cuf hawana shida yakusimama wala kuungana na chama chochote,cuf itasimama kama cuf na daima cuf itaendelea kuwepo,hao chadema nimoto wakifuu unalipuka unazimika gafla,ngoja zito nambowe waanze kuparurana kuwania uenyekiti na hao kina mbowe na wachaga wake wanajifanya miungu watu ktk chadema kilakitu wanataka wao,hata uongozi waupinzani
bungeni alitakiwa awe zito,udikteta wakina mbowe wakang'ang'ania kwaulafiwao,chadema kunabomu litalipuka wakati wowote,tuvute subira natumuombe mola atupe uhai mtayaona mengi yanakuja,