Angalizo, huruhusiwi kubadili neno/herufi ndani ya post ya mwenzako ulichotakiwa ni kuandika masahihisho nje ya post.
Why do you use bitter words? Are you a loser?What do u expect hearing from losers.It must be losers bitter words.Let me wait and c.
cuf hawana shida yakusimama wala kuungana na chama chochote,cuf itasimama kama cuf na daima cuf itaendelea kuwepo,hao chadema nimoto wakifuu unalipuka unazimika gafla,ngoja zito nambowe waanze kuparurana kuwania uenyekiti na hao kina mbowe na wachaga wake wanajifanya miungu watu ktk chadema kilakitu wanataka wao,hata uongozi waupinzaniNdugu yangu hayo mawazo yako ya ukoko hapa hayawezi kufanya kazi. Chadema kamwe haitaweza kuungana na Cuf kusimamisha mgombea urais kwanza kabisa Cuf haina mgombea urais, Lipumba tayari ameshapauka na hana mpya zaidi ya lecture za uchumi pili Cuf haina sera makini za kuwakomboa watanzania, tatu Cuf ni tawi la CCM au niite CCM(B) kwa mawazo hayo mgando nakushauri ujiunge na chadema ili kuongeza nguvu katika kuleta ukombozi nchini.
anaenda kulalama?
naam, ndio, mh. 'rais wa wananchi na mbunge halali' wanasubiriwa kwa hamu kubwa hapa. kuna vikundi vya ngoma na majigambo vinatanguliza burudani ya aina yake kabla wateule hawajafika na mkutano kuanza rasmi. watu kibao wanawasili. tupo makini tunasubiria.
naam, ndio, mh. 'rais wa wananchi na mbunge halali' wanasubiriwa kwa hamu kubwa hapa. kuna vikundi vya ngoma na majigambo vinatanguliza burudani ya aina yake kabla wateule hawajafika na mkutano kuanza rasmi. watu kibao wanawasili. tupo makini tunasubiria.
baada ya madiwani wa chadema kukaribishwa na kila mmoja kumwaga shukrani... kwa sasa ndio mh. mbunge halali anamwaga shukrani na mikakati ya baadaye kulikomboa jimbo la segerea...
Like a giant elephantHow big was the crowd?