tatu Cuf ni tawi la CCM au niite CCM(B) kwa mawazo hayo mgando nakushauri ujiunge na chadema ili kuongeza nguvu katika kuleta ukombozi nchini.
 
Najiuliza hivi, kule Zimbabwe ZANU iliungana/ilishirikiana na chama gani kikazaliwa ZANU-PF? Nini kilichotokea baadaye? KAFU wanalielewa hilo? Nawatangulizia pole za dhati kwa wanaKAFU.
 
wee mwenyewe umechakachuliwa.

Sio kosa lako ni kiwango cha uelewa wako ila ni utoto tu ukikua utaacha umbea na majungu

Ila na jina nalo ni utata mtupu unaweza kuwa unawaza kishamba zaidi na sio kijamii
 
Ataongelea mambo yasiyofanyiwa utafiti na kuyaita mabomu.
Hii ndiyo kawaida yake.

Hivi unaelewa unachokisema au unajua umaarufu na imani aliyoipata kwa watanzania imetokana na nini!!?

Tatizo ni kwamba umelogwa halafu mchawi aliyekuloga kafa nani atakusaidia sasa zaidi ya kuendelea kuwa zezeta na mropokaji.
tafadhali kaa kimya kama huwezi kuhudhuria mkutano wa mheshimiwa Rais wa tano wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Wa maukweli siyo wa zawadi na wizi

Tena wana jamii wote wahudhurie na kuunga mkono bila kujali vibaraka wa uwt.feki.
 
Teh teh teh teh!!!
Kishongo umenikumbusha masterling wa movie walivyo. Huwa wanaumizwa na watu wao wa karibu na wanaowapenda sana na akitokea mtu akawaambia ukweli hukasirika na kumchukia. Bahati mbaya hufahamu ukweli mwisho wa movie halafu wanajifanya kureact ile mbaya. Lakini wameteswa muda wote.
Unajua nini, naogopa usije kuwa kama hao ukaja kugundua siku yako ya mwisho.
WAKE UP BUDDY!!!
 
Nimekusahihisha kidogo Mkuu.

Source?

Angalizo, huruhusiwi kubadili neno/herufi ndani ya post ya mwenzako ulichotakiwa ni kuandika masahihisho nje ya post.
 
Hizi taarifa sio za kweli hatas kidogo na aliyezitoa anapotosha umma, Dr.Slaa tuko naye huku Dodoma NA MPAKA SASA ANATOA MAFUNZO KWA WABUNGE WAPYA WA CHAMA ,na hatarajii kurejea DSM kesho wala kesho kutwa.
 
Are you sure with the news?siyo tunaenda halafu nothing is there.Kindly be sure and report back to us.Thanks

According to his facebook sasa sija uhakika zaidi kama hiyo fb account ni yake au ya mshabiki kwa vyoyvyote vile chama lazima kitatoa tamko haiwezi kuwa kimyakimya....
 
Tatizo letu hapa ushabiki wa siasa tumeanza hivi karibuni katika siasa muda ni kitu muhimu sana jinsi chadema wanavyochelewa ndivyo ccm na rais wao anavyozidi kujimalisha ni ndivyo watu wengi wanapopoteza hamasa ya kushiliki .Kenge usipende kuropoka kama umekunywa maji ya ****** nili umenisikia nikisema chadema watamwaga damu?.mkakachuaji 1 ni lazima kama tunataka upinzani wa kweli ni lazima mungano wa wapinzani ufanyike ili tuweze kuiondoa ccm vinginevyo hapa ccm wataendelea kupeta miaka yote we fikiria kama mwaka huu wangemsimammisha DR peke yake mambo yangekuaje hata kwa matokeo yaliyotolewa na ccm ingekuwa tuko mbali au kwa pamoja tungeweza kupata kura zaidi.
 
Slaa ajilipue tuu ili dunia ijue utumbo wetu kwenye uchaguzi uliopita ili tuondokane na huu unafiki wa kwenda kusuruhisha migogoro Kenya wakati yetu inatushinda.
Na hawa maaskofu wanenda mpoza ili iweje,kama kulikuwa na wizi wa kura na ushaidi upo sioni haja ya kuficha kila mtu ajue ili tukilizwa na hii serikali tunajua ata uwepo wake ulikuja kwa mizengwe
 
Kukawia kunatokana na tabia ya maaskofu ambao nasikia wametumwa tena na JK kwa Slaa kumsihi asizitoe hizo nakala za matokeo (za vituoni na za NEC).
If that is true then it is speaking loud that they are NOT Maaskofu!
Maaskofu wametumwa na Mungu na sio rais
 
mkakachuaji 1 ni lazima kama tunataka upinzani wa kweli ni lazima mungano wa wapinzani ufanyike ili tuweze kuiondoa ccm vinginevyo hapa ccm wataendelea kupeta miaka yote
Thank you for that! Tatizo ni kuwa kuna upinzani feki!
Sasa muungano wa CCM B na upinzani hauleti any good result!
 
Unasema viongozi CDM wamekaa kimya? sijaelewa kabisa unamaanisha nini! unadahani inchi hii itakombolewa kwa kupiga kelele? tunahitaji mikakati madhubuti yenye mwelekeo wa kujenga na kukomboa taifa.Unadhani lyatomga kilimshinda nini pamoja nakuwa nawafuasi wengi kama chaema ya leo kwaidadi sio umakini.Nikuto kuwa na busara uvumilivu na umakini ndivyo vilivyo mpeleka leo lyatonga kugombe ubunge kupitia TLP wakati mfukono anatembea na ilani ya uchaguzi pamoja nakatiba ya sisiemu.siasa zilizo jengwa nasifa ya wafuasi lukuki ndizo zilizo mponza layatonga.Leo Dr. Slaa analaumiwa pia hata na wafuasi wake kwakukaa kimya yaani kuto ropoka kwasababu yeye hataki sifa zakijinga, nakama msomi anatumia taaluma yakeke kulikomboa taifa.Kuna bwanammoja anasema CDM tumieni mfumo wa nyerere kujenga chama mimi napingana naye na sema mfumo huo umepitwa nawakati na wala hautakuwa natija kwawakati huu.Chama kina weza kikawa na wanachama mia moja tuu wenye nia dhabiti ya kutoa mwelekeo na wananchi wakikubaliana na mwelekeo huo lazima mafidi wataondoka madarakani.Mimi nasema nchi tuna anza kujenga Dodoma mjengoni anaye bisha aniambie nimjuze kwanini sitaki safari zakwenda kijijini eti kujenga chama
 
Hizi taarifa sio za kweli hatas kidogo na aliyezitoa anapotosha umma, Dr.Slaa tuko naye huku Dodoma NA MPAKA SASA ANATOA MAFUNZO KWA WABUNGE WAPYA WA CHAMA ,na hatarajii kurejea DSM kesho wala kesho kutwa.

(-)x(+)= (-) so, (No)(Yes)=No. Can any other person confirm No or confirm Yes?
 
Sasa kwa nini wasiongee na waandishi wa habari?
Manake itakuwa ndo mara ya kwanza Dr kuongea na wananchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…